Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Je wana CHADEMA au CUF watakapo muita kwenye mikutano yao atakuja au?
Keshaitwa kuhudhuria mikutano ya jumuiya mbili za watanzania akajidai yuko bize lakini jumuiya ya abuu faraji anakwenda na CCM ndio zaidi
Mumewe ilibidi agombane na watu ndipo akaamua kuachia ngazi kutaka huo uenyekiti sasa jamani mambo haya yanakubalika?
Najisikia mnyonge sana nionapo mabalozi wetu wanapoingia kwenye ushabiki wa kiasiasa
Je sheria inasemaje?
sherehe za kuzaliwa ccm reading
Mgeni wa Heshima Balozi wa Tanzania Bi. Mwanaidi Maajar akiwa na Bw. Maajar na Katibu wa CCM Tawi la London Bi Suzan Mzee.
Mdau Wa TanzananiaOne Uk Ally Muhdin akiwa na Balozi Bi Maajar
Wadau wa Southhampton wakiwa na Mgeni wao Toka Bongo
Wadau wa Tanzania association kutoka kushoto Juma Pinto , Abuu Faraji na John Lusingu
Keshaitwa kuhudhuria mikutano ya jumuiya mbili za watanzania akajidai yuko bize lakini jumuiya ya abuu faraji anakwenda na CCM ndio zaidi
Mumewe ilibidi agombane na watu ndipo akaamua kuachia ngazi kutaka huo uenyekiti sasa jamani mambo haya yanakubalika?
Najisikia mnyonge sana nionapo mabalozi wetu wanapoingia kwenye ushabiki wa kiasiasa
Je sheria inasemaje?
sherehe za kuzaliwa ccm reading

Mgeni wa Heshima Balozi wa Tanzania Bi. Mwanaidi Maajar akiwa na Bw. Maajar na Katibu wa CCM Tawi la London Bi Suzan Mzee.

Mdau Wa TanzananiaOne Uk Ally Muhdin akiwa na Balozi Bi Maajar

Wadau wa Southhampton wakiwa na Mgeni wao Toka Bongo

Wadau wa Tanzania association kutoka kushoto Juma Pinto , Abuu Faraji na John Lusingu