Ilikuwa mwaka 2011 ndipo alipoonekana kwa Mara mwisho kiongozi wa zamani wa Libya colonel GADAFI.
Ni katika hotuba zake na pia akiuawa na vikosi vya waasi wakisimamiwa na NATO air Force.
Lakini haikuonekana tena maiti ya Gadafi ikizikwa popote katika ardhi ya Libya ama popote duniani.
Baada ya maelezo haya nawasilisha kwa kuomba kuuliza Tena kwa wanajamii forums
"" VIKO WAPI KABURI NA MWILI WA COLONEL GADAFI?”
Ni katika hotuba zake na pia akiuawa na vikosi vya waasi wakisimamiwa na NATO air Force.
Lakini haikuonekana tena maiti ya Gadafi ikizikwa popote katika ardhi ya Libya ama popote duniani.
Baada ya maelezo haya nawasilisha kwa kuomba kuuliza Tena kwa wanajamii forums
"" VIKO WAPI KABURI NA MWILI WA COLONEL GADAFI?”