Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
HUU NDIO MUUNDO WA KIJESHI KWA MAJESHI YOTE DUNIANI Katika ulimwengu wa Kijeshi kuna mfanano mkubwa sana ambao watu wengi hasa 'Raia Wema' hawafahamu. Labda tu niseme tu wazi kuwa mimi...
79 Reactions
318 Replies
78K Views
Miezi kadhaa iliyopita tulishuhudia 'ziara ya kihistoria' ambapo *Kim Jong-Un*, Rais wa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini) akikutana na Rais wa Jamhuri ya Korea...
9 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu WanaJamii, nadhani tu wazima sisi ni jambo la kumshukuru manani. Mwenye ujuzi nilikuwa nataka atufafanulie maana ya Philosophy (Falsafa). na vipi mtu awe Philosopher (MwanaFalsafa) kama...
2 Reactions
46 Replies
44K Views
Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mablimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu,iwe ni maradhi yanayotokana na nmazingira...
6 Reactions
80 Replies
28K Views
SOCRATES Wengi tumemsikia au kumsoma Socates kwenye elimu,falsafa,kwenye saikolojia ,siasa na fasihi lakini ni wachache ambao waliamua kwenda ndani Zaidi kumwangalia huyu Socrates ni nani. Huyu...
31 Reactions
48 Replies
19K Views
Hodi humu, nimetoroka MMU kidogo nipate ufafanuzi... Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu...
19 Reactions
119 Replies
20K Views
Kuna baadhi ya watu huaminisha watu kuwa dini yao ni ya kweli na bila hiyo dini huwezi ona mbingu na ukiangalia dini na watu cha kwanza ni watu na dini zilikuja kwa baadae sasa je waliokufa...
23 Reactions
243 Replies
34K Views
Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata? Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana...
24 Reactions
213 Replies
90K Views
As-salaam alaykum, Amani iwe nanyi. Leo ninawaletea picha za video na picha mnato kuhusu namna wanawake wanavyojihusisha katika majeshi ya ulinzi na usalama. Nitajikita hapa Afrika mashariki...
12 Reactions
433 Replies
76K Views
Habari zenu wakuu kuna hali huwa inanitokea ya kufananishwa na watu tofauti tofaut wengine nawafaham na nisio wafaham, nimeona nije nishee hapa pengine kuna jambo ila mi ndo silijui, Nitaweka...
3 Reactions
65 Replies
10K Views
Naandika huu Uzi kwa majonzi baada ya kuona dada zetu wakichukuliwa nchi za Afrika kama Tanzania Kenya Uganda Sudan etc. Na kuchukuliwa wakipelekwa nchi mbalimbali wakiahidiwa kazi na makazi na...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Kanisa la Sabato mwanzilishi mwanamke. Vitabu wanavyotumia vya huyo mwanamke Helen White. Kwa nini hawawapi uchungaji wanawake? Wakati huyo Mama White ndie mhimili wa imani ya kisabato?
17 Reactions
265 Replies
66K Views
Wakuu kuna usafiri wa aina kadhaa ktk Dunia yetu,kama nilivyotaja hapo juu. Kuna wakati majira ya mvua nyingi na kali ukiwa kwenye gari huwa hata wiper zinashindwa kufuta kioo vizuri na...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari za mida wakuu... Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani...
0 Reactions
455 Replies
39K Views
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN -Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim. -A lipokuwa Cairo Misri...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
Naileta hii hoja, ntatoa ujuzi wangu nilionao juu ya hizi Binaural beats, kwa wenye ujuzi zaidi wanaweza kuchangia, criticizing pia inaruhusiwa, ni kwa ajili ya watu kujifunza na kuweza kufikia...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Sasa naweza amini kuwani kweli mtu mweusi yawezekana akawa ana mchango ama ndo chimbuko la usraarabu Duniani. Nimestaajabu katka pitapita yangu katika kujisomea makala nikakuta kuna wachina...
6 Reactions
29 Replies
10K Views
Idara ya uhamiaji katika taarifa ya habari ya TBC 1 usiku huu wamekiri kwamba kuna wahamiaji haramu kibao nchini wasio na vibali na wamewaomba wananchi kusaidia kuwataja. Kilichonishangaza, mie...
0 Reactions
253 Replies
26K Views
Henry Kissinger (Political scientist, Diplomat, pia aliwahi kuwa secretary of States) now ni mmoja wa wanaochochea sana New World Order (au Anglo-American Order kama mchambuzi mmoja anavyoiweka)...
3 Reactions
29 Replies
11K Views
SADC yamuonya Kagame kuhusu mipango yake ya kuivamia Tanzania baada ya kuomba msaada wa kijeshi toka Kenya na Uganda MZOZO wa kidiplomasia alioibua Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa...
11 Reactions
106 Replies
13K Views
Back
Top Bottom