Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 172
Wakuu JF,
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?
Hivi kuruhusu maandamano ya kupinga ujio wa Joji Kichaka bongo, na polisi kuwasindikiza waandamanaji hao, ni tukio lisilo la kawaida. Je, ni kweli inaashiria kupanuka kwa demokrasia?