Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau nimekuwa naona Aina mbali mbali za Ulinzi kwa Viongozi mbalimbali.Licha ya Ulinzi huo bado Baadhi ya Viongozi Wameuawa.
Najiuliza kwanini Wanaweza kuuawa Wakati wana huo Ulinzi au Walinzi wanakuwa hawana Mbinu za Kuwatambua Wauuaji mpaka wanafanikiwa kuwaua Viongozi?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Najiuliza kwanini Wanaweza kuuawa Wakati wana huo Ulinzi au Walinzi wanakuwa hawana Mbinu za Kuwatambua Wauuaji mpaka wanafanikiwa kuwaua Viongozi?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app