Naomba kuelimishwa.

Naomba kuelimishwa.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,355
-Wakuu,naomba kuuliza,hivi wale jamaa wanaokua wamemzngira rais kikwete wanakua wamevaa suti nyeusi huwa ni makomandoo,tiss au wanajeshi wa kawaida tu?
-Suala lingine ningependa kufahamishwa nin maana ya vetting system?maana kuna mdau humu niliwahi kuona ameandka kwamba katka uchaguzi mkuu wowote,kura wanazokua wamepga wananchi huwa haziamui mshndi ila huwa ni changa la macho but vetting ndo huwa inaamua nani awe raisi,so ningependa mnipe elimu kuhusu hyo vetting system.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom