Hivi ndivyo Rais Bill Clinton na Monica Lewinsky walivyofumaniwa Ikulu

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,446
bd2b89a5f79c8548b30a97f8054612a5.jpg

Leo tujikumbushe skendo iliyolitikisa taifa la Marekani hasa familia ya Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton kuhusiana kimapenzi na mfanyakazi wa Ikulu Monica Lewinsky.Wengi tumesahau lakini ni moja y skendo zinazosisimua sana kuzisoma.Leo tutaipiti japo kwa juu juu na kwa lugha nyepesi ya kiswahili


ILIANZAJE?
Ilikuwa ni mwaka 1995 wakati huo Bill Clintoni akiw katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi mareka akiwa na umri wa miaka 46.Monica yeye alianz kufanya kazi Ikulu katika ofisi ya katibu mkuu kiongo (Chief of Staff) Leon Paneth tangu June, 1995 kam mfanya kazi mwanafunzi (Intern) akiwa ametok kuhitimu chuo cha Lewis & Clark college.Ni hapo B Clinton alipomuona na kuvutiwa na binti huyo aliekuw bado mchanga na mbichi wa miaka 21 tu na kwa muji wa Monica walianza mahusiano na Rais Novemb mwaka huohuo.


ILIKUWAJE?
Baada ya Rais kuwa na mahaba na Monica na hiv kunogewa nayo msaidizi wa katibu mkuu kiongozi Evelyn Liberman alishtukia mchezo na April 19 aliamua kumwamisha Monica katika ofisi ya msema msaidizi wa wizara ya Ulinzi (Pentagon) bwana Ke Bacon.Bi Evelyn alitoa sababu kuwa amemwamish kutokana na Monica kuonyesha tabia zisizofaa na kitoto “inappropriate and immature behavior". Laki pia watendaji wengine walikuwa wakitilia shaka ukarib uliopitiliza kati ya Monica na Rais. Ni katika ofisi hi za pentagon ndipo Monica akakutana na Linda Trip binti aliyekuwa mfanyakazi wa idara ya Ulinzi katik wizara hiyo wakaunda urafiki.
Kutokana na ukaribu wa kiutendaji kati ya Pentago na Ikulu bado Monica alikuwa na nafasi kubwa y kuwa anafika Ikulu mara kwa mara na mara zo alitumia muda mwingi sana katika ofisi ya Rais ki ambacho bado hakikuwa kikiwafurahisha wafanyaka wa Ikulu na hivyo October 1997 Ikulu iliandaa mpan wa kumwamisha tena bi Monica na kumtaka aham ofisi za umoja wa mataifa UN. Ni balozi Bill Richardso alieombwa ampangie kazi Monica lakini baada ya usa wa kazi bi Monica aliikata nafasi hiyo na hiv kubakishwa Pentagon.
Ikumbukwe mpaka wakati huo hakuna aliekuwa n ushahidi pasi shaka kuwa Monica ana “date” na Ra Clinton.Ni mwaka huo hasa baada ya kuona anazi kuwekewa vipingamizi vingi vya kukutana na Rais mar kwa mara ndipo alipoanza kumueleza Linda Trip rafiki yake wa wizara ya ulinzi juu ya mahusiano ya na Rais.Alimweleza kuwa kati ya November 1995 mpak March 1997 alishakutana kimwili na Rais Clinton mar tisa.Linda baada ya kusikia hivyo aliwasiliana n mwanausalama Agent Lucianne Goldberg aliempa kifa cha kurekodia simu na hivyo Linda akamtegeshe Monica na kurekodi simu zote alizokuwa akiwasiliana n Rais Clinton.Ni katika kipindi hicho pia kuna siku Lind Tripp alikutana ana Monica akiwa anatoka kwen ofisi ya Rais nywele zikiwa zimemvurugika na rangi y mdomoni ikiwa imebanduka.



