Hawa kweli wanajua wanalo lifanya kama Mawaziri?

Mitomingi

Senior Member
Jan 15, 2008
130
0
Jamani toka Viwanja vya Ikulu hapa nimeshuhudia mahojiani na baadhi ya Mawaziri wa JK .Nimewasikia wote kuanzia Seif Khatibu, Simba , Ghasia , Ngeleja nk .Sikujua kama Sofia Simba na Ghasia ni watupi kiasi hiki .No wonder tunalia Amani na Utulivu.Mtu anaulizwa juu ya Utawala bora anasema ni Funds allocation .Nimeshangaa nimeona wacha niseme mnisaidie kuelewa hawa ndiyo mawaziri JK anategemea kusaidia Taifa hili ? Ghasia n Mtupu na hata Seifu sikuelewa anaongelea nini maana hawajibu maswali wanatoa maelezo ya kujipongeza .
 
Can elaborate abit more mkuu naona kama umetumwagia blanket statement tu...
 
Jamani toka Viwanja vya Ikulu hapa nimeshuhudia mahojiani na baadhi ya Mawaziri wa JK .Nimewasikia wote kuanzia Seif Khatibu, Simba , Ghasia , Ngeleja nk .Sikujua kama Sofia Simba na Ghasia ni watupi kiasi hiki .No wonder tunalia Amani na Utulivu.Mtu anaulizwa juu ya Utawala bora anasema ni Funds allocation .Nimeshangaa nimeona wacha niseme mnisaidie kuelewa hawa ndiyo mawaziri JK anategemea kusaidia Taifa hili ? Ghasia n Mtupu na hata Seifu sikuelewa anaongelea nini maana hawajibu maswali wanatoa maelezo ya kujipongeza .

Mkuu,

Lakini pia unaweza ukakuta kwamba walikuwa hawataki kujibu hayo maswali na hivyo kuamua kuongelea kitu tofauti. Ndivyo wanasiasa walivyo kote duniani, kama ana jibu zuri la swali basi ataongea mpaka umsimamisha lakini kama hana jibu, utakuta anakimbilia kwenye jibu ambalo linampa points.

Labda ufafanue zaidi vinginevyo ni ngumu kujua kama ni watupu au la. Huyo Khatib ni msanii siku zote na ndio maana alikuwa anafaa kule alikokuwa wizara ya habari.
 
Mkuu,

Lakini pia unaweza ukakuta kwamba walikuwa hawataki kujibu hayo maswali na hivyo kuamua kuongelea kitu tofauti. Ndivyo wanasiasa walivyo kote duniani, kama ana jibu zuri la swali basi ataongea mpaka umsimamisha lakini kama hana jibu, utakuta anakimbilia kwenye jibu ambalo linampa points.

Labda ufafanue zaidi vinginevyo ni ngumu kujua kama ni watupu au la. Huyo Khatib ni msanii siku zote na ndio maana alikuwa anafaa kule alikokuwa wizara ya habari.

Ameulizwa .
Mh.Simba unaweza kutueleza nini maana ya Utawala bora na hizi pesa mnazo zipata kwa jina la utawala bora mmefanya nini ?

Wote wameulizwa swali la aina hii .Basi majibu yake mie nimeshika kichwa .

Seifu kaulizwa nini maana State Visit ili watanzani wajue ?

Yeye anasema ni utawala bora na rais wetu kuwa na PR nzuri .Jamani
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom