Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na Ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao?

Francis3

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
489
1,629
HII NI LIST YA WANASAYANSI KUTOKA AFRICA NA KAZI WANAZOZIFANYA KWENYE MATAIFA MAKUBWA

EGYPT
1. Euclid of Alexandria
huyu ni founder wa geometry ni mzaliwa wa egypt
amefanya kazi katika European Space Agency's (ESA) na ameunda euclid space craft
220px-Euklid-von-Alexandria_1.jpg


2. Sameera Moussa
huyu ni ni mwanafizikia aliyebobea kwenye maswala ya nyukilia na ni mzawa wa egypty ana doctorate ya atomic radiation na alifia huko California, united state
220px-SameeraMoussa.jpg


3.Ahmed Hassan Zewail
Huyu ni wa Egypt ni mwanzilishi wa femtochemistry anafanya kazi amerca
185px-Ahmed_Zewail_HD2009_Othmer_Gold_Medal_portrait.JPG


Eritrean
1. Haile Debas
huyu ni mfanya sugery, mwanafizikia na ni academic adminstrator katika chuo kikuu cha California ni mzawa wa africa

Carthage
1. Abbas Ibn Firnas
huyu ni mwanafizikia mchemia na engineer alifanya kazi huko spain ila ni mzawa wa carthage africa

Morocco
1. Rachid Yazami
huyi ni morocan alifanya research kuhusu lithium battery na graphite anode anafanya kazi katika French National Centre for Scientific Research (CNRS) ni wa kwaza kugundua intercalation ya lithium kwenye graphite katika electrochemical cell
220px-Rachid_Yazami_2011.JPG

Ethiopean

1. Sossina M. Haile

huyu ni profesa na mchemia pia ni mwanafizika na ni mhandisi anafanya kazi california instute of technology huyu aligundua solid acid fuel cells

2. Kitaw Ejigu
Ethiopian engineer and Chief of Spacecraft and Satellite Systems engineer at NASA.
KENYAN
1. Calestous Juma
Huyu ni professor pia ni mfanya kazi katika havard university ni mzawa wa kenya

MALI
1. Cheick Modibo Diarra
Huyu ni aerospace engineer amechangia kukamilika kwa mission nyingi za NASA mfano kupatikana kwa njia ya kwenda kwenye sayari ya mars , galileo space craft na kuchunguza sayari ya mars
NIGERIAN
1. John Uzo Ogbu
huyu ni professor alikuwa anachunguza maswala ya intelligence kuendana na rangi ya ngozi (race) inasemekana alikuwa na IQ kubwa ni mzawa wa nigeria lakini alikuwa anafundisha na kuishi California

2. Bisi Ezerioha

huyu ni professor, engeneer huyu ndie mgunduzi na mtengenezaji wa honda pia ameshiriki katika utengenezaji wa Hyundai Motor America mhshimiwa huyu pia anatengeneza injini za magari pia
220px-Bisi_before_a_race-_2013-09-24_11-08.jpg


SOUTH AFRICA

1. Aaron Klug
Huyu ni mchemia na biophycist alijishindia tuzo kwa kugundua crystallographic electron microscopy pia amegundua structure ya tobacco mosaic virus huyu ni director wa maabara ya molecular biology huko cambridge

2. Sydney Brenner
huyu amebobea kwenye genetic alipata tuzo noble prize kwenye phsiology or medicine anafanya kazi kwenye maabara ya molecular biology huko cambridge england pia ni mwanzilishi na mmiliki wa California instute of molecular bilology kwa kipindi cha maisha yake

3. Christiaan Barnard
huyu ni mpasuaji bingwa wa moyo pia alifanikiwa kuhamisha moyo kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa mara ya kwanza duniani hajareportiwa sehemu aliyokuwa anafanyakazi nnje ya africa lakini alionekana kuondoka sana africa na alikufa mwaka 2001

SUDANI
1. Mohammed Ibrahim
Huyu engineer na ni billionaire pia aliwahi kuishi british na kufanya kazi huko katika vitengo vya telecomunication aliajiriwa na british telecom huyu ni mwanzilishi wa mtandao wa celtel
220px-Mo_Ibrahim.jpg


2. Ali M. El-Agraa
huyu ni mwanauchumi bingwa amefanya kazi british, usa, na japan nchi ambazo sasa zinaonekana kukua kiuchumi mno

200px-Editing_Ali_M._El-Agraa.JPG


3. Mohamed Osman Baloola
huyu ni biomedical engineer pia ni mtafiti na mwendesha research kuhusu diabetes anafanya kazi uarabuni katika Ajman University of Science and Technology

220px-Mohamed_Osman_baloola.jpg

TANZANIA
1. Felix A. Chami
Felix A. Chami is an archaeologist from Tanzania. He is a professor at Dar es Salaam University. Dr. Chami discovered, on the island of Mafia and Juani, artefacts that revealed East Africa as being integral to the Indian Ocean trade huyu yupo africa na anafanya kazi africa alichogundua imebidi nikiweke kwenye lugha ya fumbo ili mjiulize kwanini kabaki africa
220px-Professor_Felix_Chami.jpg

