Zana ya kiimani kuwa viumbe hai viliumbwa
ndani ya siku moja au vimeumbwa kwenye
mfumo wa theory ya evolution of life ya Charles
Dawn imekanushwa kwa vitendo vya mawimbi
ya program ya nguvu za...
Wakuu naombeni ufafanuzi hapa. Kati ya MWEZI na JUA kipi kina nguvu zaidi ya kingine? Pili wanasayansi wengi husafiri kwenda mwezini, Je! Kwa nini hawaendi kwenye jua? Pia wanasayansi hao hao...
Kombora la ajabu: Je ni silaha gani iliofanyiwa majaribio na Urusi Arctic?
Hakimiliki ya pichaRUSSIAN DEFENCE MINISTRY
Wahandisi watano wa nguvu za kinyuklia waliofariki kufuatia kulipuka kwa...
Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa...
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact...
Ilikuwa mwaka 2011 ndipo alipoonekana kwa Mara mwisho kiongozi wa zamani wa Libya colonel GADAFI.
Ni katika hotuba zake na pia akiuawa na vikosi vya waasi wakisimamiwa na NATO air Force.
Lakini...
Historia kuu inayozingatiwa kuhusu hesabu za miaka ni ile yenye mlengwa wa kidini. ambapo historia hiyo inasema miaka 2019 ilianzia mwaka 1 ambapo Yesu kristo alipozaliwa kwa mujibu wa Dionysius...
Huyu ni mtoto wa meneja wa zamani wa NBC Urambo na mzawa wa Masasi,Ibrahim Salumu Khatau na mama yake karani wa bank ya NBC Isike Tabora na baadae Urambo Bi.Stella Ezekiel,wote ni marehemu sasa...
Wale wahenga wanakumbukua ile story ya mnugu aliyekutwa Arusha miaka ya tisini. Alikuwa analima bangi kumbe alikuwa fugitive. FBI files wanasimulia mkasa wake jamaa alikuwa gang leader in states...
Majuma kadhaa yalopita, The Bold aliweza kuandika Thread inayomhusu D.B.Cooper,jamaa ambae aliweza kuiteka ndege ya Boeing mnamo mwaka 1971 na kisha kuomba apewe dollar lak 2 ambazo alipewa na...
Habari wana JF,
Leo, nimevutiwa kuandika makala hii, inaohusiana na maswala ya kukua na kuanguka kwa mataifa kwa madhumuni ya elimu kwa wasiojua (kwa wanaojua iwe ukumbusho).
NB: Ntatumia mifano...
UTANGULIZI
Habari za jioni wana jukwaa pendwa kufuatia maoni kwenye huu uzi
Wafahamu viumbe watatu wa kutisha wa baharini - JamiiForums kuna baadhi ya watu walinitaka niandae uzi maalum ili...
Leo tujikumbushe skendo iliyolitikisa taifa la Marekani hasa familia ya Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton kuhusiana kimapenzi na mfanyakazi wa Ikulu Monica Lewinsky.Wengi tumesahau lakini ni...
Salaam.
Huwa nawaona walinzi wawili wa Mh. Rais wamebeba mabegi wanatembea nayo karibu kabisa na Mh. Rais kila aendapo.
Yale mabegi huwa ni ya nini ?
Yamebaba nini ?
The unknown that awaits us in the future can be unsettling, we're living in an era where our conditions, capabilities and understandings are progressing so fast and in so many different...
Ungependelea Mwili wako upitie hali ipi siku ya kifo chako, Udongoni au kwenye moto mkali
Nimekuwa na huu mjadala na baadhi ya marafiki wangu wa karibu kwani tupo katika Mazingira ya hospitali na...
Katika pitapita zangu mitandaoni nimeona watu wengi wakibeza aina ya ulinzi apatiwao rais wetu kwa sasa. Kila raisi duniani ni lazima alinde kwa namna yoyote ile, napenda weka mifano ya pita...
"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia...
Dr.Joshua Grubb
(PhD) mtaalamu wa saikolojia alifanya utafiti katika chuo kikuu cha Western Reserve kutaka kujua sababu mojawapo inayochangia watu wasifisafinikiwe kutimiza Malengo waliyojiwekea...
The World's Top 10 Arms Exporting Countries In 2018
The world’s ten biggest arms exporting countries made armament transfers worth more than $25bn in 2018.
Army-technology lists the top ten arms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.