Makanyagio
Senior Member
- Jun 25, 2009
- 125
- 30
Wana JF, ninavyofaahamu mimi mitishamba ni dawa nzuri sana kama ukizijua na kujulia kizitumia. Mababu zetu ziliwasaidia sana kabla ya kuja za kizungu na feki za kichina ambazo zingine ndio zinatuletea matatizo leo hii.
Ningependa kufaahamu kama kuna mwana JF anaefahamu mitishamba ya kuongeza mbegu za kiume. Atujulishe tuweze kisaidiana. Nina jamaa zanagu wa karibu (ukiacha walioathinirika mirerani, Tanzanite one) wamepata tatitzo la kupungukiwa mbegu za kiume wametumia dawa za kizungu bila mafanikio ya maana. Ushauri nini wafanye/wasifanye ungesaidia pia.
Ningependa kufaahamu kama kuna mwana JF anaefahamu mitishamba ya kuongeza mbegu za kiume. Atujulishe tuweze kisaidiana. Nina jamaa zanagu wa karibu (ukiacha walioathinirika mirerani, Tanzanite one) wamepata tatitzo la kupungukiwa mbegu za kiume wametumia dawa za kizungu bila mafanikio ya maana. Ushauri nini wafanye/wasifanye ungesaidia pia.