Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,360
- 5,991
Ikiwa nchi zote zilizoendelea zikiwa ziko mbioni ( baadhi tayari) kuondoka kwenye analog transmissions kwenda digital, Tanzania wana mpango gani? Na nini athari zake kwetu sisi ambao ni addicts wa CNN na BBC?