Bakari Chijumba
Member
- Mar 22, 2019
- 46
- 55
Na Bakari Chijumba
Katika kuunga mkono juhudi za Waziri January Makamba na wizara yake kwa ujumla katika kutokomeza mifuko ya plastiki,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bi.Rukia Muwango,ameagiza ifikapo 01 June 2019,ni marufuku kusambaza au kutumia mifuko hiyo wilayani humo na atakayekaidi atachukuliwa hatua.
Bi.Muwango amesema wanaunga mkono utokomezaji wa mifuko hiyo kwa kuwa inachafua mazingira, haiozi inapotupwa baada ya matumizi na inaziba pia mifereji ya maji hasa wakati wa mvua mfululizo.
Katika kuunga mkono juhudi za Waziri January Makamba na wizara yake kwa ujumla katika kutokomeza mifuko ya plastiki,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bi.Rukia Muwango,ameagiza ifikapo 01 June 2019,ni marufuku kusambaza au kutumia mifuko hiyo wilayani humo na atakayekaidi atachukuliwa hatua.
Bi.Muwango amesema wanaunga mkono utokomezaji wa mifuko hiyo kwa kuwa inachafua mazingira, haiozi inapotupwa baada ya matumizi na inaziba pia mifereji ya maji hasa wakati wa mvua mfululizo.