Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Uyowa, Tabora amevuliwa madaraka ya kuwa mwl mkuu na kuwa mwl wa kawaida kwa kushidwa kusimamia utoaji wa adhabu shuleni mwak.
Juzi mkuu huyo hakuwepo shuleni...
Miezi kadhaa iliyopita vijana watatu mkoani Singida walijirekodi video wakiendesha gari, huku wakicheza wimbo wa Darasa (Muziki). Hali hiyo ilimfanya dereva kuachia usukani na kuserebuka. Baada ya...
Wahenga walisema "Ukitaka kuchukua kipande cha dhahabu kiurahisi toka kwa kichaa basi mpe kioo, wakati akiwa anacheka na kioo wewe kusanya vipande vyako vya dhahabu na utokomee" Mwanamuziki Fid Q...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam, limemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujisalimisha Polisi mara moja kwa ajili ya Mahojiano yanayohusu vita vya dawa za...
Nimefurahi sana nilipopokea ujumbe huu "
Habari kwa umma, huduma ya kuhama mtandao bila kubadili namba yako itaanza kuanzia tarehe.01.03.2017 kwa malezo zaidi piga 100 au tembelea maduka yetu."...
Hapa karibuni kumekuwa na ukamatwaji wa madereva ambao wanatumia kilevi na kuendesha magari ya abiria na hata binafsi.
Natumaini katika taratibu/ sheria zetu zinaeleza kuwa usipovuka kiwango...
Vipi mshahara wa mwezi Februari?
Huko kwenye akaunti bado hawajafanya mambo huko wakuu?
Maana'ke hali sio hali kabisa,
Na kuna ndugu namdai,
Sasa huyo ikipita siku 1 tu tangu apate mshahara-...
Lisha ya serikal kupga marufuku kupanda kwa bei za nishat hasa umeme imebainika kupuuzwa kwa kaul hiyo ya serikali baada ya kuonekana kupanda kwa bei ya nishat hiyo kimya kimya bila kuwataarifu...
Ni Kazi kubwa sana Binadamu kubadili tabia,
Ulevi ni tabia ya mtu na Ulevi una hasara nyingi tukubali au Tukatae.
Mfano.
kama unakunywa Bia Tatu kila siku weekends unakunywa tano ina maana...
Chuo kikuu kishiriki cha Eckenford kilichopo mkoani Tanga kinatarajiwa kupigwa mnada pamoja na Taasisi zilizopo chini yake ili kufidia deni wanalodaiwa na Benki ya taifa ya Biashara (NBC)...
Tofauti sana na wenzetu wa Ulaya na America matajiri wanajivunia sana utajiri wao na njia walizopitia kupata utajiri huo kiasi cha kuandika hata vitabu vya namna ya kupata mafanikio.
Lakini ni...
Thrasymachus alikuwa ni mwanafalsafa aliyeongelea swala la haki. Alisema kuwa maisha ya DHULUMA ndiyo maisha ya kupendwa kuliko maisha ya
HAKI. Thrasmachus hakuyaona maisha ya dhuluma kama ni...
Tangu jana loanbord wametoa majina ya watoto waliofanikiwa kuapeal mkopo!
Waliofanikiwa ni watoto kama 1000+ na wengi walitegemea kupata ahueni lakini subira yao imekuwa shubiri......
Kibaya zaidi...
Wana JF miongoni mwa mawaziri waliokuwa katika baraza la mawaziri katika awamu ya kwanza ya Mwl.J.K. Nyerere ni Prof. John Machunda. Kwa waliokuwa wanamfahamu inasemekana alikuwa mchapa kazi...
Wadau I hope mko poa kabisa.
Siku chache zijazo nitasafiri kikazi kwenda Kampala Uganda na nitakuwa huko kwa muda wa wiki 2!
Ni mahali ambapo sijawahi kufika tangu kuumbwa kwa dunia. Naomba...
Mimi ni mtanzania ninayetoka familia duni ambaye nimesoma kwa uchungu sana niwe msaada mkubwa kwa familia yangu hapo baadae. Nasoma masomo ya sayansi ambayo imekuwa ni kipao mbele sana kwa awamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.