Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 537
Habari za mida wakuu...
Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani juu ya uwepo wake...
Binafsi sielewi kabisa nini hasa itakua hatma ya viumbe ambao wana nyanyaswa,kuu wawa na kudhurumiwa haki zao ktk jamii even mahakamani pia hawapati haki zao...
Abortion,mauaji ya imani za shirki, haya yote kweli ndo yanaishia hapa duniani bure bure kweli.?
Kama mungu hayuko kweli basi inamana hata hata siku ya ukumu haiko.? Je.? Hawa wasio amini uwepo wa mungu wanaamini kama duniani kuna zambi.?
Wadau embu tuingie dipu ktk hoja hii bna ili tuelewe haya mambo kwaundani...
Tunaitaji refference za vitabu mbali mbali ktk hili wadau.
Cc Kiranga Eiyer Mshinga Nyani Ngabu na wadau wengine pia.
Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani juu ya uwepo wake...
Binafsi sielewi kabisa nini hasa itakua hatma ya viumbe ambao wana nyanyaswa,kuu wawa na kudhurumiwa haki zao ktk jamii even mahakamani pia hawapati haki zao...
Abortion,mauaji ya imani za shirki, haya yote kweli ndo yanaishia hapa duniani bure bure kweli.?
Kama mungu hayuko kweli basi inamana hata hata siku ya ukumu haiko.? Je.? Hawa wasio amini uwepo wa mungu wanaamini kama duniani kuna zambi.?
Wadau embu tuingie dipu ktk hoja hii bna ili tuelewe haya mambo kwaundani...
Tunaitaji refference za vitabu mbali mbali ktk hili wadau.
Cc Kiranga Eiyer Mshinga Nyani Ngabu na wadau wengine pia.
Last edited by a moderator: