CHANZO CHA UFAHAMU (the nature of consciousness)

Mar 31, 2017
23
38
Ufahamu ni kuwa "aware". Awareness ina involves the observer,observed na njia ya kufanya observation to be made. Kwa maana nyingine kutokea kwa ufahamu ni pale anapokuwepo mtazamaji, anaye tazamwa na njia ya kutazamia.refer milango ya ufahamu.

Vipo vituo vingi sana vya ufahamu,hii ni kama mfano wa vyumba vilivyotenganishwa na ukuta, kwamba ukiwa kwenye chumba kimoja haimaanishi kuwa vyumba vingine havipo.

Hivyo basi tunao uwezo wa ku-access other state of consciousness. Ila huwa inakuwa vigumu ni kwasababu ya"utu/indivuality" utu wetu unategemea mazigira na mazingira yanatutegemea sisi, mfano kula, kunywa na hata kuvuta hewa tunategemea mazingira, so kwa maana hiyo ni vigumu kusema "we are completely independent".

Tuitazame hii kanuni., SPIRIT(Roho) + FORM/CREATION(Maumbile) = CONSCIOUSNESS(Ufahamu).

*Spirit/roho ni hali ambayo haina mwisho wala mwanzo, ipo beyond time,ni kila kitu, haibadiliki, ya milele(eternal),enlightenment,formless etc.

*Form/creation/maumbile,ina weza kuwa gross material structure kama physical body, au subtle material structure kama mwili wa hisia au mwili wa akili.

*Intelligence kwenye hiyo kanuni ya hapo juu,ni "+" na "=",kwa lugha rahisi intelligence ni kile kinacho-organize beginning, middle and end. Tunaweza kusema intelligence ndio daraja linalounganisha maumbile/duality/creation/form na hali ya umungu(formlessness/unity)
Intelligence ndio source of identification, mfano utamsikia mtu anasema "mwili wangu", "hisia zangu" nk.

*Consciousness, hapa ndio sense of " i am" inapoonekana.

Kila kitu kina ufahamu, kwasababu kila kitu ni maumbile/form that spirit can fill. Ingawa ufahamu wa mlango au jiwe unaweza kuwa tofauti na ufahamu wa mmea, wa mnyama au wa mwanadamu. Kuzaliwa au kutengenezwa kwa maumbile ya kitu fulani ni kwamba hicho kitu "inevitably" lazima kife au kiwe-destroyed, ila roho/spirit itabaki bila mabadiliko yoyote, hivyo basi ufahamu ambao upo based kwenye maumbile ni wa mpito tu.

Hivyo basi, Maumbile na ufahamu vinategemeana.
 
Sidhani kama nimekuelewa inavyotakikana! Ila nina maswali
Roho na yenyewe inajitambua..?
Umesema kila kitu kinaufahamu je,kitu mfu/kisicho hai kinajitambuaje..?
 
Sidhani kama nimekuelewa inavyotakikana! Ila nina maswali
Roho na yenyewe inajitambua..?
Umesema kila kitu kinaufahamu je,kitu mfu/kisicho hai kinajitambuaje..?
Kujitambua kuwa mimi ni kitu fulani, inaeleleza kuwa mimi sio kitu fulani, ukisema mimi ni mwanadamu inaleta maana kuwa mimi sio mti au jiwe,ufahamu ili ufanye kazi una hitaji mambo matatu(nimeshaelezea)unless ufahamu hauwezi kutokea.
Roho haina mwanzo wala mwisho,ni iternal, imortal, timeless, everlasting, enlightenment, umungu, ipo kamili, ipo kila mahali, na haitaji kitu chochote ili iwe na ufahamu kwani ni kamilifu, roho sio kitu, ufahamu ni illusion,hakuna reality kwenye ufahamu. Spirit created itself and depends on nothing,ila maumbile au ufahamu yanahitaji assistance ili yatokee. Hivyo kwa bahati mbaya au nzuri roho ipo kila mahali na ni kila kitu so ufahamu hauna budi kutokea.

Sidhani kama ukiwa upo hai ndio utaweza kujitambua, in spiritual point of view, hakuna kitu kinachokufa bali ni change state of consciousness, e.g death is a real change from old to new. So hata kitu kichokuwa na uhai kitabaki kuwa na ufahamu as long as roho ipo milele.sema tu ufahamu wa mwanadamu utatofautiana na jiwe au mlango kwasababu tu ya akili.
Ipo hivi, Utu au personality huundwa na miili minne, mwili wa akili(lower mental body), mwili wa hisia(astral/emotional body), mwili wa kuhifadhi nguvu(etheric body) na huu mwili ambao tumeuzoea (physcal body),hvyo basi ili tuweze kuutambua kujua huu ni mlango au hili ni jiwe,ni kutokana na collection of information kwenye memory in the lower mental body, ila sidhani kama tukifuta kumbukumbu zote kwenye memory yako kama utaweza kutambua au kutofautisha kati ya mlango na mti,ila ufahamu utaendelea kuwepo. Na pia ukiwa upo kwenye dreamless sleep sidhani kama unaweza kujua kama muda huo umelala au jina lako ni nani, ila bado upo kwenye conscious sema in other state.
 
Kujitambua kuwa mimi ni kitu fulani, inaeleleza kuwa mimi sio kitu fulani, ukisema mimi ni mwanadamu inaleta maana kuwa mimi sio mti au jiwe,ufahamu ili ufanye kazi una hitaji mambo matatu(nimeshaelezea)unless ufahamu hauwezi kutokea.
Roho haina mwanzo wala mwisho,ni iternal, imortal, timeless, everlasting, enlightenment, umungu, ipo kamili, ipo kila mahali, na haitaji kitu chochote ili iwe na ufahamu kwani ni kamilifu, roho sio kitu, ufahamu ni illusion,hakuna reality kwenye ufahamu. Spirit created itself and depends on nothing,ila maumbile au ufahamu yanahitaji assistance ili yatokee. Hivyo kwa bahati mbaya au nzuri roho ipo kila mahali na ni kila kitu so ufahamu hauna budi kutokea.

Sidhani kama ukiwa upo hai ndio utaweza kujitambua, in spiritual point of view, hakuna kitu kinachokufa bali ni change state of consciousness, e.g death is a real change from old to new. So hata kitu kichokuwa na uhai kitabaki kuwa na ufahamu as long as roho ipo milele.sema tu ufahamu wa mwanadamu utatofautiana na jiwe au mlango kwasababu tu ya akili.
Ipo hivi, Utu au personality huundwa na miili minne, mwili wa akili(lower mental body), mwili wa hisia(astral/emotional body), mwili wa kuhifadhi nguvu(etheric body) na huu mwili ambao tumeuzoea (physcal body),hvyo basi ili tuweze kuutambua kujua huu ni mlango au hili ni jiwe,ni kutokana na collection of information kwenye memory in the lower mental body, ila sidhani kama tukifuta kumbukumbu zote kwenye memory yako kama utaweza kutambua au kutofautisha kati ya mlango na mti,ila ufahamu utaendelea kuwepo. Na pia ukiwa upo kwenye dreamless sleep sidhani kama unaweza kujua kama muda huo umelala au jina lako ni nani, ila bado upo kwenye conscious sema in other state.
Kabobo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom