.... Nijisemee mwenyewe, ni muumini wa matokeo. I liked Namna majengo yalivyokuwa yakizibuliwa na Israel missiles. Kuna kitu naomba kujifunza, ni Aina gani ya makombora bora kabisa yaliyoweza...
Kifupi kabisa Freemason ni uhusiano wa moja kwa moja kati ya Mungu na wewe,kujua namna Mungu anavyotenda kazi na baadi ya siri zake na kujua dunia inavyokwenda
Wanawake wote duniani ni freemason...
Juzi nimeangaalia Movie mpya inayoitwa The Tomorrow War baada ya kuisha nikajikuta natafakari! Je! tayari wataalamu wa mambo wameshasafiri kwenda miaka 10-20 mbele wakarudi ni jibu juu ya...
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi...
ISI, Pakistan
Established in 1948, Pakistan's Directorate for Inter-Services Intelligence (ISI) is one of the most notorious secret service agencies in the world. Officially, the ISI is...
haya ni maelezo ya aliyewahi kuwa mfanyakazi wa CIA, ndg. Brad Robinson.
muhitimu wa university of california ambaye kwa sasa anafanya kazi kama mchunguzi binafsi(private investigator) katika...
Awali ya yote nimshukuru Mungu aliyetupatia uzima na afya mpaka tulipofika sasa. Pia, niwapongeze wanajamii kwa kuendelea kufuatilia machapisho mbalimbali katika ukurasa wetu huu pendwa...
Salaam!!.
Kukabwa na Jinamizi katika ndoto kama tunavyoita ni kitendo ambacho kinawatokea watu wengi sana.
Watu wengi hufikiri kwamba anayewakaba ni Jini lakini Tendo hilo kwa kitaalamu...
Ulimwengu Unaojulikana.
Ulimwengu Ujulikanao (Observable Universe) unapanuka (expand) kwa kasi kubwa sana ya km 73.8 kwa sekunde (kwa megaparsec 1) na kwamba kadri Galaxy inavyokuwa mbali na...
Mtoto wangu alifaulu vizuri sana kidato cha 4 na kwenda shule nzuri sana kidato cha 6 na tukakubaliana kuwa akimaliza kidato cha 6 atakwenda chuo bara lolote anapotaka yeye. Ghafla baada ya muhula...
Nimekuwa nina maswali mengi kuhusu ndoto zetu tunazoota tukilala
Na sina sehemu yoyote ya kuyauliza isipokuwa kwenye jukwaa hili.
Najua humu kuna manguli wa mambo hivyo majibu yatapatikana...
Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi.
1.Raggae, huu mziki...
Uliwengu umekuwa na muda mrefu wa utulivu isipokuwa mizozo ya vita katika mataifa machache vilivyohusisha nchi katika mabara tofauti miaka ya hapo nyuma.
Tangu kukamilika kwa vita vya pili vya...
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?
Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena...
Leo nazungumza na wale ambao mara tu wafumbapo kope zao aidha ni mchana au usiku basi utalii katika ulimwengu wa ndoto kujionea yaliyofichika zaidi.
Mara nyingi manabii hawa ukosa majibu ya vitu...
Huu uchawi uliokuwa unatumiwa zamani sana
na baadhi ya jamii za kipindi hiko, inajumuisha uwezo wa ubongo kutengeneza taswira ukisaidiwa na uwezo wa jini anaitwa KABASI.
Unafanyaje
_Chukua picha...
Hi Guys!
Moja kwa moja kwenye mada. Niwaombe moods wasiedit majina, nikiyapa yaanze na herufi ndogo ni herufi ndogo hivyo hivyo, herufi kubwa ni herufi kubwa hivyohivyo.
Haya tuendelee, nimeona...
3 Dec 2015
Melbourne, Australia
"The truth about mobile phone and wireless radiation" -- Dr Devra Davis
Published on 3 Dec 2015
"The truth about mobile phone and wireless radiation: what we...
Nawasalimia sana watu wote wa hapa JF.
Nivema nikaeleza kwa ufupi kwanini tunajaribu kuieleza jamii kuhusu meditation.
Asilimia kubwa yetu sisi wanadamu tunakuwa hatuko aware na mabo...
Naomba unieleze mambo yafuatayo kwann yanatokea wakati mtu amelala chalii tu
i. Kufikiri kwa makini na kulala chalii
ii. Kupumzisha mwili(relaxing) na kulala chali.
iii. Ndoto za ajabu mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.