Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada.... Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda wapi na je hawa...
5 Reactions
34 Replies
9K Views
HISTORIA YA FREEMASONS Kwa kuanzia tujifunze kidogo historia ya kikundi hicho: Freemasons tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni “wajenzi huru” ingawa hawatambuliki kwa jina hilo, lakini kwa...
5 Reactions
50 Replies
6K Views
Habari wanaJF! Natumaini Jumapili imeanza vyema. Katika pitapita zangu, nimekutana na mawaidha yafuatayo yanaweza kukusaidia wewe mwajiri kuwa na mwisho mzuri na kufurahia maisha ndani (na baada)...
12 Reactions
22 Replies
3K Views
ANGALIZO: Yote yaliyoandikwa humu yatabaki kuwa ni maoni binafsi ya mwandishi wa makala ambayo baada ya kukamilika hii habari references na citations zitawekwa. Kutokana na maada hii kuwa...
12 Reactions
56 Replies
10K Views
Miaka ya 1960 Shirikia la Ujasusi la Marekani lilikuww linapambana na Urusi katika vita baridi. Katika kipindi hiko Marekani ilianzisha program na miradi mbalimbali dhidi ya kupambana na Ujamaa...
8 Reactions
8 Replies
2K Views
Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam. Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam...
68 Reactions
1K Replies
192K Views
Tunamaliza mwaka 2019 na taharuki za kutisha na kutosha. Kwa akili za wastani ni rahisi sana kuwanyooshea vidole wengine lakini kiroho tafsiri ni kubwa kuliko hilo. Mojawapo ya 'case sensitive '...
30 Reactions
91 Replies
17K Views
Habari wana GT. Natumaini sote ni wazima wa afya. Leo naileta mada hii jukwaani mara baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu Uwepo wa Mungu lakini pia kuhusu imani na dini.Nilichogundua Mungu...
13 Reactions
84 Replies
19K Views
Nimeandaa uzi huu mahususi kwa ajili ya yale maswali magumu yanayotatiza ili kupata majibu bayana kwa wabobezi na wajuvi wa mambo kutoka kwenu wanajamii. Maswali. 1) Kweli (Truth) ni nini ama ni...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
Afya ya akili ni neno ambalo tunalisikia sana siku hizi, kila mtu anaweza kuwa na wazo lake kuhusu hili neno. Tukisema afya ina maana ni kuwa sawa katika asili yake. Na akili ni utendaji kazi...
10 Reactions
9 Replies
1K Views
Jambo la 11:11 na maana yake Je, mara nyingi unaona nambari 11:11 kwenye saa za kielektroniki, anwani au sehemu zingine na kujisikia furaha? Wakati mwingine tunaona nambari zinazorudiwa au...
6 Reactions
8 Replies
25K Views
Kama malaika Gabriel alimtokea Mariam na kumwambia utapata mtoto Kwa uwezo wa roho mtakatifu na jina lake utamuita yesu na atakuja Kwa ajili ya kuikombia Dunia.... Tusome hapa kidogo Wazazi...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Mashirika mengi ya kijasusi yanakaulimbiu zao "nzito nzito" Shirika letu kaulimbiu yao inasemaje? Kaulimbiu inaweza athiri utendaji kazi wa watu? 1. Kaulimbiu ya TISS... 2. Kaulimbiu ya CIA...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
 Ujasusi ndio 'kiini tete' cha kila nchi na ujasusi wake wa nje na wa ndani unazingatia masilahi na usalama wa kitaifa. Shirika la Kitaifa la Ujasusi ndilo ulinzi wa kwanza wa taifa, na ndilo...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Habarini wana jamvi jamii intelligence kwa yoyote anayejua kinaga ubaga kuhusiana na tabiri za katuni ya simpsons ya mamboyajayo. Inaonekana hii katuni imekuwa inaonyesha mambo yatakayotokea...
2 Reactions
66 Replies
11K Views
Miaka milioni 65 iliyopita Kimondo kikubwa sana kiliipiga dunia. Wakati huo dinosaurs walikuwa wanaishi duniani. Mgongano wa kimondo hicho na dunia ulisababisha mlipuko mkubwa uliorusha mawe na...
7 Reactions
6 Replies
1K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
156 Reactions
627 Replies
232K Views
Wakuu habari zenu?binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi sana kuhusu mikanganyiko(contradiction) katika vitabu vya dini. Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi za kiranga kuhusu kupinga uwepo wa...
14 Reactions
733 Replies
22K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
84 Reactions
235 Replies
39K Views
Katika kitabu kilichoandikwa na Sir Ernest Alfred Wallis Budge "Legends of the Gods" tunapata simulizi nzuri ya miungu ya kimisri ambayo inatupatia mwangaza kidogo katika hili la chanzo cha Mungu...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom