Hata WaPemba watatuacha na kuchukua Nchi yao.

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
michiweni_mosque_pic7_568x454.jpg



michiweni_mosque_pic6_568x454.jpg


michiweni_mosque_pic8_568x454.jpg


michiweni_mosque_pic2_568x454.jpg


michiweni_mosque_pic3_568x454.jpg


Chama Cha Mafisadi kazi kwao kama watasuka au watanyoa ,ubabe wenu unamulikwa kila kona ya dunia , East Tanzania huenda likawa ndio jina jipya na kuna tegemeo kuwa hata visiwa vya Mafya navyo vikajiunga kutokana navyo kutupwa kama mtoto asie kuwa na baba wala mwana.
 
Tanzania ni jinchi kubwa sana na Serikali ya CCM imeshindwa na inashindwa kusimamia haki kutokana na ukubwa huo ,hivyo dawa ni kule ambako Serikali ya CCM imeshindwa kuhudumia ni bora wakajikata kivyao kuliko kuwapelekea mapolisi na majeshi wakiwapiga virungu,risasi na kuwafanyia vitendo vya unyama na kishenzi na badala yake kuwapandisha vyeo waliofanya vitendo hivyo. Kama mtaitawala kishenzi na kijeshi na kipolisi basi endeleeni hivyo hivyo lakini CCM na utawala wake haikubaliki tena Pemba ,mpaka tuone yule ambae atakuwa tayari kuwachukulia hatua wale wote waliohusika na vitendo vya uasherati kuwafanyia wakazi wazalendo wa Pemba watu ambao tabia zao na hulka zao ni wapole na walimya kabisa wakiongezewa na ukarimu.

Kama Tanzania ni masikini basi itabakia masikini maisha na utajiri hautapatika kwa kuikalia Pemba kimabavu na kuilazimisha kuichagua CCM ,zaidi hazidishi mwenye kudhulumu ila hasara ,Kikwete ni Muislamu anaifahamu vizuri aya hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom