lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,152
- 33,351
Wasalaam,
Naomba kujua tofauti Kati Ugaidi na Uajsusi,hasa kwenye vitendo.
Kwa mfano watu wa nchi moja wakie da nchi nyingine na kumuua mtu Fulani wa nchi nyingine,nchini kwake
ama akiwa nchi nyingine ambaee kimsingi hao wauaji wamemuona kua mtu huyo kweli Ni hatari kwa maslahi au Usalama wa nchi yao au raia wao.
Je kitendo hicho Ni kitendo Cha kijasusi ama kitendo Cha kigaidi?
Naomba tofauti Kati ya Ujasusi na Ugaidi.
Naomba kujua tofauti Kati Ugaidi na Uajsusi,hasa kwenye vitendo.
Kwa mfano watu wa nchi moja wakie da nchi nyingine na kumuua mtu Fulani wa nchi nyingine,nchini kwake
ama akiwa nchi nyingine ambaee kimsingi hao wauaji wamemuona kua mtu huyo kweli Ni hatari kwa maslahi au Usalama wa nchi yao au raia wao.
Je kitendo hicho Ni kitendo Cha kijasusi ama kitendo Cha kigaidi?
Naomba tofauti Kati ya Ujasusi na Ugaidi.