Huu ni UNYONYAJI MKUBWA Kwa makampuni ya Simu..

Huu ni UNYONYAJI MKUBWA Kwa makampuni ya Simu..

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,487
Reaction score
913
UNYONYAJI Mkubwa Kwenye miito ya simu(caller tunes) sasa hauvumiliki tena.. Kuna unyonyaji wa waziwazi ambao umekithiri kiasi sasa nadhani iwepo hoja ya Kupiga marufuku caller tunes hizi..

Mfano TiGO ambayo Kwa sasa Ina active members milioni 3.4(online members achilia wadau wengine Wanaotembea Na vichip. Takwimu zao zinaonyesha 75% wamejiunga Na TiGO beatz, (TiGO beatz ni mlio mbadala anaousikia mteja akikupigia cm ambao hupatikana Kwa kujisajili Kwa kutuma silabi Za wimbo kwenda namba ya kampuni sajilio mfano 15050, au kubonyeza kitufe Cha reli wakati wimbo ukiita Na mojakwamoja unaunganishwa Na mlio unaoupenda)

unyonyaji huu uko Kwenye maeneo mawili..

KWANZA:- Kila unapojiunga(download) moja Unakatwa kiasi Cha Tsh 320, Na hii hudumu Kwa miezi miwili Na kukatwa tena, mgawanyo wa mapato ni wa ajabu sana.
Customer mwenye collar tune yake haipeleki TiGO direct, huipeleka Kwenye kampuni lililojisajili Na TiGO Kama wakala wa huduma. Na mgawanyo Wa Tsh 320 uko hivi

1. Kampuni(TiGO) huchukua 70% ya 320 =224

2: Wakala hujinyakulia 20% =64

3: Mteja& Msanii (mwenye caller tune yake ) 10%= 32.

Lakini Bado haitoshi mteja au msanii huyu mwenye caller Tune yake bado hapewi hiyo 10% Yaani Tsh 32, Bado inaundergoes makato lukuki ya VAT Na charges mbalimbali Na at the very end anaambulia Tshs 22.4.. Jamani Watanzania huu si Unyonyaji Wa waziwazi, mteja au Msanii aliyetoa Kazi ya jasho lake itumike Kama Beatz Kwenye milio ya Cm aje kunufaika Kwa Tsh 22.4 out of 320 inayokatwa Kwa watumiaji?!?.. Si haki Hata kidogo ni Unyonyaji..ukiuliza unapewa majibu laini kwamba Hata hiyo 22.4 kaifanyia Kazi gani?, no SIO uungwana, msanii kafanya Kazi kwenye kipaji chake, akatengeneza wimbo husika Na mteja akaununua miongoni mwa maelefu ya nyimbo huwezi kuipuuza bidii yake ni kumvunjia heshima..imagine Kama wimbo una peak download ya watumiaji laki moja (100,000) embu ona mgawanyo

1. TiGO) huchukua 70% =224x100,000 = 22,400,000

2: Wakala 20% =64x100,000 = 6,400,000

3: Msanii 10%= 32 (VAT&Charges ) 22.4= 2,240,000

PILI: Wizi mwingine wa kutisha umejichomoza Kwenye makato ya hizi TIGO beatz Kwa siku, kila siku mteja alikatwa Tshs35 lakini sasa imeongezeka Na kufikia Tshs45.. Jamani imagine Kila siku Unakatwa Tshs45 Kama Sijui Ushuru wa Wimbo au ni nini, Na Makato haya Hayana uhusiano Na Wakala Wala Msanii ni Mali ya TiGO PEKEE.. Imagine Kwa 75% ya active customers wa TiGO 3.4 millioni ambao wamejiunga Na hizi Beatz ni Kama raia Milioni 2.55 Na kila Raia kila siku anakatwa Tsh 45 tunapataje

45 x 2,550,000 = 114,750,000..

Milioni 114,750,000 kila siku TiGO hujikusanyia kilainii kutoka kwetu ambapo Kwa mwezi kiasi Cha 3.5billion hukusanywa pasipo Kazi Wala jasho lolote. Huu kama SIO unyonyaji ni nipe tafsiri yake nyingine.. Na mbaya zaidi Maskini ya mungu Watanzania wengi hawajui hili .

Nimetoa mfano wa TiGO lakini makampuni yote yako Na muondoko huu huu, mbaya zaidi wakulima wengi hawajui hii, Kama umejiunga Na Caller tune zaidi ya moja Basi wewe kila baada ya miezi miwili unafyekwa 320 Kwa kila wimbo, manake kuna wenzangunamie kila akisikia wimbo mzuri Huyoo amebofya alama ya reli anajijazia hazi miito 10 hivi ujue huyo kila baada ya siku 60 anafyekwa 3,200 .. Ukiweka salio unashangaa limefyekwa Wala hawakwambii KWANINI hadi ukamilishe 3,200 ndipo unapata MSG Kwamba umetozwa tsh3,200 Kwa miito yako MSG ambazo wakulima wengi huzidelete Wala hakuna mwenye muda nazo..

Ifike Muda sasa tukatae unyonyaji huu, wasanii wananyonywa sana, wakulima wanakubali kukatwa hela zao wakijua zitawanufaisha wasanii wao kumbe kuna usanii mwingine unachakachua Kazi zao.. Kama makampuni yanasingizia kipato hicho ni Kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo mbona awali waliendesha mitambo Yao Kwa ufanisi kabla ya haya ma milio kuingia sokoni.. KWANINI lakini..!?
 
Uchanganuzi wako mzuri mkuu.
Binafsi sijajiunga na huduma yeyote ya kukatwa salio langu. Labda niwe nimekopa! Ama kujiunga na bundles,basi.
 
Uchanganuzi wako mzuri mkuu.
Binafsi sijajiunga na huduma yeyote ya kukatwa salio langu. Labda niwe nimekopa! Ama kujiunga na bundles,basi.
Kweli kuna nyakati Watoto wetu hutuunganisha Kwenye huduma hizi pasi sisi kujua , unashangaa makato lukuki yanakuandama.
 
Thanks Eng kwa good analysis... Tatizo watz hatupendani hata kidogo tunaona vyema kumtajirisha makampuni makubwa na kudharau wazazi wetu waliotusomesha.. TCRA wana kila cha kujibu kuhusu wizi huu ... Wao nao ni wezi Kama makampuni ya simu...

UZALENDO bado sana Tanzania
 
hivi mimi ninayetumia caller tune ya P squire na Jay zee nao huwa wanapelekewa gawawiwo lao? ukishindwa kutajirika Tanzania basi hakuna nchi nyingine unayoweza kupata mihela ya bure.
 
Lazima chama tawala kina mgao kwenye huu utapeli
 
Wizi mkubwa..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
TCRA tusaidieni kwa hili. Wengi hawaelewi promotion za makampuni ya simu kutokana na elimu ndogo.
 
Engineer,

Uchambuzi wako ni wa kina sana kiasi kwamba umenipa hamasa ya kufuatilia WIZI mkubwa unaofanywa na hizi kampuni, pengine mkubwa kuliko unavyotambua.

Please nitumie ujumbe binafsi wenye anuani yako ya barua pepe. Nitawasiliana na wewe ili kujua namna ya kulifikisha suala hili kwenye mahala pake.

Hiki ni kizazi cha mitandao ya kijamii. Unachokifanya wewe ndicho haswa mantiki ya kuwapo kwa mitandao hii.

Tuko pamoja.
 
unyonyaji mkubwa kwenye miito ya simu(caller tunes) sasa hauvumiliki tena.. Kuna unyonyaji wa waziwazi ambao umekithiri kiasi sasa nadhani iwepo hoja ya kupiga marufuku caller tunes hizi..

Mfano tigo ambayo kwa sasa ina active members milioni 3.4(online members achilia wadau wengine wanaotembea na vichip. Takwimu zao zinaonyesha 75% wamejiunga na tigo beatz, (tigo beatz ni mlio mbadala anaousikia mteja akikupigia cm ambao hupatikana kwa kujisajili kwa kutuma silabi za wimbo kwenda namba ya kampuni sajilio mfano 15050, au kubonyeza kitufe cha reli wakati wimbo ukiita na mojakwamoja unaunganishwa na mlio unaoupenda)

unyonyaji huu uko kwenye maeneo mawili..

Kwanza:- kila unapojiunga(download) moja unakatwa kiasi cha tsh 320, na hii hudumu kwa miezi miwili na kukatwa tena, mgawanyo wa mapato ni wa ajabu sana.
Customer mwenye collar tune yake haipeleki tigo direct, huipeleka kwenye kampuni lililojisajili na tigo kama wakala wa huduma. Na mgawanyo wa tsh 320 uko hivi

1. Kampuni(tigo) huchukua 70% ya 320 =224

2: Wakala hujinyakulia 20% =64

3: Mteja& msanii (mwenye caller tune yake ) 10%= 32.

Lakini bado haitoshi mteja au msanii huyu mwenye caller tune yake bado hapewi hiyo 10% yaani tsh 32, bado inaundergoes makato lukuki ya vat na charges mbalimbali na at the very end anaambulia tshs 22.4.. Jamani watanzania huu si unyonyaji wa waziwazi, mteja au msanii aliyetoa kazi ya jasho lake itumike kama beatz kwenye milio ya cm aje kunufaika kwa tsh 22.4 out of 320 inayokatwa kwa watumiaji?!?.. Si haki hata kidogo ni unyonyaji..ukiuliza unapewa majibu laini kwamba hata hiyo 22.4 kaifanyia kazi gani?, no sio uungwana, msanii kafanya kazi kwenye kipaji chake, akatengeneza wimbo husika na mteja akaununua miongoni mwa maelefu ya nyimbo huwezi kuipuuza bidii yake ni kumvunjia heshima..imagine kama wimbo una peak download ya watumiaji laki moja (100,000) embu ona mgawanyo

1. Tigo) huchukua 70% =224x100,000 = 22,400,000

2: Wakala 20% =64x100,000 = 6,400,000

3: Msanii 10%= 32 (vat&charges ) 22.4= 2,240,000

pili: Wizi mwingine wa kutisha umejichomoza kwenye makato ya hizi tigo beatz kwa siku, kila siku mteja alikatwa tshs35 lakini sasa imeongezeka na kufikia tshs45.. Jamani imagine kila siku unakatwa tshs45 kama sijui ushuru wa wimbo au ni nini, na makato haya hayana uhusiano na wakala wala msanii ni mali ya tigo pekee.. Imagine kwa 75% ya active customers wa tigo 3.4 millioni ambao wamejiunga na hizi beatz ni kama raia milioni 2.55 na kila raia kila siku anakatwa tsh 45 tunapataje

45 x 2,550,000 = 114,750,000..

Milioni 114,750,000 kila siku tigo hujikusanyia kilainii kutoka kwetu ambapo kwa mwezi kiasi cha 3.5billion hukusanywa pasipo kazi wala jasho lolote. Huu kama sio unyonyaji ni nipe tafsiri yake nyingine.. Na mbaya zaidi maskini ya mungu watanzania wengi hawajui hili .

Nimetoa mfano wa tigo lakini makampuni yote yako na muondoko huu huu, mbaya zaidi wakulima wengi hawajui hii, kama umejiunga na caller tune zaidi ya moja basi wewe kila baada ya miezi miwili unafyekwa 320 kwa kila wimbo, manake kuna wenzangunamie kila akisikia wimbo mzuri huyoo amebofya alama ya reli anajijazia hazi miito 10 hivi ujue huyo kila baada ya siku 60 anafyekwa 3,200 .. Ukiweka salio unashangaa limefyekwa wala hawakwambii kwanini hadi ukamilishe 3,200 ndipo unapata msg kwamba umetozwa tsh3,200 kwa miito yako msg ambazo wakulima wengi huzidelete wala hakuna mwenye muda nazo..

Ifike muda sasa tukatae unyonyaji huu, wasanii wananyonywa sana, wakulima wanakubali kukatwa hela zao wakijua zitawanufaisha wasanii wao kumbe kuna usanii mwingine unachakachua kazi zao.. Kama makampuni yanasingizia kipato hicho ni kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo mbona awali waliendesha mitambo yao kwa ufanisi kabla ya haya ma milio kuingia sokoni.. Kwanini lakini..!?

maelezo mazuri sana ila

mkuu nina maswali kadhaa naomba majibu ya ufafanuzi...
1. Ulitaka msanii apate asilimia ngapi na msambazaji apate asilimia ngapi?

2. Ulitaka msanii asilipe vat?

3. Unajua kwa wenzetu kama usa msanii anapata asilimia ngapi na makampuni kama universal yanapata asilimia ngapi?


Mkuu usiseme mbona ukiuza itunes mapato ya msanii o\ni tofauti hapa kuna maelezo marefu sana mkuu ila nitarudi kujadili zaidi hili mkuu iwapo ukinijibu maswali yangu hayo na ukinifafanulia hapo kwenye red maana kuna walakini mkuu hapo

 
Engineer,

Uchambuzi wako ni wa kina sana kiasi kwamba umenipa hamasa ya kufuatilia WIZI mkubwa unaofanywa na hizi kampuni, pengine mkubwa kuliko unavyotambua.

Please nitumie ujumbe binafsi wenye anuani yako ya barua pepe. Nitawasiliana na wewe ili kujua namna ya kulifikisha suala hili kwenye mahala pake.

Hiki ni kizazi cha mitandao ya kijamii. Unachokifanya wewe ndicho haswa mantiki ya kuwapo kwa mitandao hii.

Tuko pamoja.

tgeophrey1@gmail.com
 
basata na wasanii hawalioni hili, au kwakua nchi niya kisanii na viongozi ni wasanii?
UNYONYAJI Mkubwa
Kwenye miito ya simu(caller tunes) sasa hauvumiliki tena.. Kuna
unyonyaji wa waziwazi ambao umekithiri kiasi sasa nadhani iwepo hoja ya
Kupiga marufuku caller tunes hizi..

Mfano TiGO ambayo Kwa sasa Ina active members milioni 3.4(online members
achilia wadau wengine Wanaotembea Na vichip. Takwimu zao zinaonyesha
75% wamejiunga Na TiGO beatz, (TiGO beatz ni mlio mbadala anaousikia
mteja akikupigia cm ambao hupatikana Kwa kujisajili Kwa kutuma silabi Za
wimbo kwenda namba ya kampuni sajilio mfano 15050, au kubonyeza kitufe
Cha reli wakati wimbo ukiita Na mojakwamoja unaunganishwa Na mlio
unaoupenda)

unyonyaji huu uko Kwenye maeneo mawili..

KWANZA:- Kila unapojiunga(download) moja Unakatwa kiasi Cha Tsh 320, Na
hii hudumu Kwa miezi miwili Na kukatwa tena, mgawanyo wa mapato ni wa
ajabu sana.
Customer mwenye collar tune yake haipeleki TiGO direct, huipeleka Kwenye
kampuni lililojisajili Na TiGO Kama wakala wa huduma. Na mgawanyo Wa
Tsh 320 uko hivi

1. Kampuni(TiGO) huchukua 70% ya 320 =224

2: Wakala hujinyakulia 20% =64

3: Mteja& Msanii (mwenye caller tune yake ) 10%= 32.

Lakini Bado haitoshi mteja au msanii huyu mwenye caller Tune yake bado
hapewi hiyo 10% Yaani Tsh 32, Bado inaundergoes makato lukuki ya VAT Na
charges mbalimbali Na at the very end anaambulia Tshs 22.4.. Jamani
Watanzania huu si Unyonyaji Wa waziwazi, mteja au Msanii aliyetoa Kazi
ya jasho lake itumike Kama Beatz Kwenye milio ya Cm aje kunufaika Kwa
Tsh 22.4 out of 320 inayokatwa Kwa watumiaji?!?.. Si haki Hata kidogo ni
Unyonyaji..ukiuliza unapewa majibu laini kwamba Hata hiyo 22.4
kaifanyia Kazi gani?, no SIO uungwana, msanii kafanya Kazi kwenye kipaji
chake, akatengeneza wimbo husika Na mteja akaununua miongoni mwa
maelefu ya nyimbo huwezi kuipuuza bidii yake ni kumvunjia
heshima..imagine Kama wimbo una peak download ya watumiaji laki moja
(100,000) embu ona mgawanyo

1. TiGO) huchukua 70% =224x100,000 = 22,400,000

2: Wakala 20% =64x100,000 = 6,400,000

3: Msanii 10%= 32 (VAT&Charges ) 22.4= 2,240,000

PILI: Wizi mwingine wa kutisha umejichomoza Kwenye makato ya hizi TIGO
beatz Kwa siku, kila siku mteja alikatwa Tshs35 lakini sasa imeongezeka
Na kufikia Tshs45.. Jamani imagine Kila siku Unakatwa Tshs45 Kama Sijui
Ushuru wa Wimbo au ni nini, Na Makato haya Hayana uhusiano Na Wakala
Wala Msanii ni Mali ya TiGO PEKEE.. Imagine Kwa 75% ya active customers
wa TiGO 3.4 millioni ambao wamejiunga Na hizi Beatz ni Kama raia Milioni
2.55 Na kila Raia kila siku anakatwa Tsh 45 tunapataje

45 x 2,550,000 = 114,750,000..

