Huyu jamaa miaka ya nyuma alijipatia umaarufu kupitia kipindi cha Nani ni Nani kilichokuwa kinarushwa na Channel Ten. Ni muda umepita sijamsikia katika media yoyote ile, yuko wapi mtangazaji huyu...
Jaman katika hili eneo niliokuwepo nasikia kuna jechi la wanamaji lakini katika pitapita zangu pwani yote ya bahari ya hindi, pamoja na kuzifahamu fukwe zote kijografia sijawahi kuona hata siku...
Unakuta mdada amevaa vizuri tu,lakini kichwani nywele hadi zinamzidi.halafu kibaya zaidi kama uko Naye faragha hadi asubuhi.... Akitaka kwenda kuoga unaweza muuliza hivi ni wewe au...
Serikali imesema suala la chaneli za nyumbani kuoneshwa bure baada ya muda wa kulipia huduma za ving'amuzi kumalizika sio hiari bali ni wajibu wa kisheria kwa wamiliki wa Televisheni kuhakikisha...
Wakazi wa Manispaa ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro na baadhi wageni waliowasili kutoka mikoani kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya wakiwa kwenye pilipilika za manunuzi ya...
Habari wakuu
Picha hapo juu anaitwa Samia aliondoka siku ya Jana aliaga anakwenda kwa bibi yake lakini baadae kuna mwanaume alipiga simu na kusema Samia amefariki.baada ya hapo akakata simu...
Ni kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi
Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma
Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
Mh Waziri wa Mambo ya ndani
Ukweli nilitamani sana nikupe salaam za Christmas lakini nashindwa kwani bado ninajisikia vibaya hususani kwa yale yaliyotamkwa dhidi ya Rais wetu Mh Dk John Pombe...
Watumishi mtakumbuka Mh. Rais aliagiza watumishi 59,000 waliopandishwa MADARAJA warekebishiwe MADARAJA na mishahara yao. Katibu Mkuu Wizara Utumishi aliagiza wale wote wenye barua ya Kupandishwa...
Haya jf mmeniungulia kutoka kifungoni je kum-ban member pasipo kumpa haki ya kujua kosa lake na kupewa haki ya kusikilizwaaaaa??
Hiyo siyo demokrasia ni mabavu mkijisikia tu au mkiwa na hasira...
Kiukweli nimevutiwa na utendaji kazi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha ila kitu ninachojiuliza kwanini ana ubunifu katika maendeleo ya Mkoa juzi nimetoka hospital mmoja mjini kitu cha kushangaza kuna...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wametangaza kumtafuta Beatus Malima ambaye ni mhadhiri wa Chuo Kikuu kitengo cha sheria na pia ni wakili wa kujitegemea katika kampuni ya...
[emoji121]
WAKUU,
NIMEJARIBU KUTAFAKARI TU,
HIVI KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MUZIKI WA SINGELI NA WATOTO WA KIUME KUBINUA MAKALIO JUU KAMA NGEDERE?!?!
HIVI HAIWEZEKANI KUCHEZA KIVINGINE BILA...
Nimekuwa nasikia baadhi ya watu sijui niwaite apologists au advocates wa chama kile wanasema kwamba, wanaolalamika grisi kupanda bei ni wale ambao ni wakipiga dili.
Lakini kwa observation yangu...
Siamini mpaka sasa sijapata mualiko hapa mjini, bora ningekuwa kwetu ningeshaalikwa nyumba kadhaa au kuletewa msosi mpaka ghetto, lakini huku kwenu ni balaa, nimefikia kwa jamaa yangu na yeye...
Salaam waungwana
Heri ya krismas na mwaka mpya
Nina wazo naamini humu viongozi wa kiserikali hupata muda na kupitia mawazo mbalimbali yanayoletwa humu
Mimi nina wazo kama tunataka Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.