Mkondo wa Nungwi
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 332
- 389
Wakuu heshima kwenu,
Sababu ya kusema nafsi yangu moja imefungwa ninatokana na historia ya mitihani na majaribio mengi ya maisha 44yrs ndani ya majaribio na mitihani.
Siku ya leo nimeamka nikajiuliza kwann nafsi zinatitesa hivi na maradhi,vifungo, majanga, na dhulma iliyonipata tangu nilipoletwa katika hii dunia. Nikasikia sauti inaniambia nimefungwa. Je wataalamu binadamu ana nafsi ngapi na ikifungwa inakuaje.?
Historia yangu fupi niliwahi kufanya biashara nikawa na wateja wengi lakin sikuwahi kuziona pesa kabisa na sikujua hata kuzihesabu wala kuweka akiba miaka 15 nilikua siruhusiki hata kwenda na pesa nyumbani kwangu wala kununua kitu kizuri.
Nilikwenda kwa mtu mtaalam akanipa dawa nikapata nafuuakayafungua nikapata nafuu kubwa nikajua kuhesabu pesa na kuweka akiba maisha hayo yalidumu kwa miaka 2 tu pesa ikaanza kusambaratika tena biashara zikasambaratika nyumba na gari mpaka familia ikasambaratika mke tuliachana na mimi na watoto tunaishi mbali mbali bila ya kuwaona miaka 3 saivi
Ndani ya miaka 6 na nusu nimehama nyumba 9. Nilipigana navita vya kiroho kwa kusikia sauti zinazonituma nifanye mambo wanayotaka wao mpaka nikapelekwa mental.
Chanzo cha kusikia sauti ilianza kuniambia "kwann unamfanyia dawa mke wako basi utakoma".sauti zimenitesa na kuniweka katika mateso ya uchizi navua nguo na kukimbia ovyo na kuchezea vitu ovyo nikitulia naweza kumuandikia mtu mesej bila ya kutegemea au kumwambia maneno bila ya kutaka. Sauti zilikua zinaniambia wao ni maadui wakubwa na wapo kwangu kwa mikataba. Napata hisia kama nashikishwa anga au kuifungua na kuifunga anga. Na mambo mengi sana
Nimepata nafuu saivi lakin maisha yangu bado hayaeleweki na nimekuwa kama bado niko kwenye kifungo siruhusiki kupata pesa wala safari yoyote ndugu kama wamenitenga sina ushauri na mtu yoyote siwezi kufanya tiba yoyote hata nikijaribu nawacha pesa sirudii tena kwenye tiba.
Nisaidieni kujielewa na hatma ya maisha yangu na zaidi lililonitisha hata mtoto wangu wa kiume ilimuingia iyo sauti kwenye roho akawa anaambiwa maneno. Na wa kike akaniambia baba ninavoona hatutegemei tena kuishi na sisi tena watoto wako. Mimi ni baba mwebye watoto 5 lakin katika sauti nilizowahi kuzisikia kila nikifanya mapenzi na alokua mke wangu ilikua naskia sauti inaniambia "mtoto" yaanni kuashiria kama mke atashika mimba.
Nakaribisha maswali ili kufafanua zaidi sina elimu wala kipaji cha kujieleza vizuri ahsanteni ila kujibu nitajitahidi.
Sababu ya kusema nafsi yangu moja imefungwa ninatokana na historia ya mitihani na majaribio mengi ya maisha 44yrs ndani ya majaribio na mitihani.
Siku ya leo nimeamka nikajiuliza kwann nafsi zinatitesa hivi na maradhi,vifungo, majanga, na dhulma iliyonipata tangu nilipoletwa katika hii dunia. Nikasikia sauti inaniambia nimefungwa. Je wataalamu binadamu ana nafsi ngapi na ikifungwa inakuaje.?
Historia yangu fupi niliwahi kufanya biashara nikawa na wateja wengi lakin sikuwahi kuziona pesa kabisa na sikujua hata kuzihesabu wala kuweka akiba miaka 15 nilikua siruhusiki hata kwenda na pesa nyumbani kwangu wala kununua kitu kizuri.
Nilikwenda kwa mtu mtaalam akanipa dawa nikapata nafuuakayafungua nikapata nafuu kubwa nikajua kuhesabu pesa na kuweka akiba maisha hayo yalidumu kwa miaka 2 tu pesa ikaanza kusambaratika tena biashara zikasambaratika nyumba na gari mpaka familia ikasambaratika mke tuliachana na mimi na watoto tunaishi mbali mbali bila ya kuwaona miaka 3 saivi
Ndani ya miaka 6 na nusu nimehama nyumba 9. Nilipigana navita vya kiroho kwa kusikia sauti zinazonituma nifanye mambo wanayotaka wao mpaka nikapelekwa mental.
Chanzo cha kusikia sauti ilianza kuniambia "kwann unamfanyia dawa mke wako basi utakoma".sauti zimenitesa na kuniweka katika mateso ya uchizi navua nguo na kukimbia ovyo na kuchezea vitu ovyo nikitulia naweza kumuandikia mtu mesej bila ya kutegemea au kumwambia maneno bila ya kutaka. Sauti zilikua zinaniambia wao ni maadui wakubwa na wapo kwangu kwa mikataba. Napata hisia kama nashikishwa anga au kuifungua na kuifunga anga. Na mambo mengi sana
Nimepata nafuu saivi lakin maisha yangu bado hayaeleweki na nimekuwa kama bado niko kwenye kifungo siruhusiki kupata pesa wala safari yoyote ndugu kama wamenitenga sina ushauri na mtu yoyote siwezi kufanya tiba yoyote hata nikijaribu nawacha pesa sirudii tena kwenye tiba.
Nisaidieni kujielewa na hatma ya maisha yangu na zaidi lililonitisha hata mtoto wangu wa kiume ilimuingia iyo sauti kwenye roho akawa anaambiwa maneno. Na wa kike akaniambia baba ninavoona hatutegemei tena kuishi na sisi tena watoto wako. Mimi ni baba mwebye watoto 5 lakin katika sauti nilizowahi kuzisikia kila nikifanya mapenzi na alokua mke wangu ilikua naskia sauti inaniambia "mtoto" yaanni kuashiria kama mke atashika mimba.
Nakaribisha maswali ili kufafanua zaidi sina elimu wala kipaji cha kujieleza vizuri ahsanteni ila kujibu nitajitahidi.