TRA wanatoza VAT 20% Zanzibar!

KiparaDar

Member
Mar 20, 2007
68
29
Wakati inajulikana kabisa kuwa ushuru wa forodha unasimamiwa na mamlaka ya mapato tanzania(TRA) ambayo iko chini ya serikali jamhurii ya muungano Tanzania,kuna habari mamlaka hiyo inatoza ushuru wa zamani kwa kiwango cha 20% ya VAT kwa imports zote zinazoingia kupitia bandari ya zanzibar kinyume na sheria mpya iliyotangazwa bungeni hivi karibuni!

Mnamo julai mosi kiwango kilibadilika hapa zanzibar na kuwa 18% kama ilivyotangazwa bungeni,lakini hivi karibuni,yapata wiki moja sasa,kimerudishwa tena na kuwa 20% kama zamani kwa madai ya kuwa serikali ya mapinduzi zanzibar imekataa kiwango hicho kipya,Jee hapa si uvunjaji wa makusudi wa sheria ya bunge?NI MGONGANO?
 
Wakati inajulikana kabisa kuwa ushuru wa forodha unasimamiwa na mamlaka ya mapato tanzania(TRA) ambayo iko chini ya serikali jamhurii ya muungano Tanzania,kuna habari mamlaka hiyo inatoza ushuru wa zamani kwa kiwango cha 20% ya VAT kwa imports zote zinazoingia kupitia bandari ya zanzibar kinyume na sheria mpya iliyotangazwa bungeni hivi karibuni!

Mnamo julai mosi kiwango kilibadilika hapa zanzibar na kuwa 18% kama ilivyotangazwa bungeni,lakini hivi karibuni,yapata wiki moja sasa,kimerudishwa tena na kuwa 20% kama zamani kwa madai ya kuwa serikali ya mapinduzi zanzibar imekataa kiwango hicho kipya,Jee hapa si uvunjaji wa makusudi wa sheria ya bunge?NI MGONGANO?
Kodi (yoyote) ile katika eneo la Zanzibar. Mkusanyaji halali ni Mamlaka (inayotawala) Zanzibar. TRA ni ....... -sijui niite jina gani muwafaka mpaka ukanielewa. lakini najua umeshanielewa.
 
Back
Top Bottom