Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Tanzaniaaa Tanzaniaaaa!! Nakupenda kwa moyo woooteee Nchi yangu Tanzaniaaaa Stori zako ni tamuu saanaaa!! Nilalapo namwaza Vijisentiiii Niamkapo Mkapa baba weee! Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nafikiri kutokuwa na wazo tu, lakufanya kitu kama wanavyofanya Rwanda (angalia hapo chini), inaonyesha jinsi tulivyo nje ya muelekeo sahihi! Urban planning experts from Singapore and the US in...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Swaziland king celebrates in style BBC News Online One of the world's last remaining absolute monarchs, King Mswati III of Swaziland, has held lavish celebrations to mark his 40th birthday...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duh ishakuwa soo....dili lishabumburuka, kilichobaki ni kulala mbele tu...gademu my daughter was used for a green card By: wsamdbsma20 (Consumer) Date: 8/17/2008 12:05:32 AM Member Since...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
NAAM, sasa nadhani nimejua kwanini kuna baa zinajengwa karibu na misikiti au kanisa; kwanini nguruwe wanafugwa jirani na Waislamu; kwanini magesti hausi yako nyuma ya makanisa na mambo kama hayo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Na Ramadhan Semtawa BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imesema hakuna mtumishi wake miongoni mwa wanaotuhumiwa katika upotevu wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), atakayesalimika katika...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni jambo la kawaida kuona magari ya taka yakiwa yameharibika katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, Moshi na hata Arusha. Magari hayo yanapoharibika hukaa kwenye eneo yalipoharibikia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
CCM wapiga marufuku takrima Tausi Mbowe CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimepiga marufuku wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya jumuiya zake na wapambe wao kwenda mikoani na wilayani...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Serikali imepanga kupandisha mishahara mipya 20007/2008 ya watumishi wa umma kwa kiwango cha shilingi 5,000 mpaka 9,000 tu kwa kila mtumishi, wakati huo huo vyama vya wafanyakazi na watumishi...
0 Reactions
112 Replies
19K Views
Nimepata habari kwamba moja ya ndege ya kampuni ya atc huko mjini mwanza imelazimika kusitisha safari yake baada ya kupata madhara katika engine wakati ndege hiyo ilipotaka kuruka na ndege...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Milioni Dar zabebwa mchana 2008-09-05 16:06:10 Na Sharon Sauwa, Ilala Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamevamia mchana kweupe katika ofisi za duka moja la vifaa vya ujenzi na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
..MOD naomba hata kama hii mada itabidi kuiunganisha ikae kwa muda...... wadau lengo la kuiweka hii thread tofauti kidogo na thread mama ..ni kuchokoza mada.... taarifa tunazopata kutoka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Don’t let unearned praises lead us down a slippery path Young Kimaro Daily News; Friday,September 05, 2008 @20:02 A LAW maker recently chided donors for having heaped praises on the Third...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakidai mafao yao Ikulu leo. (picha kwa hisani ya Michuzi)
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Reggae is my Identity. My Best Music is Reggae. This is music the music that I identify with and feel comfortable listening to it. I do find it educating and also representative to my background...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
DV-2010 Lottery Starts Soon! The DV-2010 Lottery begins at Noon EDT on October 2, 2008, and ends at Noon EST on December 1, 2008. You can visit http://www.dvlottery.state.gov...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepata habari kwamba moja ya ndege ya kampuni ya atc huko mjini mwanza imelazimika kusitisha safari yake baada ya kupata madhara katika engine wakati ndege hiyo ilipotaka kuruka na ndege...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Matukia ya shule za bweni kuungua moto yanazidi kuongezeka nchini, jambo linalotia wasiwasi wazazi ambao wanapenda watoto wao wasome shule za bweni. Yapo matukio mengi ya shule kuungua...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hali ya hewa katika jiji la Dar es Salaam ni ya mvua ya rasharasha. Haieleweki ndio mvua masika inaanza au nini? Kama ndio masika watu wa hali ya hewa waanze kutoa tahadhari kwa watu wa mabondeni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
ZIPO hisia kuwa imefikia wakati wa kuchambua na kunyambua ni nini hasa wabunge wa Bunge linaloitwa la Taifa wawe wanazungumza wanapokuwa wanalipwa posho nono wakati wa vikao muhimu vya kitaifa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…