Sababu zinazochangia watu wasifanikiwe

Sababu zinazochangia watu wasifanikiwe

Konzo Ikweta

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
745
Reaction score
1,504
Dr.Joshua Grubb
(PhD) mtaalamu wa saikolojia alifanya utafiti katika chuo kikuu cha Western Reserve kutaka kujua sababu mojawapo inayochangia watu wasifisafinikiwe kutimiza Malengo waliyojiwekea.

Moja ya sababu kubwa aliyoigundua ni hali ya kuwa “disappointed “.
Hii inatokea pale ambapo matarajio ya mtu yanapishana na uhalisia wa jambo Kwa mujibu wa utafiti huu ilionyesha kuwa “millennials” (Kizazi cha sasa) kinapata changamoto kubwa sana katika eneo hili kwa sababu ya matarajio Makubwa ya kutaka kuishi katika mazingira yaliyokamilika katika Kila Kitu.

“Dissapointment” hutokea pale ambapo unafanya biashara ukitarajia upate faida mara mbili Halafu unapata hasara na mtaji unapoteza, unatarajia mahusiano uliyoanza yatakuwa na furaha sana lakini yanageuka kuwa mateso, unatarajia kwa 100% kupata kazi uliyoomba badala yake unaikosa, unatarajia Kipaji chako kitaonekana kwa juhudi unayofanya lakini hakuna anayeona n.k

Njia Mbili za kuishinda hali hii ni moja kila wakati unapokuwa “disappointed” Kumbuka iko Njia nyingine ya kufanikiwa,usikate tamaa kwa sababu ulichotarajia hakijatokea. Mbili, usimchukie na kuendelea kumjadili “aliyekudisapoint” UKifanya hivyo utaendelea kudumaa hapo ulipo na akili yako haitapiga hatua kwenda mbele.

Leo kuna WATU na MAZINGIRA yatakudisapoint pia. Wakati Mwingine mambo hayo yatatokea asubuhi mapema kabisa-USIKUBALI SIKU YAKO IHARIBIKE, Take Control.

#Nanauka
 
Ni ngumu sana kuweza kuzikabili Disappointment ndio maana watu wengi wanatumia madawa ya kulevya; Cigars,Cocaine,Caffaine,Spirits,Beers n.k lakini hizo nazo sio sululisho.
 
Dr.Joshua Grubb
(PhD) mtaalamu wa saikolojia alifanya utafiti katika chuo kikuu cha Western Reserve kutaka kujua sababu mojawapo inayochangia watu wasifisafinikiwe kutimiza Malengo waliyojiwekea.

Moja ya sababu kubwa aliyoigundua ni hali ya kuwa “disappointed “.
Hii inatokea pale ambapo matarajio ya mtu yanapishana na uhalisia wa jambo Kwa mujibu wa utafiti huu ilionyesha kuwa “millennials” (Kizazi cha sasa) kinapata changamoto kubwa sana katika eneo hili kwa sababu ya matarajio Makubwa ya kutaka kuishi katika mazingira yaliyokamilika katika Kila Kitu.

“Dissapointment” hutokea pale ambapo unafanya biashara ukitarajia upate faida mara mbili Halafu unapata hasara na mtaji unapoteza, unatarajia mahusiano uliyoanza yatakuwa na furaha sana lakini yanageuka kuwa mateso, unatarajia kwa 100% kupata kazi uliyoomba badala yake unaikosa, unatarajia Kipaji chako kitaonekana kwa juhudi unayofanya lakini hakuna anayeona n.k

Njia Mbili za kuishinda hali hii ni moja kila wakati unapokuwa “disappointed” Kumbuka iko Njia nyingine ya kufanikiwa,usikate tamaa kwa sababu ulichotarajia hakijatokea. Mbili, usimchukie na kuendelea kumjadili “aliyekudisapoint” UKifanya hivyo utaendelea kudumaa hapo ulipo na akili yako haitapiga hatua kwenda mbele.

Leo kuna WATU na MAZINGIRA yatakudisapoint pia. Wakati Mwingine mambo hayo yatatokea asubuhi mapema kabisa-USIKUBALI SIKU YAKO IHARIBIKE, Take Control.

#Nanauka
Mkuu umesahau moja kubwa kuliko "UVIVU"
 
Kweli kabisa...

Always think positive and move on...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...



Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom