Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habarini Wadau, Juzi tarehe 24 nilisikia maneno kutoka kwa waumini kadhaa wa kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo chini ya Askofu Gwajima, ambapo muumini mmoja alibainisha wazi kuwa: Askofu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Na Kumbusho Dawson Siku ya tarehe 03/12/2017 katika ukurasa wangu wa Facebook nilichapisha chapisho lililoambatana na picha zinazoonesha nyufa katika moja kati ya majengo ya Hostel Mpya, zilizopo...
1 Reactions
0 Replies
447 Views
Gazeti la Majira.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni 93,000 Gazeti la Habari Leo.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni 96,000 Gazeti la MWANANCHI.... Waliofaulu kwenda Kidato cha Tano ni...
12 Reactions
72 Replies
10K Views
Za usiku huu,nikiwa chimbo moja hapa ukonga Mombasa(dar) nikiwa napata coca ya baridi maana situmii alchohol ninawaza kushare na nyiye jambo moja Jamani wiki hii ndio wiki yetu ya mwisho wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aisee kuna mtoto namuelewa Sana nmeanza mawasliano nae kama Wiki hivi tatizo ktk chating zetu analeta ukauzu Sana unaandika sms gazeti anajibu short and clear OK poa haya duu yan hata ujalibu...
0 Reactions
5 Replies
985 Views
Awali ya yote ifahamike kuwa Mie sijabobea kwenye elimu ya Biblia. Hata hivyo, Ni muumini mzuri wa kuhitaji kuongeza taarifa na maarifa pale inaponiruhusu. Ni kwa mukhtadha huo basi leo nikiwa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndio natoka kummalizia kulima shamba lake,cha kushangaza nimefika nyumbani .kwake sijamkuta,na mimi niliku nahitaji hela nikajiandalie sikukuu, sasa wapendwa naomba mnikopeshe 15,000,nitaludisha...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu kwema..naulizia usafiri wa kufika mkoa wa mara maana sijawahi kusafiri eneo lolote la kanda ya ziwa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuanzisha Brand na kuhakikisha kwamba inakua na kujizolea umaarufu si kazi rahisi , ni kazi ngumu inayohitaji Pesa nyingi na weledi wa kiwango cha juu , inahitajika Rasilimali watu yenye ushawishi...
21 Reactions
164 Replies
16K Views
Nina wadogo zangu kama wawili nawafahamu, mmoja kaenda jela mwingine bado yuko mahabusu. Serikali hii ingewatumia vijana wote wenye elimu za chuo na fani zinazoeleweka kama vile IT, Programming na...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Baada yakula Maharage, awamu hii ameamua kula Upupu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Asalaam aleykum Mtanisamehe Sana ndugu zangu iko Kwa lugha ya kiingereza lakini Kwa kifupi ni kwamba hairuhusiwi...wallahu Aalam. Praise be to Allaah. Greeting the kuffaar on Christmas and...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Mufti wa Tanzania amepiga marufuku mafunzo yote yasiyofuata misingi ya uislamu kwa vijana. Mufti amepiga marufuku hiyo mjini Moshi alikokuwa akifungua chuo cha kiislamu na kusisitiza kuwa mambo ya...
8 Reactions
152 Replies
13K Views
Wanabodi, magari ya abiria yanayoenda mwanza, kahama, bukoba, kiomboi, n.k yamezuiwa kupita kwenye mzani wa singida kwa madai kuwa kuna mabasi mawili yalipita bila kuingia kupima hivyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada yakula yale Maharage, Sasa ameamua kula Upupu kabisa.
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Hawa jamaa wanaotembeza vyombo majumbani na ofisini wana mkwara sana! Wauza mabeseni,glass na viti vya plastic mtaan walinivamia nyumban kwangu na mkwara Wa kupiga hodi geti Kwa kugonga geti na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Salamu wanajukwaa Wenye nyumba na hata sisi wapangaji WA kudumu Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kutokana na kuwa wingi WA mialiko ya kipindi hiki cha siku kuu Leo Nimeona ni vyema...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
PICHA: HII NDIYO TV INAYOUZWA MILIONI 75 ZA KITANZANIA...!! Niliwahi kuuliza kwa watu wa nguvu shilingi milioni 75 wakipata watatumia kwenye nini?, majibu ya wengi yalikua ni kujenga...
3 Reactions
160 Replies
42K Views
Kisansa nijiji linawatu million 11 na nijiji nisafi sana kuliko bongo licha ya vita na uchumi mbaya.je shida ninini kwa Bongo kuzidiwa na nchi zinazotoka nyuma yetu
4 Reactions
46 Replies
6K Views
Back
Top Bottom