Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Galileo alizaliwa 1564 na baba aliyekuwa mwanamziki,alisomea maswala ya tiba chuo kikuu,ila baadaye aliacha na kusomea fizikia na hesabu,jambo lililo mfanya arudi nyumbani bila cheti chochote cha...
6 Reactions
9 Replies
5K Views
Waelewe/Wafahamu Wanaume (Understand Men) Habari za muda kidogo wasomaji wa makala ninazoziandika hasa kuhusu saikolojia na maisha karibu katika makala inayohusu kuwaelewa wanaume. Niombe radhi...
16 Reactions
24 Replies
13K Views
Jana nilikuwa maeneo ya Kkoo kijiwe story kimoja hivi kuna jamaa amebobea sana katika masuala ya kidini hasa Ukristo alianza kuongelea kuhusu hili suala la SPEAR OF DESTINY. Alisema kuwa ni kile...
7 Reactions
85 Replies
18K Views
Watati Bill Gates akiwa na utajiri wa dola za kimarekani Bilioni 80 wafuatao ni matajiri ambao hawatajwi sana wala kusikika sana ambao wanamfanya Bill Gates aonekane choka mbaya kuliko wao...
17 Reactions
71 Replies
16K Views
Miaka 45 ya upelelezi Part [1] Kwa wale wapenzi watazamaji wa tamthilia ya Prison Break watakuwa wanakumbuka katika msimu wa kwanza wa tamthilia kipindi muhusika mkuu wa tamthilia, Michael...
6 Reactions
33 Replies
10K Views
Mada kama inavyoeleweka naomba tujadili ni, mfumo upi bora kati ya iron dome na s-300 Je, Iran baada ya kupata s-300 mfumo huu unaweza kukinga ndege za Israel za f-16 zisipige Iran? Karibuni...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Juzi usiku nimeona kwenye kituo kimoja cha TV serikali yetu ikitangaza mpango wa kujenga barabara nyingine ya kiwango cha lami itakayokuwa sambamba na ile iliyopo kutoka Segera hadi Tanga, hivyo...
0 Reactions
102 Replies
21K Views
Habari zenu. natumai ni wazima wa afya lakini wale ambao hawako fresh.Nawapa pole. Thread hii inaweza isikupe majibu ya maswali yako mengi ambayo umatafuta majibu na ukakosa lakini inaweza kukupa...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Kwa muda mrefu nimefuatilia kuhusu mpango wa hizi secret societies wa kuestablish mpango wao wa One World Order. Kwa taarifa tu ni kuwa kwa sasa mpango wao uko ktk hatua za mwisho na nchi pekee...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu kama swali linavyouliza hapo juu; Nimekuwa nikipata mkanganyiko mkubwa pale ambapo nakutana na mjadala unaoelezea chanzo au mwanzo wa dhambi. Nadharia ya kwanza ni kuwa chanzo cha dhambi...
1 Reactions
63 Replies
9K Views
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dinosaria_wa_Tendaguru Kuna kijitabu kiliochotolewa mnamo mwaka 1998 kuhusu dinosauri ambao mifupa yao yalipatikana pale Tendaguru, Lindi. Jina la Tendaguru ni...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, Miliwahi kusikia kutoka kwa wahenga wakisema, saa ambayo mtu alizaliwa ndiyo hufa katika saa hiyo hiyo. Kuna ukweli wowote hapo?
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kutokana na wimbi la mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi kote nchini inashauriwa kuwa kila kituo cha polisi ijengwe mortuary ili maiti zote zinazotokana na mauaji ya polisi zihifadhiwe huko...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
Njia iliyotumika: Malori yenye baruti vilipushi yalitumika kutekeleza mashambulio mbele ya balozi. Idadi ya waathirika: Zaidi ya watu 300 (Tanzania na Kenya) waliuwawa huku 4000 wakijeruhiwa...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Bustani (dunia) yetu ni simulation, unawezaje kurekebisha kanuni ya uhai wako na ku-play in matrix. Huwezi kurekebisha code(msimbo) wako kwa unasoma tu. Lazima urekebishe data(ufahamu) wako...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
hii ni picha ya dunia iliyotokana na CGI,na nyingine nyingi kama tunaweza kushare,unaweza kutazama kwa umakini picha halisi na isiyo halisi yaani za kuundwa na computer kupelekea kufanana kama...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Kheri nusu shari kuliko shari kamili, wanaoukuja kuchukua vitambulisho vya taifa ni kama heading inavyosema ni vizuri kuchukua hatua kabla ya ajali. Je wameukana uraia wao huko walikotoka. Vyombo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu hebu tusome hadithi hizi za kushangaza kuhusiana na makundi ya mafia. Ukijisikia kuchangia, wewe changia, lakini dhumuni kuu ni kuelimishana na kupass time kwani leo ni jumatatu,wengi bado...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ni swali dogo fikirishi kidogo . leo hii ukiulizwa wamisri bila shaka kabisa utasema ni waarabu. ukiulizwa wazambia utasema ni waafrika. ukiulizwa wamarekani/faransa utasema ni wazungu. ukiulizwa...
3 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari wakuu, Dunia ilipofika sasa ni kwenye stage ya "high manipulation zone" ni hatua ambayo wanadamu asilimia kubwa wako easily controlled na so called "hidden system" ambayo huona output zake...
15 Reactions
325 Replies
26K Views
Back
Top Bottom