Milioni 114,750,000 kila siku TiGO hujikusanyia kilainii kutoka kwetu
ambapo Kwa mwezi kiasi Cha 3.5billion hukusanywa pasipo Kazi Wala jasho
lolote. Huu kama SIO unyonyaji ni nipe tafsiri yake nyingine.. Na mbaya
zaidi Maskini ya mungu Watanzania wengi hawajui hili .

Nimetoa mfano wa TiGO lakini makampuni yote yako Na muondoko huu huu,
mbaya zaidi wakulima wengi hawajui hii, Kama umejiunga Na Caller tune
zaidi ya moja Basi wewe kila baada ya miezi miwili unafyekwa 320 Kwa
kila wimbo, manake kuna wenzangunamie kila akisikia wimbo mzuri Huyoo
amebofya alama ya reli anajijazia hazi miito 10 hivi ujue huyo kila
baada ya siku 60 anafyekwa 3,200 .. Ukiweka salio unashangaa limefyekwa
Wala hawakwambii KWANINI hadi ukamilishe 3,200 ndipo unapata MSG Kwamba
umetozwa tsh3,200 Kwa miito yako MSG ambazo wakulima wengi huzidelete
Wala hakuna mwenye muda nazo..

Ifike Muda sasa tukatae unyonyaji huu, wasanii wananyonywa sana,
wakulima wanakubali kukatwa hela zao wakijua zitawanufaisha wasanii wao
kumbe kuna usanii mwingine unachakachua Kazi zao.. Kama makampuni
yanasingizia kipato hicho ni Kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo mbona
awali waliendesha mitambo Yao Kwa ufanisi kabla ya haya ma milio kuingia
sokoni.. KWANINI lakini..!?
 

maelezo mazuri sana ila

mkuu nina maswali kadhaa naomba majibu ya ufafanuzi...
1. Ulitaka msanii apate asilimia ngapi na msambazaji apate asilimia ngapi?

2. Ulitaka msanii asilipe vat?

3. Unajua kwa wenzetu kama usa msanii anapata asilimia ngapi na makampuni kama universal yanapata asilimia ngapi?


Mkuu usiseme mbona ukiuza itunes mapato ya msanii o\ni tofauti hapa kuna maelezo marefu sana mkuu ila nitarudi kujadili zaidi hili mkuu iwapo ukinijibu maswali yangu hayo na ukinifafanulia hapo kwenye red maana kuna walakini mkuu hapo


1. Kwenye game mwanzoni share was 50%|50% Na Msanii alifanya Kazi direct Na kampuni la simu, ikumbukwe ringtone SIO program ngeni, Hata kabla ya kutumia Kazi Za wasanii Bado makampuni yalikuwa Na ring tone, Kwa ivo invasion ya kutumia ringtone Za wasanii haiongezi Wala kupunguza utendaji wa motandao ya cm, hivyo Hata ile 50% Kwenye kampuni ya ni fedha ya ziada ya starehe tu.. Kiungwana kabisa wangechukua 20% tu kama operations zao Na kumwachia percent nyingine msanii afaidike. Lakini Kwa roho mbaya zaidi wakaban kufanya kazi Na masanii, wajanja wachache wakachukua as middle pipo Na kujichukulia 20% Na kumwachia Msanii 30%, Baadae ile 20% makampuni ya cm yakajiongezea, Na kuwaachia 30% kati ya punky Na Msanii, Punky anakata 20% Na msanii 10% Na bado Hata hiyo 10% msanii haipati yote.. Huu utauitaje wewe. JE ni halali? Embu uwe Na roho ya kibinaadam. Acheni roho mbaya Kwa wengine , acheni kupanda mgongoni mwa wengine na kuwadharau. Ila Mungu atawalipeni..

2. Umesema Msanii asilipe VAT% embu acheni uongo, kufanikiwa kupata elimu kidogo usiitumie kuwafumba wengine, Msanii anapopiga cm au wateja wake tayari anakatwa VAT, sasa akatwe Mara Ngapi? Akikatwa this way amekatwa Mara ya pili. Nikipiga cm nakatwa VAT yes b'se I am consuming JE nikipokea cm nakatwa tena VAT???!!

3.wewe ni Mtu wa ajab, unaniuliza mimi habari Za marekani? Mie marekani naijulia wapi jamani. Nachojua Taifa la Marekani Na mengine ya Ulaya yako Mbali sana kiuchumi Hata kisiasa. Kufananisha utendaji wetu watanzania Na Taifa lililoendelea sana ni akili ya ajabu sana. Ni kama Mtoto katengeneza GARI la box halafu analinganisha utendaji wake Na magari ya kawaida.. Ajab sana Sijui sisi tutabahatika lini kujitegemea kiakili, kila kitu marekani.. Marekani.. KWANINI tusiongelee Kenya au Rwanda wanaotuzidi kiuchumi..?? Uwe Na Uzalendo!!
.
 
Ahsante sana Eng. Y. Bihazage. Binafsi huwa nilikataa hizo promosheni tangu siku nyingi sana. Nashukuru Mungu sijawahi kuunganishwa na mtu yeyote.
Nimekuwa nikiwaambia watu ya kwamba, hiipzi ni njama za kutunyonya, hasa hii iyaoitwa Tigo Time, ila hawako tayari kupokea somo.
 
1. Kwenye game mwanzoni share was 50%|50% Na Msanii alifanya Kazi direct Na kampuni la simu, ikumbukwe ringtone SIO program ngeni, Hata kabla ya kutumia Kazi Za wasanii Bado makampuni yalikuwa Na ring tone, Kwa ivo invasion ya kutumia ringtone Za wasanii haiongezi Wala kupunguza utendaji wa motandao ya cm, hivyo Hata ile 50% Kwenye kampuni ya ni fedha ya ziada ya starehe tu.. Kiungwana kabisa wangechukua 20% tu kama operations zao Na kumwachia percent nyingine msanii afaidike. Lakini Kwa roho mbaya zaidi wakaban kufanya kazi Na masanii, wajanja wachache wakachukua as middle pipo Na kujichukulia 20% Na kumwachia Msanii 30%, Baadae ile 20% makampuni ya cm yakajiongezea, Na kuwaachia 30% kati ya punky Na Msanii, Punky anakata 20% Na msanii 10% Na bado Hata hiyo 10% msanii haipati yote.. Huu utauitaje wewe. JE ni halali? Embu uwe Na roho ya kibinaadam. Acheni roho mbaya Kwa wengine , acheni kupanda mgongoni mwa wengine na kuwadharau. Ila Mungu atawalipeni..

2. Umesema Msanii asilipe VAT% embu acheni uongo, kufanikiwa kupata elimu kidogo usiitumie kuwafumba wengine, Msanii anapopiga cm au wateja wake tayari anakatwa VAT, sasa akatwe Mara Ngapi? Akikatwa this way amekatwa Mara ya pili. Nikipiga cm nakatwa VAT yes b'se I am consuming JE nikipokea cm nakatwa tena VAT???!!

3.wewe ni Mtu wa ajab, unaniuliza mimi habari Za marekani? Mie marekani naijulia wapi jamani. Nachojua Taifa la Marekani Na mengine ya Ulaya yako Mbali sana kiuchumi Hata kisiasa. Kufananisha utendaji wetu watanzania Na Taifa lililoendelea sana ni akili ya ajabu sana. Ni kama Mtoto katengeneza GARI la box halafu analinganisha utendaji wake Na magari ya kawaida.. Ajab sana Sijui sisi tutabahatika lini kujitegemea kiakili, kila kitu marekani.. Marekani.. KWANINI tusiongelee Kenya au Rwanda wanaotuzidi kiuchumi..?? Uwe Na Uzalendo!!
.


aksante kwa kumpa za chembe,

nimechoka kuibiwa naomba nijuze jinsi ya kujitoa, wimbo wenyewe mie siufaidi , ila wanaonipigia. ya nini.
 
Back
Top Bottom