zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,237
- 39,807
Habari za asbuhi great thinkers.
Moja kwa moja niende kwenye topic kuhusu nilichotafiti kwangu binafsi kwa kuconnect dots ya source mbalimbali nilizosoma naweza conclude kwamba weusi wetu ulitokea kwa CAIN kwa kupita binti yake EGYPTUS au Neitamuk kisumeria aliyeolewa na Baba wa waafrika HAM
Biblia inaeleza kwamba Cain aliwekewa ALAMA
Mwanzo 3
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
Ingawa biblia haijaeleza hiyo alama ina maana gani ila nikakusanya dots kwenye kitabu cha jasher
Jasher 2:26-30
27 And Tubal Cain told his father to draw his bow, and with the arrows he smote Cain, who was yet far off, and he slew him, for he appeared to them to be an animal.
Huu mstari ulinifanya niamini kwamba huenda alama aliyowekewa ilimfanya Cain awe mweusi ambapo kwa kuwa rangi hiyo haikuwa imezoeleka wakahisi mnyama ndio maana wakamuua
NB: Wengine mtasema book of jasher hakipo kwenye biblia hivyo sio reliable.... Ushahidi wa kwamba lamech alimuua Cain upo pia kwenye biblia maana Mungu alisema atakayemuua kain atalipia kisasi mwanzo 4:15
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga
Na unabii huu unatimia kwa lamech kuonyesha ni yeye aliyemuua Cain maana anairithi ahadi ile
Mwanzo 4
23 Lameki akawaambia wake zake,Sikieni sauti yangu, Ada na Sila;Enyi wake za Lameki, sikilizeni usemi wangu;Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha;Kijana kwa kunichubua;
24 Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba,Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.
Hivyo basi kwakuwa Cain alikuwa mweusi hivyo naamini kizazi chake chote kilikuwa cheusi na hata binti yake egyptus ndio aliekuja kuolewa na Ham ambaye alikuwa mtoto wa Nuhu.
NB: kuna watu wanadai ham alikuwa mweusi ila cha kujiuliza kama alikua mweusi kivp baba yake yani Nuhu awe mweupe azae mweusi??
Baada ya gharika tunaambiwa na kitabu cha Abraham kwamba misri ilivumbuliwa na binti wa ham na egyptus (binti wa cain )
Book of Abraham
23 The land of Egypt being first discovered by a woman, who was the daughter of Ham, and the daughter of Egyptus, which in the Chaldean signifies Egypt, which signifies that which is forbidden;
24 When this woman discovered the land it was under water, who afterward settled her sons in it; and thus, from Ham, sprang that race which preserved the curse in the land
Ushahidi zaidi kwamba misri ilivumbuliwa na binti wa ham ipo pia kwenye biblia wanapoita misri kma HEMA LA HAM au biblia ya kiingereza LAND OF HAM soma mistari hii
Zaburi.78:51; 105:23,27; 106:22; Nyakati 1 4:40
Kitabu cha Moses ambacho kinatumika na baadhi ya makanisa duniani kinaenda mbali zaidi na kueleza rangi ya uzao wa ham ilikuaje
Book of moses 7:8
8 For behold, the Lord shall curse the land with much heat, and the barrenness thereof shall go forth forever; and there was a blackness came upon all the children of Canaan, that they were despised among all people.
Pia mstari wa 8 wa kitabu hiki unaonyesha kwamba Cain alikua mweusi na hata uzao wake ulikua wa watu weusi
Moses 7:22
22 And Enoch also beheld the residue of the people which were the sons of Adam; and they were a mixture of all the seed of Adam save it was the seed of Cain, for the seed of Cain were black, and had not place among them
Je kutokana na ushahidi huu wa vitabu vya kihistoria vya dini na nje ya dini kuna ukweli kwamba asili ya mtu mweusi ni CAIN ?? Ya kwamba alilaaniwa ndio akawa mweusi ndio maana na sisi tumekuwa weusi???
