NAAM, sasa nadhani nimejua kwanini kuna baa zinajengwa karibu na misikiti au kanisa; kwanini nguruwe wanafugwa jirani na Waislamu; kwanini magesti hausi yako nyuma ya makanisa na mambo kama hayo.
Hivi Waziri Mkuu na Spika naye hawakujua kwamba Ijumaa iliyopita yaani tarehe 30 Agosti 2009 wabunge Waislamu walipaswa kuwa misikiti kuaga Shabani na kukaribisha Ramadhani?
Mbunge uko wapi mbona hoja hii hukuitoa au kwa kuwa mwenzangu ulitoka kimya kimya tu kwenda sali bila kunishtua?
Lakini utani tuache mbali lazima jamani tujenge utamaduni wa kuwa na hisia nzito juu ya mambo ya dini hasa panapakuwa na mikutaniko na mikusanyiko ya watu. Hivi tunashindwa kupanga mambo yetu tukawastahi wanaoswali mchana au kwa kuwa wengine hawasali basi watajua huko huko. Mimi nina wasiwasi kama tutakuwa salama sana tukiendelea na tabia hiyo huko mbele ya safari.
Hivi Waziri Mkuu na Spika naye hawakujua kwamba Ijumaa iliyopita yaani tarehe 30 Agosti 2009 wabunge Waislamu walipaswa kuwa misikiti kuaga Shabani na kukaribisha Ramadhani?
Mbunge uko wapi mbona hoja hii hukuitoa au kwa kuwa mwenzangu ulitoka kimya kimya tu kwenda sali bila kunishtua?
Lakini utani tuache mbali lazima jamani tujenge utamaduni wa kuwa na hisia nzito juu ya mambo ya dini hasa panapakuwa na mikutaniko na mikusanyiko ya watu. Hivi tunashindwa kupanga mambo yetu tukawastahi wanaoswali mchana au kwa kuwa wengine hawasali basi watajua huko huko. Mimi nina wasiwasi kama tutakuwa salama sana tukiendelea na tabia hiyo huko mbele ya safari.