Ninapotafakari:

Ninapotafakari:

Joined
Jul 14, 2009
Posts
86
Reaction score
20
Ndugu zangu, hivi watanzania adui zetu ni nani kwa sasa au ni bado wale akina UJINGA, MARADHI NA UMASIKINI?
 
Ndugu zangu, hivi watanzania adui zetu ni nani kwa sasa au ni bado wale akina UJINGA, MARADHI NA UMASIKINI?

Ha ..haaa... haaaa...!! tuh ..tuh ....tuh... kwe...kwe......!

The Native Son;528690

Maadui zetu wameongezeka saaaaaana!

Kwasasa mi nadhani wamefikia karibia 10!

Mbali ya hao ulowataja,kuna:

-UFISADI
-UWIZI WA KURA
-TAKRIMA
-MIKATABA MIBOVU na memgine meeengi!

Kweli swali lako limenifurahisha sana, unatafakari vyema,

na nakupa thanks bila kinyongo!
 
Sasa PakaJimmy, hawa maadui wa mwanzo mapambano yalikuwa yale ya umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, mtazamo wetu ukoje kwenye hao maadui wengine uliojaribu kuwaainisha japo baadhi yao? Au ndio itajuwa ile wageni wanasema, "Struggle for existence and survival for the fitest"?
 
Ha ..haaa... haaaa...!! tuh ..tuh ....tuh... kwe...kwe......!

The Native Son;528690

Maadui zetu wameongezeka saaaaaana!

Kwasasa mi nadhani wamefikia karibia 10!

Mbali ya hao ulowataja,kuna:

-UFISADI
-UWIZI WA KURA
-TAKRIMA
-MIKATABA MIBOVU na memgine meeengi!

Kweli swali lako limenifurahisha sana, unatafakari vyema,

na nakupa thanks bila kinyongo!
Naongezea uvivu wa kufikiri na ubinafsi
 
Sasa PakaJimmy, hawa maadui wa mwanzo mapambano yalikuwa yale ya umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, mtazamo wetu ukoje kwenye hao maadui wengine uliojaribu kuwaainisha japo baadhi yao? Au ndio itajuwa ile wageni wanasema, "Struggle for existence and survival for the fitest"?
Hiyo silaha haipitwi na wakati ili mradi wapambanaji tuna nia ya dhati kupambana na maadui hao na hakuna unafiki. Enheee nimekumbuka tena adui mwingine ni unafiki na wanafiki unawajua!
 
Hiyo silaha haipitwi na wakati ili mradi wapambanaji tuna nia ya dhati kupambana na maadui hao na hakuna unafiki. Enheee nimekumbuka tena adui mwingine ni unafiki na wanafiki unawajua!

Nakubali silaha haitupwi, sasa inakuaje ikizidi uzito? Maana silaha inaweza kuwa nzito mpaka mpiganaji akaitupa. Au ndio vile wahenga walisema, "Bora Punda afe ila mzigo ufike", tuyabebe mapambano mpaka mwisho.
 
Nakubali silaha haitupwi, sasa inakuaje ikizidi uzito? Maana silaha inaweza kuwa nzito mpaka mpiganaji akaitupa. Au ndio vile wahenga walisema, "Bora Punda afe ila mzigo ufike", tuyabebe mapambano mpaka mwisho.
Pamoja na kuninukuu vibaya, lakini vita ni vita mura
 
Back
Top Bottom