Habari!
Hongera sana wewe mwanaJF ambaye mpaka sasa watoto wameshalipiwa ada na wameanza shule!
Pongezi zikuendee pia kwa kulipa kodi ya nyumba na pango la biashara yako.
Pamoja na masherehe...
Umeumbwa kutimiza kusudi fulani la Mungu lakini hujawahi kulitimiza ndio maana una hasara. Hasara siyo kwenye biashara peke yake, kuna watu vichwa vyao vina hasara tangu wazaliwe, kichwa haijawahi...
Miswada mitatu ya sheria, ukiwemo muswada wa marekebisho wa sheria ya hifadhi ya jamii, inatarajiwa kuchambuliwa na kujadiliwa kwenye vikao vya kamati za kudumu za bunge, vinavyotarajiwa kuanza...
Mke wangu ni mtumishi alikopa mkopo wa miaka miwili lakini amepata shida je ? anaweza kwenda kukopa tena pesa kwenye hiyo hiyo taasisi ili aongeze mda wa miaka 2 ifike miaka minne sasa hivi...
Pasco, kwa majira haya wewe utaitwa mchochezi, watasema siyo wote wangelisoma hilo gazeti sasa wewe utapewa chapa ya uchochezi kwamba umesambaza gazeti hilo mtandaoni. Just take care
Kwa mara...
Ndege ni usafiri salama zaidi duniani. Lakini ajali yake kupona ni kazi sana.
Kwa utafiti wa wataalam sehemu utakayokaa kwenye ndege ina nafasi kubwa sana kuamua uhai wako.
Igawe ndege mara tatu...
Kweli nimeamini watu wa dar kiboko na hawako on time kabisa yan nilikuwa na miadi ya pesa kwa kufanya biashara na mtu wa dar aliniahidi atafanya transaction baada ya masaa mawili kwa maana ilikuwa...
UNYONYAJI Mkubwa Kwenye miito ya simu(caller tunes) sasa hauvumiliki tena.. Kuna unyonyaji wa waziwazi ambao umekithiri kiasi sasa nadhani iwepo hoja ya Kupiga marufuku caller tunes hizi...
Nimeona ni vyema niliweke hili la huyu bwana Yona hapa JF, ni kwamba kumekuwa na taarifa mbalimbali zenye utata kuhusu kukamatwa kwa bwana Yona Fares Maro na polisi, kwa mujibu wa email iliyotumwa...
Nilikutana nae enzi Za kuvaa shart jeupe na suruali jeusi,viatu ama vyeusi au vyekundu, huo Ndo ulikuwa utaratibu wa joining instructions ya wakati huo, sura nyingi zilionyesha wazi wengi...
Hivi ni lazima kila mtu humu jukwaani awe mwanasiasa,hivi ni lazima kila uzi humu ndani uhusishwe na siasa watu wanashindwa kuzuia mihemko yao humu tunajua wengine mko kazini ila tunashusha hadhi...
1. We eat 7 per cent of all salt production. The other 93 per cent is used by the chemical industry.
2. The first great Roman road was the Via Salaria (salt road), leading from Rome to the...
Mimi naamini mtu anaekwambia ukweli ni mtu muhimu sana kuliko mtu ambae wakati wote anakusifia tu na kukupa matumaini kwa kila jambo
ingawa ukweli unauma lakini ndio ukweli.
kwa ukweli huu...
1. Luna 2 - Luna 2 was first spacecraft to make a
landing on the moon. Launched by the USSR on 12 Sep 1959, it impacted the surface of the moon on 14.09.1959 ....
2. Luna 3 - Luna 3 was first...
Hapo kale palitokea ukosefu wa chakula mkubwa na kusababasha njaa kali miongoni mwa wakazi wa mkoani Mwanza.
Hii ilipelekea wanaume wengi kuacha familia zao ili kutafuta chakula kutoka maeneo ya...
Hivi karibuni Rais wa marekani Donald trump alitoa kauli ambayo ilionekana ni chukizo kwa nchi za afrika na Haiti.kauli kuwa nchi za afrika ni chafu ingawa yeye alikanusha.nchi nyingi za afrika...
Huyu mzee mara ya kwanza tulikutana hapa mtaani nikiwa bado mgeni na bahasha yangu ya khaki mkononi.Ilikuwa mahala fulani napata kahawa hapa tegeta.Akanichangamkia sana halafu akaninunulia kahawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.