SKENDO ILIIBUKAJE?
Baada ya Monica kugoma kutoka Pentagon lilitoka shinikizo kutoka Ikulu na haraka aligundua anafukuzwa kazi hivyo aliamua kuacha kazi kw kuahidiwa na Rais kuwa atamtafutia kazi nyingine Rais Clinton kwa kumtumia msaidizi wake Betty Cur aliyekuwa akijua kinachoendelea kati ya Rais na Monica aliamua kumtumia rafiki wa karibu wa Clinton bwana Vernon Jordan amtafutie kazi Monica.
Sasa baada ya Linda Tripp kukamilisha kukusany ushahidi wake ajenti Goldberg alimwelekeza Lind apeleke mkanda huo kwa mwanasheria wa kujitegem Kenneth Starr aliyekuwa akichunguza skendo nyingi za Clinton kama ile ya Whitewater , White House F filter Controversy na ile ya White House Travel offi controversy .Baada ya kumfikishia Kenneth yeye sas angepeleka kwa Paula Jones(Kuna sababu maalum y kufanya hivi).
Mkanda ulipomfikia Paula Jones alimwita Monica n kumwambia madai hayo Monica alikataa na ndipo ha walipowasiliana na mwandishi wa habari Micha Isikoff wa gazeti la Newsweek. Mnamo Janua 17 ,1998 Michael katika Drudge report alipoamu kuirusha hiyo habari kwa mara ya kwanza. Janua 21, 1998 gazeti kubwa la Washngton Post nalo likaruk na hiyo skendo na ikaanza kuwa kubwa na isi mithilika.
Kwa mara ya kwanza January 26, 1998 Rais Clinto akiwa anaongea na waandishi wa habari Ikulu akiw sambamba na mkewe bi Hilarry alikataa katakat kujihusisha kimapenzi na Monica. Hata alipoletew rekodi za maongezi yao Rais alikataa na kuondok haraka kwa kudai kuwa anaharaka ya kwend kuandaa spichi ya kuwasilisha hali ya uchumi ya Taifa.


NINI KILIFUATA BAADAE?
Habari ni ndefu ila itoshe tu kusema baada ya ha yapo mengi sana yaligundulika na kuendelea n kulitokea msukumo kuwa Rais ajiuzulu na yeye Februa 6,1998 akajibu “Kwa imani watu wa nchi hii waliyonip kwa kunichagua kuwa Rais wao kamwe siwezi waach kwa sababu hii”. Hilary clinton mkewe nae aliamu kuziba masikio na February 11, 1998 alinukuliw akisema “Suala hili si zito sana litakwisha tu” .
Skendo hii ni ndefu saga litaendelea.
 
bd2b89a5f79c8548b30a97f8054612a5.jpg

Leo tujikumbushe skendo iliyolitikisa taifa la Marekani hasa familia ya Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton kuhusiana kimapenzi na mfanyakazi wa Ikulu Monica Lewinsky.Wengi tumesahau lakini ni moja y skendo zinazosisimua sana kuzisoma.Leo tutaipiti japo kwa juu juu na kwa lugha nyepesi ya kiswahili


ILIANZAJE?
Ilikuwa ni mwaka 1995 wakati huo Bill Clintoni akiw katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi mareka akiwa na umri wa miaka 46.Monica yeye alianz kufanya kazi Ikulu katika ofisi ya katibu mkuu kiongo (Chief of Staff) Leon Paneth tangu June, 1995 kam mfanya kazi mwanafunzi (Intern) akiwa ametok kuhitimu chuo cha Lewis & Clark college.Ni hapo B Clinton alipomuona na kuvutiwa na binti huyo aliekuw bado mchanga na mbichi wa miaka 21 tu na kwa muji wa Monica walianza mahusiano na Rais Novemb mwaka huohuo.


ILIKUWAJE?
Baada ya Rais kuwa na mahaba na Monica na hiv kunogewa nayo msaidizi wa katibu mkuu kiongozi Evelyn Liberman alishtukia mchezo na April 19 aliamua kumwamisha Monica katika ofisi ya msema msaidizi wa wizara ya Ulinzi (Pentagon) bwana Ke Bacon.Bi Evelyn alitoa sababu kuwa amemwamish kutokana na Monica kuonyesha tabia zisizofaa na kitoto “inappropriate and immature behavior". Laki pia watendaji wengine walikuwa wakitilia shaka ukarib uliopitiliza kati ya Monica na Rais. Ni katika ofisi hi za pentagon ndipo Monica akakutana na Linda Trip binti aliyekuwa mfanyakazi wa idara ya Ulinzi katik wizara hiyo wakaunda urafiki.
Kutokana na ukaribu wa kiutendaji kati ya Pentago na Ikulu bado Monica alikuwa na nafasi kubwa y kuwa anafika Ikulu mara kwa mara na mara zo alitumia muda mwingi sana katika ofisi ya Rais ki ambacho bado hakikuwa kikiwafurahisha wafanyaka wa Ikulu na hivyo October 1997 Ikulu iliandaa mpan wa kumwamisha tena bi Monica na kumtaka aham ofisi za umoja wa mataifa UN. Ni balozi Bill Richardso alieombwa ampangie kazi Monica lakini baada ya usa wa kazi bi Monica aliikata nafasi hiyo na hiv kubakishwa Pentagon.
Ikumbukwe mpaka wakati huo hakuna aliekuwa n ushahidi pasi shaka kuwa Monica ana “date” na Ra Clinton.Ni mwaka huo hasa baada ya kuona anazi kuwekewa vipingamizi vingi vya kukutana na Rais mar kwa mara ndipo alipoanza kumueleza Linda Trip rafiki yake wa wizara ya ulinzi juu ya mahusiano ya na Rais.Alimweleza kuwa kati ya November 1995 mpak March 1997 alishakutana kimwili na Rais Clinton mar tisa.Linda baada ya kusikia hivyo aliwasiliana n mwanausalama Agent Lucianne Goldberg aliempa kifa cha kurekodia simu na hivyo Linda akamtegeshe Monica na kurekodi simu zote alizokuwa akiwasiliana n Rais Clinton.Ni katika kipindi hicho pia kuna siku Lind Tripp alikutana ana Monica akiwa anatoka kwen ofisi ya Rais nywele zikiwa zimemvurugika na rangi y mdomoni ikiwa imebanduka.



SKENDO ILIIBUKAJE?
Baada ya Monica kugoma kutoka Pentagon lilitoka shinikizo kutoka Ikulu na haraka aligundua anafukuzwa kazi hivyo aliamua kuacha kazi kw kuahidiwa na Rais kuwa atamtafutia kazi nyingine Rais Clinton kwa kumtumia msaidizi wake Betty Cur aliyekuwa akijua kinachoendelea kati ya Rais na Monica aliamua kumtumia rafiki wa karibu wa Clinton bwana Vernon Jordan amtafutie kazi Monica.
Sasa baada ya Linda Tripp kukamilisha kukusany ushahidi wake ajenti Goldberg alimwelekeza Lind apeleke mkanda huo kwa mwanasheria wa kujitegem Kenneth Starr aliyekuwa akichunguza skendo nyingi za Clinton kama ile ya Whitewater , White House F filter Controversy na ile ya White House Travel offi controversy .Baada ya kumfikishia Kenneth yeye sas angepeleka kwa Paula Jones(Kuna sababu maalum y kufanya hivi).
Mkanda ulipomfikia Paula Jones alimwita Monica n kumwambia madai hayo Monica alikataa na ndipo ha walipowasiliana na mwandishi wa habari Micha Isikoff wa gazeti la Newsweek. Mnamo Janua 17 ,1998 Michael katika Drudge report alipoamu kuirusha hiyo habari kwa mara ya kwanza. Janua 21, 1998 gazeti kubwa la Washngton Post nalo likaruk na hiyo skendo na ikaanza kuwa kubwa na isi mithilika.
Kwa mara ya kwanza January 26, 1998 Rais Clinto akiwa anaongea na waandishi wa habari Ikulu akiw sambamba na mkewe bi Hilarry alikataa katakat kujihusisha kimapenzi na Monica. Hata alipoletew rekodi za maongezi yao Rais alikataa na kuondok haraka kwa kudai kuwa anaharaka ya kwend kuandaa spichi ya kuwasilisha hali ya uchumi ya Taifa.


NINI KILIFUATA BAADAE?
Habari ni ndefu ila itoshe tu kusema baada ya ha yapo mengi sana yaligundulika na kuendelea n kulitokea msukumo kuwa Rais ajiuzulu na yeye Februa 6,1998 akajibu “Kwa imani watu wa nchi hii waliyonip kwa kunichagua kuwa Rais wao kamwe siwezi waach kwa sababu hii”. Hilary clinton mkewe nae aliamu kuziba masikio na February 11, 1998 alinukuliw akisema “Suala hili si zito sana litakwisha tu” .
Skendo hii ni ndefu saga litaendelea.

Hii kesi niliwahi kuisikiliza siku ya IMPEACHMENT ya Mh. Rais Clinton. Kuna jamaa moja lilisimama kwa ajili ya kumtetea Mh. Rais likasema statement hii huwa siisahau. THE IMPEACHABLE SENSES ARE NOT PROVABLE, AND THE PROVABLE SENSES ARE NOT IMPEACHABLE. Nilichoka siku hiyo baada ya kusikia statement hiyo. Nilikubali kuwa kuna watu wanajua kucheza na maneno duniani!
 
Yalimshinda Mfalme Daudi, Yakamshinda Selemani, Adamu akaponzwa na Hawa, Samsoni akaponzwa na Delila, Mugabe akaponzwa na grace, Clinton akaponzwa na Monica.. Ivi mimi ni nani hata nisalimike?
"sadifa" akapomzwa na Angela
 
Hii kesi niliwahi kuisikiliza siku ya IMPEACHMENT ya Mh. Rais Clinton. Kuna jamaa moja lilisimama kwa ajili ya kumtetea Mh. Rais likasema statement hii huwa siisahau. THE IMPEACHABLE SENSES ARE NOT PROVABLE, AND THE PROVABLE SENSES ARE NOT IMPEACHABLE. Nilichoka siku hiyo baada ya kusikia statement hiyo. Nilikubali kuwa kuna watu wanajua kucheza na maneno duniani!
Itafsiri kwa kiswahili
Papuchi bwaana !!! Hadi maraisi wanaitetemekea hhahahah daah
 
Back
Top Bottom