Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika.
Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo...
"Misri ilikua ni Afrika kwa maandishi yake,utamaduni wake na namna yake ya kufikiri" .Hivi ndivyo anavyohitimisha mtaalamu wa masuala ya kale ya Misri(Egyptologist) raia wa Ufaransa Jean...
Wajibu wa kisheria na kijamii kulingana na jinsi
Na Raphael Kamuli
(Chanzo: Kiongozi, Toleo Na. 32, Tarehe 09-15 Agosti 2019, ukurasa wa 12, ISSN 0856-2563.)
Popes in the History of AMECEA...
Nilitembelea wilaya ya Ulanga, nikafika tarafa ya Malinyi kata ya Igawa, kijiji cha Kiwale kitongoji cha Mkomange nikakuta kuna mtu alikuwa anawekeza kwenye kutoa huduma za tiba yaani hospitali...
Kama kichwa cha HABARI kinavyosema kesho ni Friday October 13, niliwahi kusikia kuhusiana na hii siku wanasema ni siku ya kichawi au ya kimaajabu
sasa basi napenda kujua kuhusiana na hizo habari...
Namkumbuka DCI wa zamani Diwani Athumani alipokuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya.
Alianzia mbali sana lakini alionekana anafaa kuchukua nafasi ya wazee Adadi Rajab na Robert Manumba ambao...
Habari wakuu [emoji1538]
Najua kichwa cha habari kinaweza kufanya ukafikiri labda nimekosea au nilikuwa nalenga jambo nililoshindwa kulielezea hapo juu. Hapana sijakosea nimekidhamiria hivyo...
Premier Commando de le Capitale (PCC)
Rio De Jeneiro
Tarehe 2, mwezi wa 10 mwaka 1992, ndani ya gereza kubwa linalo hifadhi wahalifu sugu katika nchi ya brazil, lijulikanalo kama gereza la...
Habari zenu wakuu?leo nilikiwa nafkiria kuhusu kifo nikawa najiuliza hilo swali hapo juu,kwanini watu hawazoei kifo ingawa ni jambo ambalo huwa linatokea kila siku katika jamii?
Mtu unazaliwa...
Ushahidi jinsi tanzania ilivyo tajwa katika bibilia:
Isaya 18:1-7
1. Ole wa nchi ya uvumi wa mabawa, Iliyoko mbali kupita mito ya Kushi;
2 Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika...
Nini sababu ya ugomvi ? Siyo tatizo la kugombania ardhi wala kugombania mji wa Yerusalem kunakosababishaugomvi kati ya mataifa haya mawili ni kwamba kila taifa halitaki kutambulika kwa taifa...
1. Nchi ya Gambia ina chuo kikuu kimoja tu (The University of Gambia).
2. Equatorial Guinea ni nchi pekee Afrika ambayo lugha yake ya Taifa ni Kispaniola (Spanish). Hakuna nchi nyingine Afrika...
Rastafari ni dini iliyoanzishwa huko Jamaica miaka ya 1930's ya kutaka kumkomboa muafrica kifikra na kimwili dhidi ya maadui wa muafrica wakuu kipindi hicho yaani ukoloni na utumwa ,vilivyoacha...
Rafiki yangu mpendwa,
Mara nyingi tunaposikia miujiza, huwa tunaona ni watu wachache wanaoweza kuifanya. Mara nyingi wale ambao ni viongozi wa dini au wenye imani kali za kidini au hata za...
We were born into a mystery. We awakened on this world like an abandoned baby left on a door-step without a note to explain who we are, where we come from and where we are going.
Death is the...
Chance of Impact in 2027 is Now 96%
Based on new tracking observations taken this week, IAWN has
confirmed that asteroid 2017 PDC is on a course that almost certainly
will impact the Earth on...
Habari Great thinkers
Naomba kuuliza hili maswali kuhusu Dunia. Tunaambiwa Dunia ina umbo la Tufe, Pia ni kawaida maji kukaa Square hajalishi yapo kwenye kitu chenye umbo gani.
>Nini kinafanya...
Aman iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Nimekuja mbele yenu ili magwiji watueleze maswali yafuatayo
A akili ni nini?
B ni kweli kuna kitu kinaitwa akili au tu ni moja ya...
Habari za asubuhi wana JF,
Kama nilivyouliza hapo juu, ili tupeane mawazo.kama tukisoma kwenye kitabu cha Agano la kale, baada ya Mungu kuwaonya binadamu na wakawa shingo ngumu, na kuamua kuachia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.