Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Chama Cha Mafisadi kazi kwao kama watasuka au watanyoa ,ubabe wenu unamulikwa kila kona ya dunia , East Tanzania huenda likawa ndio jina jipya na kuna tegemeo kuwa hata visiwa vya Mafya navyo vikajiunga kutokana navyo kutupwa kama mtoto asie kuwa na baba wala mwana.