Habari za Intelijensia zinaonyesha Rwanda na DRC ziinaweza kupigana.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,718
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
 
images (1).jpeg
 
Rwanda na DRC zinaweza kwenda vitani wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Ndivyo wanavyosema CIA. Ndio maana Williams Burns alifika hapa wiki mbili zilizopita kuongea na Rais Ruto. Williams Burns huyu ni Director wa CIA.
Lakini sisi tupo hapa hatujaona chochote bado,wanakuja watu toka nje wanatueleza itatokea vita.
Vita,for what reason? Hata Jenerali anapokwenda war school,anafundishwa kwamba vita yake anayitaka kuianzisha lazima iwe na malengo yanayoeleweka. What does he want to achieve?
Watu hawa wanataka kuleta Balkanization of the Great Lakes region,wanataka kuleta universal,widespread chaos.
Natamani ningejua zaidi mambo yanayotokea kule DRC. Wapo watu kule wanajiita Wazalendo,wameamua kuchukua mambo mikononi mwao. Wamewafukuza MONUSCO na sasa they are shooting at the M 23,na wanapata mafanikio makubwa.
Lakini apparently Jeshi la Uganda linakuja and it is shooting at these Wazalendo. Kwa sababu hawa M 23 walikuwa wanasaidiwa na Kagame,lakini sasa Jeshi la Kagame limelemewa sana,na Kagame is in despair. Huyo Kagame,he is in a state of great panic.
Tshitsedeki alisema akichaguliwa kwa muhula wa pili,ataishambulia Rwanda. But surely,that was just campaign rhetoric?
We don't know what's happening now. Lakini,we know what happening. Last time,that was twenty five years ago. last time. Kagame na M7 walitumwa na Wamarekani kumuondoa Mobutu.
Zoezi la kumuondoa Mobutu liliratibiwa na State Department.
Halafu Mwalimu Nyerere alikuwa anashiriki katika zile negotiations,not having the slightest idea what was going on.
I've written enough. Maybe I should go to Church now
Wapigane tu kama wao ni wanaume sio kutupigia kelele kila siku
 
Kitu usicho kujua huko DRC vinara wa wizi wa madini ni Rwanda na Uganda pia hao ndio wanaanzisha vurugu na kutwangana huko.

Wakenya nao walienda wakaishia kuiba madini.

UN inafadhiri levels huko DRC. Hizo mbinu zinaratibiwa na USA
 
Sasa congo makundi ya waasi wa ndani yamemshinda Rwanda ndo atamuweza?
Dotto magari pale Congolee m23 na kundi la fdlr ndio yalikua makundi makubwa zaidi na yenye nguvu ,
Makundi mengine yaliyobaki mpaka Nalu yalikua ni makundi ya kuvizia vizia tu na janja janja nyingi ,
Kwa kuliona hilo ndipo bamutu ba Mayele bin Inonga "wakaoneleya ni bora kupiya guvu kubwa ya edui " huko kwanza kisha hivyo vikundi mdogo mdogo vita"cease" .
 
Sasa endeleeni kujidanganya!! Mtapigwa mpaka msangae!! kumbukeni kuna Mungu, mmewaonea sana Wakongomani.
Papaa wacongo kwa Kagame ni laini kubali huo ukweli.

Kagame ana mamluki wa kutosha ndani ya serikali na jeshi la Congo.

Kabila mtoto babake ni mnyarwanda alikua Rais wa Congo,Kaberebe ni mnyarwanda tena ni mtu wa kagame aliwai kuwa mkuu wa majeshi Congo.
na bado kulikua na maafisa wengi wa Kagame wakihudumu kwenye jeshi na serikali ya Congo.
 
Back
Top Bottom