Kuna watu wanakera sana humu Jukwaani!

Kuna watu wanakera sana humu Jukwaani!

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,829
Hivi ni lazima kila mtu humu jukwaani awe mwanasiasa,hivi ni lazima kila uzi humu ndani uhusishwe na siasa watu wanashindwa kuzuia mihemko yao humu tunajua wengine mko kazini ila tunashusha hadhi ya jukwaa.mnakera sana halafu mnashindwa hata kujiongeza mtu unashadadia siasa tangu upo kijana mpaka unazeeka hakuna faida ni hasara tuu mnapoteza muda,kama umeamua kujikita kwenye siasa ni wewe usilazimishe wote tuwe hivyo.
 
Hivi ni lazima kila mtu humu jukwaani awe mwanasiasa,hivi ni lazima kila uzi humu ndani uhusishwe na siasa watu wanashindwa kuzuia mihemko yao humu tunajua wengine mko kazini ila tunashusha hadhi ya jukwaa.mnakera sana halafu mnashindwa hata kujiongeza mtu unashadadia siasa tangu upo kijana mpaka unazeeka hakuna faida ni hasara tuu mnapoteza muda,kama umeamua kujikita kwenye siasa ni wewe usilazimishe wote tuwe hivyo.
Wakatil sana
 
Aisee.
Pole sana mkuu kwa kukwazika.

Binafsi natembelea majukwaa yote isipokuwa yale yanayohitaji upatiwe access na Mods, na nabehave kulingana na jukwaa.

Tuwe na utamaduni wa namna hii wakuu
safi sana bro.humu kuna watu wanatembelea majukwaa yote kutangaza siasa tu.
 
Aisee.
Pole sana mkuu kwa kukwazika.

Binafsi natembelea majukwaa yote isipokuwa yale yanayohitaji upatiwe access na Mods, na nabehave kulingana na jukwaa.

Tuwe na utamaduni wa namna hii wakuu
Umemjibu vizuri ila hakustahili jibu hili
 
Hivi ni lazima kila mtu humu jukwaani awe mwanasiasa,hivi ni lazima kila uzi humu ndani uhusishwe na siasa watu wanashindwa kuzuia mihemko yao humu tunajua wengine mko kazini ila tunashusha hadhi ya jukwaa.mnakera sana halafu mnashindwa hata kujiongeza mtu unashadadia siasa tangu upo kijana mpaka unazeeka hakuna faida ni hasara tuu mnapoteza muda,kama umeamua kujikita kwenye siasa ni wewe usilazimishe wote tuwe hivyo.
Kweli, wanakera sana!
 
Mkuu ukifuata akili za humu ndani utajipa msongo wa mawazo...don't take life so seriously its not permanent!
 
Mkuu ukifuata akili za humu ndani utajipa msongo wa mawazo...don't take life so seriously its not permanent!
Kuna watu wanajifunza mambo mengi muhimu kupitia humu so its serious ndio maana kuna uongozi wote tupo serious ndio maana kuna chitchat forum kwa wasio serious.
 
Kuna watu wanajifunza mambo mengi muhimu kupitia humu so its serious ndio maana kuna uongozi wote tupo serious ndio maana kuna chitchat forum kwa wasio serious.

Nilikua nazungumzia hao ambao wana masihara muda wote Mkuu hata katika mambo serious.
 
Back
Top Bottom