Kitendo cha kufundisha kipo toka enzi na enzi,kila mzazi ama mtu mzima huwafundisha watoto ama wadogo zao jinsi ya kutenda ,kufanya ama kutekeleza jambo fulani kwa utaratibu uleule.
Sasa je ,ni nani aligundua utaratibu wa kuwakusanya watu wazima ama watotot wadogo na kuanza kuwafundisha mambo kwa utaratibu maalumu,kwa kutumia syllabus au mitaala, kwa mtindo wa kwenda shuleni kwa pamoja na kurudi nyumbani na kisha kesho kwenda tena ,ama kukaa shule hadi mtu anahitimu na kutunukiwa cheti ama vinginevyo.
Utaratibu wa kufundishwa mambo ( kupewa elimu)kwa kwenda kufundishwa shuleni ni utaratibu uliosambaa dunia nzima kwa sasa,je ulianza lini,nani aliuanzisha,ulianzia wapi.
Sasa je ,ni nani aligundua utaratibu wa kuwakusanya watu wazima ama watotot wadogo na kuanza kuwafundisha mambo kwa utaratibu maalumu,kwa kutumia syllabus au mitaala, kwa mtindo wa kwenda shuleni kwa pamoja na kurudi nyumbani na kisha kesho kwenda tena ,ama kukaa shule hadi mtu anahitimu na kutunukiwa cheti ama vinginevyo.
Utaratibu wa kufundishwa mambo ( kupewa elimu)kwa kwenda kufundishwa shuleni ni utaratibu uliosambaa dunia nzima kwa sasa,je ulianza lini,nani aliuanzisha,ulianzia wapi.