Kwa wengi Hushpuppi alionekana kuwa ni mfano halisi wa mtu aliyefanikiwa,mtafutaji aliyezikamata pesa za kutosha na kutokuzionea huruma katika kuzitumia, kwenye akaunti yake ya instagram yenye...
Idadi kubwa ya wakiristo na wasiyo wakristo wamedanganywa kwa kuaminishwa kuwa yesu ni white[Mzungu]
Hata michoro mingi inayotumika kumwakilisha yesu imekuwa ikimsadifu kama whiteman
Jaribu...
Sumbawanga ndiyo nyumbani kwetu, na kitongoji maarufu kiitwacho Mazwi ndiko hasa nilikozaliwa, kukulia na kujanjarukia!
Umbali wa takribani mita mia moja tu kutoka nyumbani kwetu, mahali...
Habari wakuu hope mpo njema sana na sawia,
kabla sijaingia katika maada kwanza tupeane pole kwa mtikisiko wa sasa unao ikumba hii Dunia yetu, hatuna Dunia ingine ya kuhamia kwa uharaka...
Habari wana jukwaa
mimi naitwa Dgombusi
Leo ntaenda kuzungumzia siri moja kubwa ambayo asilimia 1 au 2 ya watu wanifahamu vizuri kuhusu dunia yetu
Aslimia 99 yatu wengi hawa ifahamu siri hii...
Jamani miaka 20 imepita naninachokiona kinanitisha.
Tukio la kwanza nipale nikiwa shule ya msingi miaka 20 iliopita kuna kijana alinivua nguo nakunichania nguo ya ndani. Jambo lile alikuniacha na...
Stori: Oscar Ndauka, UWAZI
DAR ES SALAAM na mitandao: Ile Sayari ya Nibiru au Planet X ambayo wanasayansi duniani wamedai inaielekea dunia kwa kasi ya ajabu na huenda ikaipiga, habari mpya ni...
Habari ya leo Ndugu zangu,
Mambo yamekua mengi kidogo dunia ya leo, wakati kuna pande mbili zinavutana juu ya uhalali au ufanisi wa chanjo hizi za corona, kuna wale wanagoma kuchoma sindano...
Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?
Nadhani wengi wetu hatufahamu. Makongoro Nyerere anakubalika sana na wananchi. Sisi wananchi...
Ulimwengu Wa Plastiki Au Dunia Ya Watu.
Waziri Wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mheshimiwa January Makamba aliwai kusema “Ndugu zangu sina budi kuwa kumbusha kuwa siku...
Kila siku zaidi ya tweets milioni 500 zinaandikwa na watu mtandaoni duniani ambazo ni sawa na tweet bilioni 200 kwa mwaka duniani. Ongeza na picha zinazokadiriwa kufika milioni 350 ambazo huwekwa...
heshima kwenu waakuu nina kaswali kangu simple kila mtu anajua kwamba baada ya ten,inafuata eleven (11)twelve(12),thirteen (13)n.k,
swali langu ni kwanini baada ya ten haifuati ten one(11),ten...
Kukamatwa kwa mfanyabiashara mwenye uraia wa Haiti ambaye anaishi Florida ambaye vyombo vya usalama vinadai kwamba ni mhusika mkuu wa mauaji ya aliyekuwa raisi wa Haiti, kunazidi kuongeza maswali...
Nimeukuta huu mjadala wadau,tafadhali kwa wenye kujua tufafanulieni kuwa Soda ya Pepsi au Cocacola ikimwagiwa kwenye mashimo ya maji ya choo hupunguza kwa 70% hivyo inaweza kuokoa gharama ya...
Dah Mimi sio mtaalam kabisa wa mambo haya. Mambo ya udukuzi.lakini nimeingiwa na hofu Sana.
Pegasus Ni kifaa kilichotengenezwa na kampuni binafsi ya Israel.
Pegasus spyware inaweza kupenya kwenye...
Ebu tujadili kidogo kuhusu Executive Protection ya maraisi, Hapa chini nimeweka picha za inner cycle za ulinzi wa Rais JPM, Samia, Ndayishimiye (Burundi) na Mnangagwa (Zim).
Sasa twende...
Ni jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza iweje idadi kubwa ya wanadamu hutumia mkono wa kulia,kwa kufanya shughuli mbalimbali hasa kuandika.Wakati ilipaswa tutumie mkono wa kushoto kwa maana katika...
Kwa sababu ya matatizo mbalimbali kama kuonewa, kudhurumiwa, kuuwawa, vita vya wenyewe kwa wenyewe, uharamia, wanyama wakali, na kila aina ya vitisho vya utumiaji wa nguvu, watu wa jamii na...
General Paul Kagame had hoped to cash on the fight for saving the US$20 billion French investments in liquefied natural gas in northern Mozambique. He was ready to send his armies to fight the...
..mkamate sana elimu, usimuache aende zake..
Najiuliza sana hapa anazungumzia elimu kama elimu au kuna nafsi inazungumziwa? kwanini aseme "M"kamate.. "U"simuache.. "A"ende zake.. ni nani huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.