Serikali ilipiga marufuku matumizi ya pombe aina ya viroba vilivyokuwa vinafifisha uelewa wa vijana wengi na uwezo wao wa kutambua lililojema na baya.
Pia; vijana hao kutumika kwa maslahi ya...
Nimeamk asubuhi nikakuta huyu mdudu yupo kwenye mawe jirani na mlango.... Nikiwa katika harakati za kutaka kumuua akatokea mwenyeji wa huku nilipo akadai huyo mdudu ni wa baraka nisimuue...
Umewahi kujiuliza kwamba inaweza kuwapo zahanati inayotoa huduma kwa vijiji saba? Tena ikiwa na daktari mmoja?
Basi ipo zahanati moja katika kijiji cha Madimba wilayani Mtwara ambayo ina daktari...
Katika siku za karibuni barabara hii imeonyesha wazi kuwa imezidiwa na magari kiasi cha kusababisha foleni ndefu ya magari.
Barabara hii ilikuwa kiungo kizuri kwa watumiaji wanaotokea Ubungo...
Tangu nizaliwe ndio naona na kusikia kuwa uko Tabora mjini kuanzia Saa nne askari wapo kufunga bar zote na kumbi za music
Kweli sikuu Kama hii watu wanafurahi unawambia wakalale baada ya...
Wanawake Dar walizwa mamilioni na wazungu kupitia Facebook
AHADI ya zawadi kubwa ikiwemo fedha na kutekwa kimapenzi kwa njia ya mtandao, kumewaliza mamia ya wanawake wa Jiji la Dar es Salaam...
Za leo wakuu.
Kichwa cha habari kama kinavyojieleza... Cheti nilipewa mwaka huu mwezi wa 2 ila kwa usumbufu sana baada ya kujaza fom ilikua mwaka jana mwanzoni.
Ila baada ya kukipitia nimekuta...
AHADI ya zawadi kubwa ikiwemo fedha na kutekwa kimapenzi kwa njia ya mtandao, kumewaliza mamia ya wanawake wa Jiji la Dar es Salaam.
Watu hao wameingia katika wimbi la kutapeliwa mamilioni ya...
Kampuni ya nchini Sweden iliyotaka kujenga mtambo mkubwa zaidi Afrika Mashariki wa kufua umeme kwa kutumia upepo huko Malindi, Kenya, kwa gharama ya shilingi za kitanzania 253 billioni...
Sijui ni kweli hili
Neno AMBULANCE huandikwa kinyume mbele ya gari la wagonjwa ili dereva wa gari la mbele aweze kulisoma vizuri kupitia kioo cha gari lake. Swahili Times on Twitter
Members natumaini mu salama ktk wakati huu wa kubadili miaka,
Hoja yangu kuu hapa ni namna gani watu hasa madereva wanavyoendesha vyombo vyao barabarani hasa kwa DAR, ikiwemo wa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nataka kufahamu ubora wake, ulaji wa mafuta na upatikanaji wa spare zake. Pia ili nipate iliyo bora niandae budget ya shilingi ngapi?
Ni hayo tu
Habari ya sikukuu wakuu.
Kwa wapenda burudani na yale mambo yetu kiwanja kikali sasa ni govornors kinondoni. Aisee Govornors kwa watoto wazuri sio mchezo.
Kwa sasa kiwanja kikali na kinachovutia...
Habarini?
Hawa jamaa wa halotel wanachofanya si kizuri.
Leo mchana nilijiunga kifurushi cha mitandao yote cha 499 na cha MB 110 jumla ni sh 1000.
Sasa kwa bahati mbaya nilijiunga kifurushi cha...
Habari wadau wa jf.naomba kupata msaada kwa mwenye information ya nchi ya Cuba.juu ya maisha kule,vyakula,living expenses,basic needs general.ahsanteni
Habari wana jf!Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.Kama title inavyojieleza hapo juu,ningependa kupata ufafanuzi au data kuhusu nchi hiyo ya UTURUKI kuanzia MAISHA,ELIMU,CHAKULA,na maswala...
Huyu jamaa miaka ya nyuma alijipatia umaarufu kupitia kipindi cha Nani ni Nani kilichokuwa kinarushwa na Channel Ten. Ni muda umepita sijamsikia katika media yoyote ile, yuko wapi mtangazaji huyu...
Jaman katika hili eneo niliokuwepo nasikia kuna jechi la wanamaji lakini katika pitapita zangu pwani yote ya bahari ya hindi, pamoja na kuzifahamu fukwe zote kijografia sijawahi kuona hata siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.