Hivi ni haki kumkamata aliyeibiwa kisa kumuitia mwizi aliyeiba ambaye ameuawa na wananchi wenye hasira kali, ilhali imethibitika ni kweli ameiba zaidi ya nyumba mbili kwa usiku mmoja ?.
Mwanahabari wa michezo, Limonga Justine Limonga amefariki leo Jumapili majira ya saa tatu asubuhi katika Hospital ya TMJ.
Marehemu alikuwa akihudumu katika radio Uhuru ya jijini Da Es Salaam...
Za Jumapili waheshimiwa Wapendwa na natumai nyote mmekuwa na siku murua kabisa huku mkitafakari ni jinsi gani mtainza wiki mpya ya Kesho huku wengine mkiwa mmeishiwa kabisa Hela na wengine...
JUMLA ya watu 48,695 wamekufa na wengine 282,194 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabarani zilizotokea nchini Tanzania katika kipindi cha kuanzia mwaka 2000 hadi 2015.
Uchunguzi wa FikraPevu...
pamoja na uzembe wa madereva kuchangia katika asilimia kubwa sana ya ajali za magari barabarani,na kusababisha vifo vya maelfu ya raia wasio na hatia yoyote sasa tunakuletea sababu moja wapo ya...
Rais John Magufuli wa Tanzania akiongea Kwa masikitiko kwenye hafla ya kumuapisha naibu waziri wa madini kwamba yale mapendekezo yote yaliyopendekezwa na kamati hodari ya MAKINIKIA tangu...
Serengeti. Ni kawaida kukutana na wafungwa mitaani wakiwa wanasimamiwa na askari Magereza, lakini si kwa Kassim Musa Bheha; amekutwa mbugani akiwinda pamoja na wenzake watatu.
Bheha, ambaye ni...
Nikiwa katika jukumu la kusikiliza kero za wananchi eneo langu ametokea mwananchi moja kulalamika kuwa ana zaidi ya miezi sita tangu amepeleka maombi ya leseni ya kusambaza kokoto( Dealers...
kama una michirizi ya mwili waweza kukosa ajira Ghana,wadau nimeona hii habari kwenye BBC nimeona bora niiweka hapa tuijadili..
Hivi sasa huko Ghana inakuwa tabu sana kwa wanawake waliojichubua...
Kijana huyu ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye kiwanda cha kutengenezea viatu vya yeboyebo ambapo mmiliki wa hicho kiwanda ni mtu mwenye asili ya China (Mchina).
Kwa mujibu wa kijana huyo anadai...
Mkuu wa wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma Luis Bura amewasimamisha kazi na kuagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa maafisa wanne wa idara ya ardhi akiwemo Mkuu wa idara ya ardhi na Maliasili...
Leo nimeshuhudia foleni ya mwaka ya mwendokasi Mbezi. Ukiritimba na uroho wa UDA wakishirikiana na SUMATRA ndo umetufikisha hapa.
Ina maana SUMATRA hamujaona hiyo hali jamani? Watu wanateseka na...
Kama haujawahi kuuguliwa na kupeleka mgonjwa unaweza kusema ni hospital yenye maana sana. Ukiangalia ujenzi wa majengo mapya na ukuta uliowekwa kuzunguka hospital hauwezi kukubali kuwa huduma ni...
MKAKATI WA KUMCHAFUA MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSPEH MBILINYI “SUGU”
Imeundwa fake account ya tweeter ambayo inaonyesha “SUGU” akimjibu mzazi mwenzake. Ipuuzeni. Ni fake account. Mh. Joseph Mbilinyi...
Habari wakuu?
Hivi kweli mtu unaweza kubadilika, ama kujifunza kuwa na courage and confident?
Nimejaribu, kusoma vitabu vingi vya inspiration pamoja na motivations kibao na kuzielewa. Lakini...
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira amewamwagia sifa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro ambao walikwenda kula sikukuu za mwisho wa mwaka mkoani humo, kwa kufanya matumizi makubwa na kuongeza...
Hwajazingua kwa habari ya mwendo, bali wameonyesha namna ambayo bado wanakua. Wakati wenzao wakiwa na mabasi zaidi ya 1 yanayokwenda mji mmoja, wao wana basi moja tu. Hapa nilipo nasubiri basi lao...
Vitu vya pekee ambavyo unatakiwa kujua mpaka sasa ni elimu unayoendelea kuipata, maisha halisi na muda wa masomo mpaka uhitimu. Nadhani wote tunafahamu kwamba mahitaji ya wafanyakazi kwenye...
Kuna ndugu yangu alikua na kesi inayodhaminíka na dhamana ilikua wazi ila kutokana na process ya kupata barua tulichelewa kama dk 10 hivi akawa kashapanda gari anaelekea segerea jee tunaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.