Viko wapi mwili na kaburi la Kanali Gaddafi?

Viko wapi mwili na kaburi la Kanali Gaddafi?

Sela Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,971
Reaction score
8,855
Ilikuwa mwaka 2011 ndipo alipoonekana kwa Mara mwisho kiongozi wa zamani wa Libya colonel GADAFI.

Ni katika hotuba zake na pia akiuawa na vikosi vya waasi wakisimamiwa na NATO air Force.

Lakini haikuonekana tena maiti ya Gadafi ikizikwa popote katika ardhi ya Libya ama popote duniani.

Baada ya maelezo haya nawasilisha kwa kuomba kuuliza Tena kwa wanajamii forums
"" VIKO WAPI KABURI NA MWILI WA COLONEL GADAFI?”
 
Kuna siku wataonekana tu ..itakapofika kipindi wanataka kuweka historia wazi watamuonyesha kwenye majumba yao ya historia ikiongozwa na maneno haya HUYU NDIYE ALIEKUWA KIONGOZI WA LIBYA ALIEFANYIA WANANCHI WAKE KILA KITU .. LAKINI KUTOKANA NA WA AFRICA HAWANA AKILI WAKAMUUWA WENYEWE KIONGOZI WAO ...Mi.i nakwambi badae hawa jamaa wa mataifa makubwa wanakuja kuturuka waafrica kwa kuona kila kitu tulikuwa tunataka wenyewe...Ngoja wavune wanavyovitaka vikiisha utaona kama kutakuwa na taifa linalokushobokea ...Hebu naomba kujuzwa pale Somalia kunapatikana nini katika Taifa lile
 
Kuna siku wataonekana tu ..itakapofika kipindi wanataka kuweka historia wazi watamuonyesha kwenye majumba yao ya historia ikiongozwa na maneno haya HUYU NDIYE ALIEKUWA KIONGOZI WA LIBYA ALIEFANYIA WANANCHI WAKE KILA KITU .. LAKINI KUTOKANA NA WA AFRICA HAWANA AKILI WAKAMUUWA WENYEWE KIONGOZI WAO ...Mi.i nakwambi badae hawa jamaa wa mataifa makubwa wanakuja kuturuka waafrica kwa kuona kila kitu tulikuwa tunataka wenyewe...Ngoja wavune wanavyovitaka vikiisha utaona kama kutakuwa na taifa linalokushobokea ...Hebu naomba kujuzwa pale Somalia kunapatikana nini katika Taifa lile
Wanawekaga huko mafuvu ya mbwa Kama lile la Mtwa
 
Gaddafi aliogopewa hata baada ya kufa,walijua kua,kama watu wangekua wanaliona kaburi lake basi wangehamasika zaidi hata kulipa kisasi,waliogopa kizazi kijacho kuja kuona kaburi la shujaa wao,alizikwa Jangwani tena usiku ili watu wasijue kaburi lake lilipo!

Hata Osama Bin Laden waliitupa maiti yake baharini badala ya kuizika! kwa sababu hizo hizo ambazo ni uoga wa wazungu,

Halafu kutwa wao hao hao wanapiga kelele eti haki za binadamu! Mzungu ataendelea kutuchezea akili mpaka siku tutakapo amua sisi wenyewe kutoka usingizini.
 
Mimi nakwambia hawa watu wanao wao..hawawezi kusumbuliwa vile wakamfukia kirahisi au kumtupa kama osama..itafika kipindi utaona ukweli tu...
Gaddafi aliogopewa hata baada ya kufa,walijua kua,kama watu wangekua wanaliona kaburi lake basi wangehamasika zaidi hata kulipa kisasi,waliogopa kizazi kijacho kuja kuona kaburi la shujaa wao,alizikwa Jangwani tena usiku ili watu wasijue kaburi lake lilipo!

Hata Osama Bin Laden waliitupa maiti yake baharini badala ya kuizika! kwa sababu hizo hizo ambazo ni uoga wa wazungu,

Halafu kutwa wao hao hao wanapiga kelele eti haki za binadamu! Mzungu ataendelea kutuchezea akili mpaka siku tutakapo amua sisi wenyewe kutoka usingizini.
 
