Wasalaam wanabodi.......
Tukio moja limetokea kijijini kwetu wananchi wamemtimua kwa mapanaga mtumishi wa serikali(mwalimu was kiume) kwa tuhuma za kufanya mapenzi na wake zao kiuchawi. Jamaa...
1.Kwenye Dunia hii kuna watu wanaishi maisha ya furaha maisha yenye kila kitu wanachohitaji. Je hatuwezi kusema kuwa hao watu wanaishi peponi? Sababu miili yao na roho zao zinapata wanachohitaji...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Jinsi adhabu ya kusubishwa ilivyoondoshwa hapa duniani ilikuwa ni desturi ya Wayahudi hata Warumi kuhukumu watu kusulubishwa katika msalaba waliokutwa na makosa mbalimbali kama
Kutaka kupindua...
Sniper ni specialists/wataalamu wanaohusika na ulengaji shabaha mahiri sana wanaotumia silaha maalumu. Snipers hutimiza misheni zao aidha wakiwa peke yao yaani "one man army" au wakiwa katika...
Habari wazee wa kazi kwema kabisa?.Leo ningependa kuwashirikisha suala moja kwangu nimeona ni njia ya mafanikio kwa yeyote yule ambaye ataiweza ataiishi.
Njia yenyewe ni Kuushinda mwili,mwili ndio...
Nafsi, Mwili na Roho:
Mwili wa mwanadamu naweza kuufananisha na mfumo wa Computer. Mfumo wa Computer umegawanyika katika Hardware na Software.
Hardware (vifaa vya nje vya Computer kama Keyboard...
Overpopulation is a major cause of most of the world’s problems. Whether it is a question of food shortage, lack of drinking water or energy shortages, every country in the world is affected by it...
cocaine ni moja wapo ya mimea ya zamani sana, miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu inasemeka cocaine ilikuwepo.
ebu tanzie hapa kwanza,,, 'Incas' hii ni jamii flani ya watu ambao walikuwa...
Hivi vyombo vya usalama vya Tanzania huwa vinachukua na kuhifadhi DNA za wahalifu?
Hivi huwa hata wanajaribu kuchukua DNA [pale inapowezekana] kwenye eneo la tukio la uhalifu?
Editor?s note: This article was originally published in 2014.
On Monday [October 13 2014], America?s government offices, businesses, and banks all grind to a halt in order to commemorate...
Nauliza kwa sababu ktk hii dunia ya sasa watu tumetofautiana sana kiakili. Kati ya watu Weupe na Watu Weusi.
Mfano mzuri ni huu, kwamba, wakati wenzetu wamefikia kiwango cha Kutengeneza vyombo...
Habari WanaJF,
Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika uzi humu jf,nimekuwa nikicomment tu,ila kuna suala nataka kusashirikisha kidogo.
Kuna kitu naweza kuita natural power which has been guiding...
Je, Papa Ndiye “Mrithi wa Mtakatifu Petro”?
*MNAMO 2002,* Papa Yohana Paulo wa Pili alimwandikia barua askofu wa Limburg, huko Ujerumani, akifutilia mbali uamuzi uliofanywa na askofu huyo kuhusu...
Ottoman empire ilikuwa himaya iliyotawala muda mrefu toka mwaka 1299 mpaka 1915 kwenye vita kuu ya kwanza ya dunia ikiongozwa na ma sultan, je vitabu vya dini hasa biblia na quran vinasemaje...
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua...
KAMERA YA KEVIN YASABABISHA GUMZO LA DUNIA.
Na Bahati Samwel
Friday 16/6/2019
Namanga, Longido, Arusha-Tanzania
Sudan yaingia gizani miaka ya 90.
Sudan ni taifa la tatu kwa ukubwa Afrika na...
Who would know this answer? Maybe someone who is in contact with the Almighty? Manabii/wachungaji/matapeli wetu
And if someone was in touch with the Almighty, I can think of better questions to...
Wakuu habari?bila kupoteza muda napenda kujua hivi kwa nini upatikanaji wa dhahabu huongezeka sana msimu wa mvua kuliko msimu wa jua?nini huwa kinatokea? Na hko chini ni kitu gani kinachotengeneza...
Katika Yerusalem unaweza ongea chochote iwe Siasa, Dini ama Historia.
Kutoka kwa Abraham mpaka zama ya Trump na Netanyahu.
Katika Masada zipo story mbili.
Moja inamuhusu Mfalme Herode na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.