Huyu KILONGOLA katuhumiwa na WENYENCHI(wananchi)Kasulubiwa na wenzio,halafu kodi ya WENYENCHI itaendelea kumlea isitoshe mgao wake,ukawa zaidi ya KILONGOLA wa sasa jamani wakuu HESHIMA MBELE...
Wana JF
Taarifa tulizopata kwa wiki hii nzima hasi leo, zomebainishwa yafuatayo:-
1. Lilian Mashaka amekuwa akitoa mambo yanayohusu TAKUKURU na Hosea ili akamaate uongozi wa TAKUKURU,
2...
Breaking News kutoka Sky News ni kwamba Fidel Castro amejiuzulu urais waCuba na u-commander-in-chief wa jeshi la nchi hiyo (imebidi ni-edit heading baada ya kuona YeboYebo kisha-break hiyo news)...
Cuba's ailing leader, Fidel Castro has announced he will not return to the presidency in a letter published by official Communist Party paper, Granma.
"I neither will aspire to nor will I...
Heshima kwa wanaJambo wenzangu. Nimekuwa nikifuatilia hili swala la serikali (through jasho la wananchi) kuendelea kuwatunza viongozi waliostaafu. Sina shida na wale waliostaafu sababu hata...
Mohamed El Fayed leo ametoa ushahidi wake na haya ndio yaliyojiri leo kwenye Inquest ya Princess Diana (in bullet points).....
Harrods owner Mohammed Al Fayed has appeared before a coroner...
Top 10 of the Worlds Weirdest Compensation Claims
Posted on February 18th, 2008 in Humour |
We thought we would start the week of with bringing you a selection of the...
Aboriginal leaders welcome apology
Story Highlights
Aboriginal leaders welcome apology and hail new era in indigenous relations
Canberra will issues apology to "stolen generation" of...
Revealed: Mkapa was behind dubious TICTS deal
-Mramba, Karamagi also closely involved
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
FORMER president Benjamin Mkapa personally ordered the dubious...
Nimeichukua hii kwa michu, I don't know what he is talking about when he referred to "our leaders efforts" Does he know anything about various scandals in our beloved country including Mkapa's...
Je wana CHADEMA au CUF watakapo muita kwenye mikutano yao atakuja au?
Keshaitwa kuhudhuria mikutano ya jumuiya mbili za watanzania akajidai yuko bize lakini jumuiya ya abuu faraji anakwenda na...
Wakuu JF,
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?
E Lowassa kujitenga na timu yake CCM-Mtandao?Akigombea urais 2010 atapita?
R.Aziz,Bw. Nazir Karamagi Dk. Ibrahim Msabaha,Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ,Joseph Mungai,Bw. Basil Mramba, Zakia...
Jamani toka Viwanja vya Ikulu hapa nimeshuhudia mahojiani na baadhi ya Mawaziri wa JK .Nimewasikia wote kuanzia Seif Khatibu, Simba , Ghasia , Ngeleja nk .Sikujua kama Sofia Simba na Ghasia ni...
Saudi Arabia to execute woman for 'witchcraft'
Human rights group appeals to Saudi king to stop execution
updated 7:54 a.m. ET Feb. 14, 2008
BEIRUT, Lebanon - A leading human rights group...
Hawa jamaa ukisoma maneno waliyoyasema mwezi wa SEPTEMBER KUHUSU WAPINZANZI UTASHANGAA SANA!
MARA BAADA YA DR SLAA KUJA NA ORODHA YA MAFISADI, HAWA JAMAA WALIKANA KATA KATA NA KUSEMA WAPINZANI...
Hizi ndizo AMRI KUMI za Tanzania, kama unataka kuinusuru Tanzania
isiuzwe inakubidi uzifuate:-
1. Usiwe mlaghai kama Karamagi
2.Usiwe fisadi kama Balali
3. Usiwe mbishi...