Walimzika na sensor na wakatumia vipimo vya map reading kufahamu exact place ili siku wakimhitaji wanampata
Lengo la kufanya vile hawakutaka kaburi liwepo walijua ingechochea hasira mfano libya ilivyosasa wengi wangeona tabu wapatayo ni kwakuwa wamemuua huenda kaburi lake lingeabudiwa na huenda jamii ingefikilia kurudisha madarakani kizazi chake ndio maana walipoteza kabisa kumbukumbu zake za mwisho na wamarekani kwa kutumia gps wanajua specific alipozikiwa.
 
Kuna siku wataonekana tu ..itakapofika kipindi wanataka kuweka historia wazi watamuonyesha kwenye majumba yao ya historia ikiongozwa na maneno haya HUYU NDIYE ALIEKUWA KIONGOZI WA LIBYA ALIEFANYIA WANANCHI WAKE KILA KITU .. LAKINI KUTOKANA NA WA AFRICA HAWANA AKILI WAKAMUUWA WENYEWE KIONGOZI WAO ...Mi.i nakwambi badae hawa jamaa wa mataifa makubwa wanakuja kuturuka waafrica kwa kuona kila kitu tulikuwa tunataka wenyewe...Ngoja wavune wanavyovitaka vikiisha utaona kama kutakuwa na taifa linalokushobokea ...Hebu naomba kujuzwa pale Somalia kunapatikana nini katika Taifa lile
Ukweli mchungu huu asee
 
Alizikwa ktkt ya jangwa na kaburi halijulikani hadi leo
 
Gaddafi aliogopewa hata baada ya kufa,walijua kua,kama watu wangekua wanaliona kaburi lake basi wangehamasika zaidi hata kulipa kisasi,waliogopa kizazi kijacho kuja kuona kaburi la shujaa wao,alizikwa Jangwani tena usiku ili watu wasijue kaburi lake lilipo!

Hata Osama Bin Laden waliitupa maiti yake baharini badala ya kuizika! kwa sababu hizo hizo ambazo ni uoga wa wazungu,

Halafu kutwa wao hao hao wanapiga kelele eti haki za binadamu! Mzungu ataendelea kutuchezea akili mpaka siku tutakapo amua sisi wenyewe kutoka usingizini.
MABEBERU SIO WATU WAZURI.
 
Hili hapa.. amezikwa ndani ya nyumba maalumu lkn kubwa zaidi ndugu zake walipata wasaa wa kushuhudia
20190709_171538.jpeg
 
Gaddafi aliogopewa hata baada ya kufa,walijua kua,kama watu wangekua wanaliona kaburi lake basi wangehamasika zaidi hata kulipa kisasi,waliogopa kizazi kijacho kuja kuona kaburi la shujaa wao,alizikwa Jangwani tena usiku ili watu wasijue kaburi lake lilipo!

Hata Osama Bin Laden waliitupa maiti yake baharini badala ya kuizika! kwa sababu hizo hizo ambazo ni uoga wa wazungu,

Halafu kutwa wao hao hao wanapiga kelele eti haki za binadamu! Mzungu ataendelea kutuchezea akili mpaka siku tutakapo amua sisi wenyewe kutoka usingizini.
Mpaka leo tu kwa hali waliyonayo lingeshawatia hasira walibya
 
Gaddafi aliogopewa hata baada ya kufa,walijua kua,kama watu wangekua wanaliona kaburi lake basi wangehamasika zaidi hata kulipa kisasi,waliogopa kizazi kijacho kuja kuona kaburi la shujaa wao,alizikwa Jangwani tena usiku ili watu wasijue kaburi lake lilipo!

Hata Osama Bin Laden waliitupa maiti yake baharini badala ya kuizika! kwa sababu hizo hizo ambazo ni uoga wa wazungu,

Halafu kutwa wao hao hao wanapiga kelele eti haki za binadamu! Mzungu ataendelea kutuchezea akili mpaka siku tutakapo amua sisi wenyewe kutoka usingizini.
Nikumbushe vizuri, Gadafi aliuliwa na wazungu gani?
 
Back
Top Bottom