Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 138
- 9
Serikali imepanga kupandisha mishahara mipya 20007/2008 ya watumishi wa umma kwa kiwango cha shilingi 5,000 mpaka 9,000 tu kwa kila mtumishi, wakati huo huo vyama vya wafanyakazi na watumishi wanajiandaa kwa mgomo mkali nchi nzima kwa muda usiyo julikama kutokana na ukali wa maisha ,mwanye habari nyeti zaidi aziweke hapa.
asanteni
asanteni