wadugu bloggers
Ninatatizwa na gharama za umeme na Mkaa kwenye kupikia, naomba kama kuna anayejua gharama za mtungi mmoja wa gesi na wapi naweza kuipata hapa Dar. Mkaa sio bei sana lakini sio clean, umeme unapanda kwa hiyo budget yangu ambyo ni limited itanitesa kiasi. Kwa mwenye ufahamu please naomba nijulishe!
Ninatatizwa na gharama za umeme na Mkaa kwenye kupikia, naomba kama kuna anayejua gharama za mtungi mmoja wa gesi na wapi naweza kuipata hapa Dar. Mkaa sio bei sana lakini sio clean, umeme unapanda kwa hiyo budget yangu ambyo ni limited itanitesa kiasi. Kwa mwenye ufahamu please naomba nijulishe!