UGANDA
1. Kwatsi Alibaruho
Huyu ni director wa kurusha vifaa vya anga anafanya kazi National Aeronautics and Space Administration (NASA) alishadirect human spaceflight mwaka 2005 pia anahusika kumanage na kucarry space shuttle flight
220px-Kwatsi_Alibaruho_-_flight_director.jpg

AFRICA TUNA LIST YA WANASAYANSI WENGI AMBA O NI WAZAWA WA AFRICA LAKINI SASA WANAYATUMIKIA MATAIFA MAKUBWA BADALA YA TAIFA LAO PIA WENGINE WANAONEKANA KUTAFUTA URAIA KWENYE MATAIFA HAYO

1. Je hii ni akili na wanasababu mdhubuti kufanya hivyo? je kuna watu wa mataifa makubwa kama amerca wanakuja kulitumikia tafa dogo africa?

2. Je tukisema waafrica wanatamaa ya pesa na si wazalendo wa nchi zao tunakosea? unafikiri hawa wanasayansi wangefanya kazi kwenye mabara yao africa tungekuwa bado maskini?

3. Je unafikiri hawa wanasayansi wangefanya kazi africa kungekuwa na mgogoro mkubwa na mataifa makubwa na huenda wangefanikiwa kuwaua?

4. je wanasayansi wa africa wanalazimishwa kufanya kazi kwenye mataifa makubwa na kutishiwa kuuliwa hivyo wanaogopa kufa



ILA NIMEGUNDUA WANASAYANSI WENGI WA KIAFRICA WANAOJULIKANA DUNIA NA NI WAZAWA WA SOUTH AFRICA BADO WANAFANYA KAZI SOUTH AFRICA JAPO SIJAWAWEKA KWENYE LIST HAPO

UMEGUNDUA NINI? africa tunajiona tuna wanasayansi wengi lakini wanaofahamika ulimwenguni pote ni wachache mfano kwa tanzania anafahamika mmoja kwani tunamaporofesa wangapi kwenye vyuo vyetu je wametendewa haki kutotajwa kwenye hii list?


nawasilisha
 
inategemea wataalamu wapo wengi lakini alichogundua kina value kiasi gani pia mbona watanzania kibao hawapo yupo mmoja tu
Huyu pia sio wa kawaida mkuu.
1989 - alipata Gordon Bell Prize. Anamchango mkubwa sana katika uwepo wa Internet Duniani. nadhani ni mwafrika pekee japo huyu jamaa huwa anakuwa ranked 35th katika all time african scientist.
Lakini huyu jamaa ndiye mtu wa kwanza kudevelop world fastest computer. Na mazungumzo yoyote ya super-computer hayawezi kuzungumziwa bila yeye kugusiwa.

ingawa nimeelewa hapo umetuletea top.

Tuko pamoja lkn kiongozi.
 
Huyu pia sio wa kawaida mkuu.
1989 - alipata Gordon Bell Prize. Anamchango mkubwa sana katika uwepo wa Internet Duniani. nadhani ni mwafrika pekee japo huyu jamaa huwa anakuwa ranked 35th katika all time african scientist.
Lakini huyu jamaa ndiye mtu wa kwanza kudevelop world fastest computer. Na mazungumzo yoyote ya super-computer hayawezi kuzungumziwa bila yeye kugusiwa.

ingawa nimeelewa hapo umetuletea top.

Tuko pamoja lkn kiongozi.
ni ukweli ila nae ni hivyo hivyo alianza kuifanyia kazi united state
 
kwani wangebaki kwenye nchi zao wakayafanya hayo waliyoenda kufanya kwenye mataifa makubwa si ipo siku kazi za mikono yao zingewalipa au tuseme wana tamaa ya pesa?
Tunaweza kusema hawana tamaa ya pesa na utakuta asilimia kubwa ya hao hapo hawajasoma nchini kwao,sasa kama mtu amesoma mambo ya anga na kurusha space objects huko juu na ni mzaliwa wa Uganda je lini uganda itaweza kugharamia utengenezwaji hata wa satellite yake yenyewe au kuweza kufanya utafiti wa anga na kuleta takwimu nchini kwao kikubwa ni kwamba waafrica tunapewa nafasi ya kwenda kusoma nchi zilizoendelea vitu ambavyo ni vikubwa na vinatakiwa maandalizi mazuri yakifedha na miundombinu lakini nchi zetu hazitaki kuwekeza kwenye hayo mambo ambayo sisi tunayasoma sasa utakuta mtu kama huyo au hao hawawezi kurudi nchi zao kinachotokea anachukuliwa na nchi zilizojipanga na asilimia kubwa huwa wanajitahidi pindi wanapopata hizo nafasi.

