Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,233
- 4,783
Tumekuwa na kawaida Kila Jumalipi tunaenda kanisani kusali Kwa sisi Wakristo na tukisisitizwa kuwa ni siku ya Bwana; kuwa alipumzika siku ya Saba.
Je lugha yetu inanichanganya maana nafahamu juma mosi ndio mwanzo wa wiki, jumapili ni siku ya pili and so on. Nimegoogle ipi ni siku ya kwanza ya juma nimeambiwa ni Monday kwetu tunaita jumatatu.
Na hii google inasema ni according to ISO 8601 inayosimamiwa na shirika la kimataifa la Muda? Na kwamba wali toa chapisho la la kwanza 1988?
Yaani nimedata hapa naomba msaada.
Je lugha yetu inanichanganya maana nafahamu juma mosi ndio mwanzo wa wiki, jumapili ni siku ya pili and so on. Nimegoogle ipi ni siku ya kwanza ya juma nimeambiwa ni Monday kwetu tunaita jumatatu.
Na hii google inasema ni according to ISO 8601 inayosimamiwa na shirika la kimataifa la Muda? Na kwamba wali toa chapisho la la kwanza 1988?
Yaani nimedata hapa naomba msaada.