Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,777
- 41,070
Jamani, nasikia JK alikwenda ujerumani na kurudi kimya kimya... na zaidi alienda kuliona dege letu la Airbus, je ni kweli au ni tetesi mitaani.
vyanzo vyangu vinadokeza kuwa ijumaa alitimkia Ujerumani na kurudi mapema jana sijui ni kweli kiasi gani. Najua alikuwa aende kwenye ile ziara ndefu lakini akamuachia Karume
Hata mtu kama ana kasafari kake ka private mnataka muambiwe? mwishowe hata akienda msalani mtataka mjuwe, duhh.
Safari gani hizo za private ambazo wananchi wa Tanzania hawastahili kuzijua!? hebu fafanua
Hata mtu kama ana kasafari kake ka private mnataka muambiwe? mwishowe hata akienda msalani mtataka mjuwe, duhh.
Kamanda acha uzushi...Duh!vyanzo vyangu vinadokeza kuwa ijumaa alitimkia Ujerumani na kurudi mapema jana sijui ni kweli kiasi gani.
Kamanda acha uzushi...Duh!
maalim ..hiyo ndio gharama ya kuwa kiongozi..your whole life become under scrutiny!!!!