The Life and Death of CIA Asset Saddam Hussein

Papaa Azonto

JF-Expert Member
Jun 30, 2013
319
276
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN

-Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim.

-A lipokuwa Cairo Misri inadaiwa Saddam Hussein kutembelea ofisi za ubalozi wa marekani na kukutana na CIA mara kadhaa kwa ajili ya kuuangusha utawala wa Jenerali Qassim

-Baada ya kurejea Iraq, CIA walimpangishia nyumba katika mtaa wa Ali-Rashid karibu na ofisi za wizara ya ulinzi ya serikali ya Iraq lengo ni kujua mienendo ya waziri husika.

-Mwaka 1963 Rais Jeneral Qassim anauawa katika mapinduzi ya kwanza yanayotokana na msuguano wa ndani wa chama cha Ba’ath. Mara baada ya mapinduzi haya, Marekani inatajwa kuwa nchi ya kwanza kuikubali serikali mpya ya mapinduzi.

-Baada ya kuingia kwa serikali mpya, tayari makampuni makubwa ya kimagharibi yakaingia Iraq, kampuni hizo ni kama Mobil kampuni ya mafuta kutoka marekani, Bechtel- kampuni ya ujenzi ya Marekani pamoja na British Petroleum .

Kwa undani zaidi Tazama hii makala fupi hapa chini kwa kubofya hii link.



 
Penye maslahi wamarekani huwa hutafuta chanzo kitakachowafarakanisha sehemu husika na ndipo nae huingia kujifanya anawaamuru au kuwasaidia wale aliowaweka ili waweze kushinda au kutia udhaifu upande mwingine.

Limedhihiri hili ktk mitafuruko ya nchi nyingi sana
 
Hata Osama na kundi lake alikuwa rafiki wa Marekani, wakati huo adui ni Urusi.
 
Mataifa mengi pale middle east ni vibaraka wa marekani . mfano mzuri ni saudi arabia na israel
 
Nilimsikiliza raia wa iraq mmoja aliyehojiwa bbc swahili, yeye ni kati ya wanaume walioshiriki kuliangusha sanamu la saddam hussein pale baghdad anasema anajuta kwa kile alichokifanya ni bora mara 1000 ya utawala wa saddam kuliko hali ilivyo sasa
 
Penye maslahi wamarekani huwa hutafuta chanzo kitakachowafarakanisha sehemu husika na ndipo nae huingia kujifanya anawaamuru au kuwasaidia wale aliowaweka ili waweze kushinda au kutia udhaifu upande mwingine.

Limedhihiri hili ktk mitafuruko ya nchi nyingi sana
Wao wanacho jali ni economic benefits na kuuza silaha.
 
Sijawahi kujuta kuwachukia mazungu hasa wamarekani, najua wana vibaraka wao humu ndani...kawaambieni siwapendi na nawachukia toka rohoni mimi na uzao wangu
Vip wayahudi mkuu...maake nasikia ukiwalaani unatenda dhambi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom