The Native Son
Member
- Jul 14, 2009
- 86
- 20
Ndugu zangu,
Hii ni jinsi nionavyo mimi kuhusu watanzania na maisha yao ya kila siku. Nimewatazama watanzania wenzangu kama watu wanaoishi kwa matukio yaani leo wamesikia hili kabla hawajalikamilisha kesho wamesikia lingine wakalikimbilia nalo halijaisha kesho kutwa lingine wanalirukia ili mradi matumizi ya hewa ya oksijeni na uchafu unaoandamananayo vinatumika na siku na maisha duni na ya shida yanakwenda.
Tafakari:
1. Je ni kweli ni jinsi tulivyo?
2. Au tunamalengo mengi yasiyotekelezeka?
Hii ni jinsi nionavyo mimi kuhusu watanzania na maisha yao ya kila siku. Nimewatazama watanzania wenzangu kama watu wanaoishi kwa matukio yaani leo wamesikia hili kabla hawajalikamilisha kesho wamesikia lingine wakalikimbilia nalo halijaisha kesho kutwa lingine wanalirukia ili mradi matumizi ya hewa ya oksijeni na uchafu unaoandamananayo vinatumika na siku na maisha duni na ya shida yanakwenda.
Tafakari:
1. Je ni kweli ni jinsi tulivyo?
2. Au tunamalengo mengi yasiyotekelezeka?