Kuna ubaya kumuongezea binadamu uwezo kwa kutumia biotechnology?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk.
Mambo yote hayo pamoja na kasoro zake, lakini yamekuwa na faida kubwa sana kwa binadamu. Ingekuwa kazi ngumu sana kulisha watu zaidi ya 7bln kwa kutumia ng'ombe, kuku au mimea ya kienyeji.

Sasa nauliza kama kuna ubaya wowote kutengeneza binadamu wa kisasa? Binadamu mwenye akili sana. Anayehimili magonjwa, mpole au mgomvi, mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mwenye tako kubwa, maziwa makubwa, nguvu nyingi nk.
Mambo yote haya yanawezekana kwa kutumia biotechnology. Ni yai kupandikizwa genes za urefu, ufupi, weupe, akili nyingi nk.

Kuna ubaya wowote kuunda binadamu wa kisasa?
 
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk.
Mambo yote hayo pamoja na kasoro zake, lakini yamekuwa na faida kubwa sana kwa binadamu. Ingekuwa kazi ngumu sana kulisha watu zaidi ya 7bln kwa kutumia ng'ombe, kuku au mimea ya kienyeji.

Sasa nauliza kama kuna ubaya wowote kutengeneza binadamu wa kisasa? Binadamu mwenye akili sana. Anayehimili magonjwa, mpole au mgomvi, mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mwenye tako kubwa, maziwa makubwa, nguvu nyingi nk.
Mambo yote haya yanawezekana kwa kutumia biotechnology. Ni yai kupandikizwa genes za urefu, ufupi, weupe, akili nyingi nk.

Kuna ubaya wowote kuunda binadamu wa kisasa?
Uko ndio tunapelekea.Kuna research za Bio engineering zinaendelea.
 
Binadamu ni kiumbe complex sana, wataweza kubadili vingi kama vile ukubwa wa makalio, urefu n.k ila hawataweza kubadili vyote

Pia kumbuka kuna kitu kinaitwa mutation ambacho kinaweza kusababisha kuibuka kwa species zingine au lansa za ajabu ajabu
 
Hayo mambo mbona tayari yapo ie Marekani na Urusi wanafanya sana hasa ktk ku program baadhi ya watu kwenye kazi flani ngumu au zenye utata kwa kupandikiza chip kwenye ubongo au kurekebisha DNA na kuweka sifa na tabia wanazotaka sema kwa binadamu mrorongo wake sio rahisi kutokana na sheria na Mikataba mbalimbali Kama Mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu
 
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk.
Mambo yote hayo pamoja na kasoro zake, lakini yamekuwa na faida kubwa sana kwa binadamu. Ingekuwa kazi ngumu sana kulisha watu zaidi ya 7bln kwa kutumia ng'ombe, kuku au mimea ya kienyeji.

Sasa nauliza kama kuna ubaya wowote kutengeneza binadamu wa kisasa? Binadamu mwenye akili sana. Anayehimili magonjwa, mpole au mgomvi, mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mwenye tako kubwa, maziwa makubwa, nguvu nyingi nk.
Mambo yote haya yanawezekana kwa kutumia biotechnology. Ni yai kupandikizwa genes za urefu, ufupi, weupe, akili nyingi nk.

Kuna ubaya wowote kuunda binadamu wa kisasa?
Ultra legend ndio wanaelewa kuwa hiyo michezo ipo na inafanyika kwa siri kubwa, ila wahusika hawawezi kukwambia nahata ikidhiilika wataficha ukweli. Wameshika vyombo vyote vyenye nyuvu duniani. Mfano mzuri ni hizi waves tunazoendanazo... yaani wewe kama pua yako haihisi kabisa harufu ya kambale. Jisemee tu kimoyomoyo mimi ni mtu wa zama za mawe za mwanzo😁, Hauendani na kasi ya ulimwengu wa sasa na si kosa lako.

Kiutu, kibinadamu (humility) binafsi sishauri binadamu kufanyiwa genitic modification haijalishi ni kwa nia nzuri au mbaya, hata kama kunafaida maradufu ukilinganisha na hii ya asili, labda wagundue genetic modification ambazo zitamfanya binadamu aongeze life span hadi kufikia miaka 200-300 bila kuzeeka😁.

Mwenyezi Mungu katuumba binadamu in a diverse way, hii inamaana kubwa sana (ecological balance), level ya upeo uliotumika hapa ni zaidi ya u-genius (hapa uji-genius ujirudie to infinity)...
Kitu kimoja kimeundwa multipurpose, na binadamu tumeng'amua vitu vichache sana vingine tunavijua ila hatujui dhumuni lake na kuna vingine hatuvijui kabisa.

Kiufupi si binadamu tu hata wanyama wengine tumeubwa kutegemeana kwa namna moja ama nyingine ili tuishi kizazi hadi kizazi/ tu-survive smoothly generation to generation.
Hemu fikilia kwa mfano.

•Watu wote tungekua tunakinga sawa ya magonja kuna baadhi ya vimelea vitabadilika kuendana na mazingira na kuwa vikali zaidi(virulent. mfano: covid 19 wate tungekuwa wazungu tz Tungekua na total population ya 40million maana hii wave ya tatu imepita na wengi ila wengi wame-recover, kwanini!!!?) weakness au mistake moja tu Homo sapiens wanaweza kutoweka duniani.

Watu tewe weupe warefu au madinalio yawe makubwa kumbuka sio watu wote wanapendelea hivyo mfano wazungu wote wana hi sense Q-oled display tv😁 ila huwaelezi kitu hapo.

•Watu tuwe wa kariba moja tufanye wote tuwe introvert dunia ingekua peace vibaya mno ila kuna mambo yange-delay.

Yote ya yote tuache tu mambo yaende naturally (kama kawaida kama tulivyoyakuta)
 
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk.
Mambo yote hayo pamoja na kasoro zake, lakini yamekuwa na faida kubwa sana kwa binadamu. Ingekuwa kazi ngumu sana kulisha watu zaidi ya 7bln kwa kutumia ng'ombe, kuku au mimea ya kienyeji.

Sasa nauliza kama kuna ubaya wowote kutengeneza binadamu wa kisasa? Binadamu mwenye akili sana. Anayehimili magonjwa, mpole au mgomvi, mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mwenye tako kubwa, maziwa makubwa, nguvu nyingi nk.
Mambo yote haya yanawezekana kwa kutumia biotechnology. Ni yai kupandikizwa genes za urefu, ufupi, weupe, akili nyingi nk.

Kuna ubaya wowote kuunda binadamu wa kisasa?
Wachina wameanza kwenye matiti na tako
 
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye sukari nyingi, nguruwe wakubwa. Aina mbalimbali za mbwa. Mimea inayostahimili ukame na magonjwa nk.
Mambo yote hayo pamoja na kasoro zake, lakini yamekuwa na faida kubwa sana kwa binadamu. Ingekuwa kazi ngumu sana kulisha watu zaidi ya 7bln kwa kutumia ng'ombe, kuku au mimea ya kienyeji.

Sasa nauliza kama kuna ubaya wowote kutengeneza binadamu wa kisasa? Binadamu mwenye akili sana. Anayehimili magonjwa, mpole au mgomvi, mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mwenye tako kubwa, maziwa makubwa, nguvu nyingi nk.
Mambo yote haya yanawezekana kwa kutumia biotechnology. Ni yai kupandikizwa genes za urefu, ufupi, weupe, akili nyingi nk.

Kuna ubaya wowote kuunda binadamu wa kisasa?
Area 51 wapo wengi
 
Back
Top Bottom