Kwahio tujipange tuu ili wasomi pindi wanapomaliza wawe na uhakika na mtu unakuta anashauku kweli ya kuisaidia nchi yake sema ndo hivyo hatuna hiyo miradi wala fedha za kuwekeza
 
Tunaweza kusema hawana tamaa ya pesa na utakuta asilimia kubwa ya hao hapo hawajasoma nchini kwao,sasa kama mtu amesoma mambo ya anga na kurusha space objects huko juu na ni mzaliwa wa Uganda je lini uganda itaweza kugharamia utengenezwaji hata wa satellite yake yenyewe au kuweza kufanya utafiti wa
fact angalau wangerudi hata kufundisha kwenye baadhi ya vyuo vyetu afrika au wangeunda baraza la wanasayansi la africa wajadili watafanya nini watajikwamua vipi kama wanasayansi wenzao wa ulaya na amerca kwa sababu dawa ya tatizo sio kulikimbia tatitizo bali ni kulipatia solution kwa maana hiyo kama nchi za africa zimewwagharamikia kuwasomesha lakini baadae wasirudi nchini kwao kusaidia sasa hapo kutakuwa na faida gani ya kusoma?
 
fact angalau wangerudi hata kufundisha kwenye baadhi ya vyuo vyetu afrika au wangeunda baraza la wanasayansi la africa wajadili watafanya nini watajikuamua vipi kama wanasayansi wenzao wa ulaya na amerca kwa sababu dawa ya tatizo sio kulikimbia tatitizo bali ni kulipatia solution kwa maana hiyo kama nchi za africa zimewwagharamikia kuwasomesha lakini baadae wasirudi nchini kwao kusaidia sasa hapo kutakuwa na faida gani ya kusoma?
Ni sawa ila nchi za africa mara nyingi hazigharamii michango ya watu wanaosoma labda wao wanakuwa kama daraja la wewe kwenda huko ila sio mbaya tukisema wanagharamia,Lakini kama tunataka warudi nchi zao au bara la Africa basi tujiandae kuwekeza fedha kwenye hiyo miradi na si prpaganda tena usije ukashangaa wanarudi huku kazi yao inakuwa kila siku semina za kuaandaa wanasayansi chipukizi,watu kama hao wakirudi wanatakiwa waanze kutupa maarifa yao asilimia kubwa kwa vitendo maana hii ni sekta ya sayansi uliyoielezea sasa kama wakija na kuanza maneno sidhani kama tutafika tutabaki kuwasikia na kuwapongeza huku wakiinua nchi walizoenda kusoma au kuajiriwa
 
Ni sawa ila nchi za africa mara nyingi hazigharamii michango ya watu wanaosoma labda wao wanakuwa kama daraja la wewe kwenda huko ila sio mbaya tukisema wanagharamia,Lakini kama tunataka warudi nchi zao au bara la Africa basi tujiandae kuwekeza fedha kwenye hiyo miradi na si prpaganda tena usije ukashangaa wanarudi huku kazi yao inakuwa kila siku semina za kuaandaa wanasayansi chipukizi,watu kama hao wakirudi wanatakiwa waanze kutupa maarifa yao asilimia kubwa kwa vitendo maana hii ni sekta ya sayansi uliyoielezea sasa kama wakija na kuanza maneno sidhani kama tutafika tutabaki kuwasikia na kuwapongeza huku wakiinua nchi walizoenda kusoma au kuajiriwa
fact sana kwa tanzania hapa wakiletwa watapata shida sana magu ametuonesha mfano

hivi africa nzima ilishajaribu kukaa na kujaribu kuunda baraza la wanasayansi ikiwahusisha na hao walioenda kufanya kazi njee?
 
fact sana kwa tanzania hapa wakiletwa watapata shida sana magu ametuonesha mfano

hivi africa nzima ilishajaribu kukaa na kujaribu kuunda baraza la wanasayansi ikiwahusisha na hao walioenda kufanya kazi njee?
sidhani si wanajua kabisa wakiwaita na wao watakula wapi wakati wanataka washibe waoo
 
Tatizo letu ni kwamba sisi waafrica tunapenda kitu tukile kibichi bado kikiwa shambani wakati inatakiwa mazao uyangojee yakomae na yatakuwa mengi sasa viongozi wetu wanapoingia kila mtu anataka akachume shambani mazao yakiwa mabichi tukienda hivyo hatutafika kamwee
 
nchi kama marekani ilitumia takribani miaka 80's mpaka nayo inajitambua na kujiona imeendelea na hawakutaka kupiga propaganda nyingi kwenye sekta ya maendeleo ya viwanda na kama wao wangehesabia cherehani ni kiwanda wangekuwa wapi leo hizi cherehani tunazoziona ni kiwanda hapa nchini utakuta ni kitu kilichotumiwa miaka hata 50 iliyopita eti sisi leo tunashtuka na kukumbuka nacho ni kiwanda aibu sanaa tena mnoo
 
Back
Top Bottom