Karibuni mtiririke wana jukwaa :
Cc:
Malcom Lumumba Wick Indundu Eiyer MSEZA MUKULU Kiranga Al watan Hearly Da'Vinci Izzo mshana jr Palantir n.k
Moja kwa moja niende kwenye topic kuhusu nilichotafiti kwangu binafsi kwa kuconnect dots ya source mbalimbali nilizosoma naweza conclude kwamba weusi wetu ulitokea kwa CAIN kwa kupita binti yake EGYPTUS au Neitamuk kisumeria aliyeolewa na Baba wa waafrika HAM
Biblia inaeleza kwamba Cain aliwekewa ALAMA
Mwanzo 3
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
Ingawa biblia haijaeleza hiyo alama ina maana gani ila nikakusanya dots kwenye kitabu cha jasher
Jasher 2:26-30
27 And Tubal Cain told his father to draw his bow, and with the arrows he smote Cain, who was yet far off, and he slew him, for he appeared to them to be an animal.
Huu mstari ulinifanya niamini kwamba huenda alama aliyowekewa ilimfanya Cain awe mweusi ambapo kwa kuwa rangi hiyo haikuwa imezoeleka wakahisi mnyama ndio maana wakamuua
NB: Wengine mtasema book of jasher hakipo kwenye biblia hivyo sio reliable.... Ushahidi wa kwamba lamech alimuua Cain upo pia kwenye biblia maana Mungu alisema atakayemuua kain atalipia kisasi mwanzo 4:15
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga
Na unabii huu unatimia kwa lamech kuonyesha ni yeye aliyemuua Cain maana anairithi ahadi ile
Mwanzo 4
23 Lameki akawaambia wake zake,Sikieni sauti yangu, Ada na Sila;Enyi wake za Lameki, sikilizeni usemi wangu;Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha;Kijana kwa kunichubua;
24 Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba,Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.
Hivyo basi kwakuwa Cain alikuwa mweusi hivyo naamini kizazi chake chote kilikuwa cheusi na hata binti yake egyptus ndio aliekuja kuolewa na Ham ambaye alikuwa mtoto wa Nuhu.
NB: kuna watu wanadai ham alikuwa mweusi ila cha kujiuliza kama alikua mweusi kivp baba yake yani Nuhu awe mweupe azae mweusi??
Baada ya gharika tunaambiwa na kitabu cha Abraham kwamba misri ilivumbuliwa na binti wa ham na egyptus (binti wa cain )
Book of Abraham
23 The land of Egypt being first discovered by a woman, who was the daughter of Ham, and the daughter of Egyptus, which in the Chaldean signifies Egypt, which signifies that which is forbidden;
24 When this woman discovered the land it was under water, who afterward settled her sons in it; and thus, from Ham, sprang that race which preserved the curse in the land
Ushahidi zaidi kwamba misri ilivumbuliwa na binti wa ham ipo pia kwenye biblia wanapoita misri kma HEMA LA HAM au biblia ya kiingereza LAND OF HAM soma mistari hii
Zaburi.78:51; 105:23,27; 106:22; Nyakati 1 4:40
Kitabu cha Moses ambacho kinatumika na baadhi ya makanisa duniani kinaenda mbali zaidi na kueleza rangi ya uzao wa ham ilikuaje
Book of moses 7:8
8 For behold, the Lord shall curse the land with much heat, and the barrenness thereof shall go forth forever; and there was a blackness came upon all the children of Canaan, that they were despised among all people.
Pia mstari wa 8 wa kitabu hiki unaonyesha kwamba Cain alikua mweusi na hata uzao wake ulikua wa watu weusi
Moses 7:22
22 And Enoch also beheld the residue of the people which were the sons of Adam; and they were a mixture of all the seed of Adam save it was the seed of Cain, for the seed of Cain were black, and had not place among them
Je kutokana na ushahidi huu wa vitabu vya kihistoria vya dini na nje ya dini kuna ukweli kwamba asili ya mtu mweusi ni CAIN ?? Ya kwamba alilaaniwa ndio akawa mweusi ndio maana na sisi tumekuwa weusi???
Karibuni mtiririke wana jukwaa :
Cc:
Malcom Lumumba Wick Indundu Eiyer MSEZA MUKULU Kiranga Al watan Hearly Da'Vinci Izzo mshana jr Palantir n.k