Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
Mtu mwenye kipato kidogo na mwajiriwa wa serikali anawezaje kumudu gharama kubwa za maisha? anasomesha, matumizi ya nyumbani, anajenga, anahudumia ndugu zake(extended family), ananunua motokaa n.k, anawezaje kufanya yote haya kwa kipato anachosema ni kidogo?
Mjadala uko wazi
Mjadala uko wazi