BREAKING NEWS.
Basi la kampuni ya Coastline lililokuwa linatoka Mwanza kuja Moshi via Arusha limepata ajali mbaya maeneo ya King'ori- Kiwandani mida hii ya saa mbili usiku. Idadi ya majeruhi ni...
Wasalaam,
Hilo jina bila shaka linajulikana na liliwahi kuwa maarufu Tanzania. Kiufupi ni kijana aliyekufa akiunga mkono azimio la Arusha. Ninachojiuliza ni kimoja tu,kufuatia hii tabia mpya ya...
Habari wakuu,
Samahani naomba kusaidiwa beti zote za huu wimbo wa dini sikumbuki vizuri unavyoanza ila nakumbuka sehemu hii," ..... unapo wazuru wengineee... usinpiteee"
Natanguliza shukrani za dhati.
Zanny (45), ambaye kwa waumini wenzake alikuwa akijulikana kama ‘Mzee Zanny’ au Uncle Sam kama walivyokuwa wakimwita marafiki zake, aliuawa juzi kwa kupigwa risasi mguuni na mgongoni nje ya ofisi...
Dar es Salaam. Dereva taksi, Rashid Yusuph(23) amehukumiwa kifungo cha miaka 45 jela, baada ya kupatikana na hatia ya unyang'anyi wa kutumia nguvu.
Yusuph ambaye ni mkazi wa Kimara Mbezi...
Habari zenu mabibi na mabwana,
Nina maswali yananitatiza sana kichwani kwangu juu ya nani mwenye mamlaka ya kulitumikia taifa bila bughuza na kuheshimiwa mawazo yake.
Leo nilikuwa natizama...
Bajeti imesomwa ila sijasikia mambo mengi mfano:-
-Kuhusu vifaa vya ujenzi
-gharama za mawasiliano
-watumishi na mahitaji yao eg.kima cha chini
-upatikanaji wa maji na huduma za afya hasa vijijini...
Ndugu zangu wapendwa tupo katika wakati mgumu kimaisha japo nasema hivo kwa walio wengi wako hivo inakuaje linapokuw alimetokea tatizo tunawahi kulaum na kuja juu kwa bila kutafakari mfano.
Timu...
Mh Raisi hongera kwa majukumu ya siku hadi siku
Ninaitambua dhamira yako njema kwa watanzania wakipato cha chini kupitia "elimu bure"
Kutokana na uwezo/bajeti ndogo kwa wanafunzi wa elimu yajuu...
Katika Pitapita Zangu Mtaani Nimemkuta Jamaa Anafurahia Ndugu Yake Kuteseka Mtaani Kisa Eti Tu Ndugu Yao Yupo Katika Kundi Fulani La Imani Madhehebu Tofauti.Anae Mchukia Tajiri Anaechukiwa...
Je kauli ipi ilikuacha mdomo wazi mpaka Leo kutoka kwa viongozi wetu:
1: kuleni nyasi ndege ya rais lazima inunuliwe. (Mramba)
2. Foleni dar ni ishara ya maendeleo (jk)
3. Acheni wivu wa kike...
Niliwahi kuandika kuhusu MAFURUKU"
Na Leo naandika Kuhusu SENGERETI
Najua jibu rahisi itakuwa ni makosa madogo madogo ya kiuandishi...
Sawa basi tupeni maana ya hili Neno SENGERETI maana ni Neno...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mkuu alituahidi hatotuangusha.mbona mimi naona tumeshaanguka tena tumeangukia pua na pumzi zinaenda kukata au ni ule msemo wa wahenga kwamba baada ya dhiki...
Poleni na MAJUKUMU
Ndugu zangu bajeti ya Leo binafsi nimeona ina dalili njema kwa sehemu hasa ikitekelezwa.
Ingawa bado kama nchi tunakazi kubwa ya kubuni vyanzo vipya vya mapato tena makubwa...
Maumivu tena hakuna nyongeza ya mshahara Kwa watumishi Wa uma kulingana na bajeti iliyosomwa Leo.
Mwaka Jana fedha zilizotengwa Kwa mishahara ni sawa na kiasi kilichotengwa mwaka huu=tilioni 7.3.
Aman iwe nanyi wapendwa
Kichwa cha habali kinajieleza vizur sana hapo naomba uhusike nacho
Kwanini marais wetu wamekuwa ni wakwepaji wakupwa juu ya adhabu za kunyongwa kwa waharifu wa mauaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.