Habarini Wadau,
Juzi tarehe 24 nilisikia maneno kutoka kwa waumini kadhaa wa kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo chini ya Askofu Gwajima, ambapo muumini mmoja alibainisha wazi kuwa:
Askofu...
Na Kumbusho Dawson
Siku ya tarehe 03/12/2017 katika ukurasa wangu wa Facebook nilichapisha chapisho lililoambatana na picha zinazoonesha nyufa katika moja kati ya majengo ya Hostel Mpya, zilizopo...
Gazeti la Majira.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni 93,000
Gazeti la Habari Leo.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni 96,000
Gazeti la MWANANCHI.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni...
Za usiku huu,nikiwa chimbo moja hapa ukonga Mombasa(dar) nikiwa napata coca ya baridi maana situmii alchohol ninawaza kushare na nyiye jambo moja
Jamani wiki hii ndio wiki yetu ya mwisho wa...
Aisee kuna mtoto namuelewa Sana nmeanza mawasliano nae kama Wiki hivi tatizo ktk chating zetu analeta ukauzu Sana unaandika sms gazeti anajibu short and clear OK poa haya duu yan hata ujalibu...
Awali ya yote ifahamike kuwa Mie sijabobea kwenye elimu ya Biblia.
Hata hivyo,
Ni muumini mzuri wa kuhitaji kuongeza taarifa na maarifa pale inaponiruhusu.
Ni kwa mukhtadha huo basi leo nikiwa...
Kuanzisha Brand na kuhakikisha kwamba inakua na kujizolea umaarufu si kazi rahisi , ni kazi ngumu inayohitaji Pesa nyingi na weledi wa kiwango cha juu , inahitajika Rasilimali watu yenye ushawishi...
Nina wadogo zangu kama wawili nawafahamu, mmoja kaenda jela mwingine bado yuko mahabusu. Serikali hii ingewatumia vijana wote wenye elimu za chuo na fani zinazoeleweka kama vile IT, Programming na...
Asalaam aleykum
Mtanisamehe Sana ndugu zangu iko Kwa lugha ya kiingereza lakini Kwa kifupi ni kwamba hairuhusiwi...wallahu Aalam.
Praise be to Allaah.
Greeting the kuffaar on Christmas and...
Mufti wa Tanzania amepiga marufuku mafunzo yote yasiyofuata misingi ya uislamu kwa vijana. Mufti amepiga marufuku hiyo mjini Moshi alikokuwa akifungua chuo cha kiislamu na kusisitiza kuwa mambo ya...
Wanabodi,
magari ya abiria yanayoenda mwanza, kahama, bukoba, kiomboi, n.k yamezuiwa kupita kwenye mzani wa singida kwa madai kuwa kuna mabasi mawili yalipita bila kuingia kupima hivyo...
Hawa jamaa wanaotembeza vyombo majumbani na ofisini wana mkwara sana!
Wauza mabeseni,glass na viti vya plastic mtaan walinivamia nyumban kwangu na mkwara Wa kupiga hodi geti Kwa kugonga geti na...
Salamu wanajukwaa Wenye nyumba na hata sisi wapangaji WA kudumu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kutokana na kuwa wingi WA mialiko ya kipindi hiki cha siku kuu Leo Nimeona ni vyema...
PICHA: HII NDIYO TV INAYOUZWA MILIONI 75 ZA KITANZANIA...!!
Niliwahi kuuliza kwa watu wa nguvu shilingi milioni 75 wakipata watatumia kwenye nini?, majibu ya wengi yalikua ni kujenga...
Kisansa nijiji linawatu million 11 na nijiji nisafi sana kuliko bongo licha ya vita na uchumi mbaya.je shida ninini kwa Bongo kuzidiwa na nchi zinazotoka nyuma yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.