kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 793
Kweli nimeamini watu wa dar kiboko na hawako on time kabisa yan nilikuwa na miadi ya pesa kwa kufanya biashara na mtu wa dar aliniahidi atafanya transaction baada ya masaa mawili kwa maana ilikuwa saa 3 asubuhi kwa hyo masaa mawili ilitakiwa iwe saa tano ila mpaka sasa 3 usiku hamna kitu nimewaza nikaona nije na hyo heading kama hashtag
Watu wa dar kumbukeni timr is money.
Watu wa dar kumbukeni timr is money.