Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hivi ni haki kumkamata aliyeibiwa kisa kumuitia mwizi aliyeiba ambaye ameuawa na wananchi wenye hasira kali, ilhali imethibitika ni kweli ameiba zaidi ya nyumba mbili kwa usiku mmoja ?.
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Mwanahabari wa michezo, Limonga Justine Limonga amefariki leo Jumapili majira ya saa tatu asubuhi katika Hospital ya TMJ. Marehemu alikuwa akihudumu katika radio Uhuru ya jijini Da Es Salaam...
0 Reactions
46 Replies
12K Views
Za Jumapili waheshimiwa Wapendwa na natumai nyote mmekuwa na siku murua kabisa huku mkitafakari ni jinsi gani mtainza wiki mpya ya Kesho huku wengine mkiwa mmeishiwa kabisa Hela na wengine...
5 Reactions
40 Replies
6K Views
JUMLA ya watu 48,695 wamekufa na wengine 282,194 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabarani zilizotokea nchini Tanzania katika kipindi cha kuanzia mwaka 2000 hadi 2015. Uchunguzi wa FikraPevu...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
pamoja na uzembe wa madereva kuchangia katika asilimia kubwa sana ya ajali za magari barabarani,na kusababisha vifo vya maelfu ya raia wasio na hatia yoyote sasa tunakuletea sababu moja wapo ya...
20 Reactions
58 Replies
22K Views
Rais John Magufuli wa Tanzania akiongea Kwa masikitiko kwenye hafla ya kumuapisha naibu waziri wa madini kwamba yale mapendekezo yote yaliyopendekezwa na kamati hodari ya MAKINIKIA tangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serengeti. Ni kawaida kukutana na wafungwa mitaani wakiwa wanasimamiwa na askari Magereza, lakini si kwa Kassim Musa Bheha; amekutwa mbugani akiwinda pamoja na wenzake watatu. Bheha, ambaye ni...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nikiwa katika jukumu la kusikiliza kero za wananchi eneo langu ametokea mwananchi moja kulalamika kuwa ana zaidi ya miezi sita tangu amepeleka maombi ya leseni ya kusambaza kokoto( Dealers...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kama una michirizi ya mwili waweza kukosa ajira Ghana,wadau nimeona hii habari kwenye BBC nimeona bora niiweka hapa tuijadili.. Hivi sasa huko Ghana inakuwa tabu sana kwa wanawake waliojichubua...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kijana huyu ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye kiwanda cha kutengenezea viatu vya yeboyebo ambapo mmiliki wa hicho kiwanda ni mtu mwenye asili ya China (Mchina). Kwa mujibu wa kijana huyo anadai...
5 Reactions
82 Replies
11K Views
Mkuu wa wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma Luis Bura amewasimamisha kazi na kuagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa maafisa wanne wa idara ya ardhi akiwemo Mkuu wa idara ya ardhi na Maliasili...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Leo nimeshuhudia foleni ya mwaka ya mwendokasi Mbezi. Ukiritimba na uroho wa UDA wakishirikiana na SUMATRA ndo umetufikisha hapa. Ina maana SUMATRA hamujaona hiyo hali jamani? Watu wanateseka na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama haujawahi kuuguliwa na kupeleka mgonjwa unaweza kusema ni hospital yenye maana sana. Ukiangalia ujenzi wa majengo mapya na ukuta uliowekwa kuzunguka hospital hauwezi kukubali kuwa huduma ni...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
MKAKATI WA KUMCHAFUA MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSPEH MBILINYI “SUGU” Imeundwa fake account ya tweeter ambayo inaonyesha “SUGU” akimjibu mzazi mwenzake. Ipuuzeni. Ni fake account. Mh. Joseph Mbilinyi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu? Hivi kweli mtu unaweza kubadilika, ama kujifunza kuwa na courage and confident? Nimejaribu, kusoma vitabu vingi vya inspiration pamoja na motivations kibao na kuzielewa. Lakini...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Dr, Shika 900 itapendeza. Kumbusho Dawson, Mipasuko nyufa UDSM Hostel za JPM.
1 Reactions
4 Replies
765 Views
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira amewamwagia sifa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro ambao walikwenda kula sikukuu za mwisho wa mwaka mkoani humo, kwa kufanya matumizi makubwa na kuongeza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hwajazingua kwa habari ya mwendo, bali wameonyesha namna ambayo bado wanakua. Wakati wenzao wakiwa na mabasi zaidi ya 1 yanayokwenda mji mmoja, wao wana basi moja tu. Hapa nilipo nasubiri basi lao...
5 Reactions
90 Replies
11K Views
Vitu vya pekee ambavyo unatakiwa kujua mpaka sasa ni elimu unayoendelea kuipata, maisha halisi na muda wa masomo mpaka uhitimu. Nadhani wote tunafahamu kwamba mahitaji ya wafanyakazi kwenye...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuna ndugu yangu alikua na kesi inayodhaminíka na dhamana ilikua wazi ila kutokana na process ya kupata barua tulichelewa kama dk 10 hivi akawa kashapanda gari anaelekea segerea jee tunaweza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom