Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
The unknown that awaits us in the future can be unsettling, we're living in an era where our conditions, capabilities and understandings are progressing so fast and in so many different...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ungependelea Mwili wako upitie hali ipi siku ya kifo chako, Udongoni au kwenye moto mkali Nimekuwa na huu mjadala na baadhi ya marafiki wangu wa karibu kwani tupo katika Mazingira ya hospitali na...
4 Reactions
61 Replies
8K Views
Katika pitapita zangu mitandaoni nimeona watu wengi wakibeza aina ya ulinzi apatiwao rais wetu kwa sasa. Kila raisi duniani ni lazima alinde kwa namna yoyote ile, napenda weka mifano ya pita...
3 Reactions
25 Replies
7K Views
"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24. Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami Ni nani huyo muuaji? (Sikia...
11 Reactions
285 Replies
46K Views
Dr.Joshua Grubb (PhD) mtaalamu wa saikolojia alifanya utafiti katika chuo kikuu cha Western Reserve kutaka kujua sababu mojawapo inayochangia watu wasifisafinikiwe kutimiza Malengo waliyojiwekea...
18 Reactions
23 Replies
4K Views
The World's Top 10 Arms Exporting Countries In 2018 The world’s ten biggest arms exporting countries made armament transfers worth more than $25bn in 2018. Army-technology lists the top ten arms...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau kwa Wakristo katika ile Sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kuna maneno yanasomeka kuwa " Usitutie Majarubuni bali utuokoe na yule Muovu."Swali langu je Mungu anaweza kututia Majaribuni?Mie...
3 Reactions
85 Replies
15K Views
Ijue mitambo iliyo nasa sauti ya NAPE na MAKAMBA
2 Reactions
8 Replies
6K Views
JOHN EDGAR HOOVER, MWASISI WA SHIRIKA LA FBI, NA JASUSI MAHIRI NDANI YA USA. Jina lake halisi ni John Edgar Hoover lakini alipenda kujulikana zaidi kama J. Edgar Hoover. Ni Kachero...
6 Reactions
12 Replies
4K Views
Kuna meli ama sijui ni manowali tatu za Ukraine zilipigwa na kuchukuliwa na Urusi baada ya raisi wa Ukraine kipindi icho Poroshenko kuingizwa mkwenge na wazungu kuwa alianzishe watamsaidia ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MENTAL TOUGHNESS SECRETS OF THE WORLD CLASS by Steve Siebold THE WORLD CLASS COMPARTMENTALIZES EMOTIONS WALIOFANIKIWA WANAZIGAWA KWENYE MAKUNDI HISIA ZAO. "Nothing external to you has any...
12 Reactions
12 Replies
2K Views
UCHAWI na MUUJIZA ni masuala tata katika jamii, pamoja na utata wake lakini yamekuwa ni masuala ya kawaida kusikika. Ni kawaida kusikia fulani ni mchawi au nimefanyiwa uchawi. Pia ni kawaida...
11 Reactions
45 Replies
16K Views
Miaka ya Nyuma - wilaya ya Biharamulo ndo ilikuwa Engine wa Ukombozi Kumngoa Idd Amini- Rada iliyotumika ilisimikwa Ruziba . Inasemekana imezeeka inaweza lete madhara kutokana na Mionzi; wananchi...
6 Reactions
58 Replies
15K Views
Habari wana jamvi, natumai wote mu wazima na mimi kwa upande wangu ni mzima na bukheri wa afya. Kama heading inavyosema hapo, nataka kujua ki undani zaidi kwanini tunakufa? Na kwanini binadamu...
10 Reactions
123 Replies
23K Views
Habari wana JF Salute.... Nimekuja na huu Uzi baada ya kuishi kwa muda mrefu nikiwa nashangazwa na mengi, vitu vingi zinavyotokea katika maisha yangu vinaniachia alama ya mshangao? Mind yangu...
4 Reactions
23 Replies
6K Views
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji. Ukiitafari hizi...
5 Reactions
34 Replies
7K Views
MENTAL TOUGHNESS SECRETS OF THE WORLD CLASS by Steve Siebold CHAMPIONS EMBRACE RELATIVITY MABINGWA WANAAMINI KWENYE KUTEGEMEANA KWA VITU Waliofanikiwa wanafahamu kuwa mitazamo yote...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Wapendwa waumini wakatoliki wenzetu Tumsifu Yesu Kristo. Asanteni sana kwa michango yenu kuhusu group letu na changamaoto mnazoziona. Leo kulikuwa na post ya mmoja ambaye ameeleza changamoto...
27 Reactions
171 Replies
33K Views
Mnamo siku ya tareh 27.06.2005 usiku…(makomando) wan ne vijana kutoka jeshi la marekani walishushwa katika kilele kimojawapo cha milima ya Hindu kush kijulikanacho kama (mountain tiger) na...
28 Reactions
64 Replies
18K Views
Venus ni sayari ya pili ktk mfumo wa jua. lakini kwa kiswahili hujulikana kama zuhura, ni sayari inayoongoza kwa kung'aa kuliko sayari yeyote ile .........pia hujulikana kama morning star vile...
18 Reactions
130 Replies
27K Views
Back
Top Bottom