GM7
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 492
- 24
Wana JF,
Mtakubaliana na mimi kuhusu hawa wafanyakazi wa Tanesco wanaoinua nguzo za umeme. Kwa kweli wanakera wanakera wanakera. Hivi hwawezi kufanya kazi mpaka waanze kutamka matusi yao tena makubwa ya nguoni.
Mbaya zaidi, si unajua kazi kama hizo zikiwa zinaendelea na watoto wadogo wanakuwepo, matokeo yake wanajifunza matusi kutoka kwa wafanyakazi hao tena ni wakubwa na wana familia zao.
Hivi mnawafundisha nini watoto? Kwa kweli mjirekebishe.
Mtakubaliana na mimi kuhusu hawa wafanyakazi wa Tanesco wanaoinua nguzo za umeme. Kwa kweli wanakera wanakera wanakera. Hivi hwawezi kufanya kazi mpaka waanze kutamka matusi yao tena makubwa ya nguoni.
Mbaya zaidi, si unajua kazi kama hizo zikiwa zinaendelea na watoto wadogo wanakuwepo, matokeo yake wanajifunza matusi kutoka kwa wafanyakazi hao tena ni wakubwa na wana familia zao.
Hivi mnawafundisha nini watoto? Kwa kweli mjirekebishe.